Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
WanajisahaulishaKwani Gwaneng Galaxy waliwafaje?mlivyokwenda kuwasha moto wa ushirikina kule South mlikuwa mnashiriki kombe gani?
Mataahira yanafikri atakayeathirika ni Yanga peke yake! Hovyo kabisa ugoro huu!Huu ni mtego wa panya,waweza mnasa yeyote
Juzi wamekurupuka wakasajili majeruhi!Ukimya wa usajili wa Yanga unawaumiza sana.
Muda ni mwalimu mzuriMataahira yanafikri atakayeathirika ni Yanga peke yake! Hovyo kabisa ugoro huu!
Watatoka nduki wasikabidhi medali walizozipata kimazabe mazabe, si wana watimua vumbi mithili ya vibaka kama Kinyambe (Tui la nazi Sila)?Ikiwezekana hii sheria irudi nyuma ipitie mchakato wa hili kombe la shirikisho kuna timu zinatakiwa zinyang'anywe medali๐
Angechukua je ingekuwaje?Hawaamini alichofanya yanga shirikisho, hawataki yajirudie tena.
Sasa ukimya gani wakati mnawasajili wakina mkude simbaUkimya wa usajili wa Yanga unawaumiza sana.
Haswa..!HabarI mbaya kwa uto. Safari hii hakuna kujilegeza ili mkimbilie kwenye mashindano ya vibonde.
Ingekuwa poa sana.Angechukua je ingekuwaje?
Ninyi mmejipanga tayari?YANGA jipangeni kweli KWELI.
CLABU BINGWA si MCHEZO.
CLABU BINGWA sio Loosers.
Bakisheni wachezaji Muhimu kwenye tibu.
Best Eleven.
Ongezeni No 10.
Na mawinga WA MAANA.
Uzeni mafunguo ameshindwa.
Zao ni bagamoyo kulogaUto wataenda wapi sasa
Sisi tunamjua Al hilalKwani Gwaneng Galaxy waliwafaje?mlivyokwenda kuwasha moto wa ushirikina kule South mlikuwa mnashiriki kombe gani?
Baada ya kutoka hapo gari likawaka mpaka fainali.Sisi tunamjua Al hilal
PhD ya jalalaniFainali ya CAF aggregate Yanga 2 USMA 2.
Unataka kusemaje wewe tutusa mbumbumbu wahed.
Tahira ni baba yako na mama yakoMataahira yanafikri atakayeathirika ni Yanga peke yake! Hovyo kabisa ugoro huu!
Ni kilio kwa wananchi ambao huvizia kuingizwa huko baada ya kufumushwa na wanaume kwenye caf champions league!! Hakuna tena kupambanishwa na vibonde wanaoelekea kushuka daraja kama malumo!!CAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za shirikisho.
Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.