binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Umenikumbusha uchaguzi 2020, Ukituma TL ujumbe hauendi.
Hii nchi bana!
Hii nchi bana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nimekuelewa mkuu daah technolojia hizi kwetu sisi wengine ni teke linalotujia mkuu 😂😂Nikituma ujumbe ukawa end to end encrypted unakuwa hauji waziwazi. Nakuandikia "nitumie laki moja" ila ujumbe unakuwa coded kwenye keys unakuja unasoma labda "£@5ghdlh ...gjtl"...
Mbona halotel inaendaSio Tigo tu, hata kwenye mitandao mingine.
Kuna mtu amewahi kulalamika kwenye neno hilo hilo kwamba akiliandika kawaida haliendi.Mbona halotel inaenda
Hii itazalisha maneno mapya ya kutosha mfano 53x, etc.Kuna mtu amewahi kulalamika kwenye neno hilo hilo kwamba akiliandika kawaida haliendi.
Mimi huwa naweka alama ya dollar hapo mwanzoni yaani kwenye S au naweka euro kwenye e wakati ninapolazimika kulitumia hilo neno.Hii itazalisha maneno mapya ya kutosha mfano 53x, etc.
JichanganyeMakuzi
Hapo ndio mwishoElezea vizuri mkuu
Sema nishaeleweshwa na memba mmoja apo juuHapo ndio mwisho
Mana yake hiyo meseji kam ukituma ni wewe na mpokeaji ndo mnaweza kuona huo UJUMBEKwani end to end encryption ndo nini mkuu
Nikituma ujumbe ukawa end to end encrypted unakuwa hauji waziwazi. Nakuandikia "nitumie laki moja" ila ujumbe unakuwa coded kwenye keys unakuja unasoma labda "£@5ghdlh ...gjtl".
Ukipokea ujumbe huo unakuwa na encryption keys zinafungua ujumbe na kwako unasomeka "nitumie laki moja" ila kama kuna mtu katikati labda mtandao au spy kwa bahati mbaya amenasa mawasiliano atasoma zile codes haelewi.
Kuvunja security hiyo ni kazi ngumu, kampuni moja ya Israel inaitwa NSO Group ilitengeneza spyware ilitwa Pegasus ya kupenya mifumo ya ulinzi ya WhatsApp na kujua taarifa za mtumiaji.
Hata hivyo hakuna muuza mitumba angefuatiliwa na spyware hiyo. Gharama za kununua mfumo ilikuwa ni zaidi ya bilioni 1.5 TZS, gharama za kufunga kwa simu 10 tu ilikuwa ni zaidi ya bilioni 1.1 na kuna gharama za uendeshaji kwa mwaka ni kwenye milioni 100+.
Na si kila nchi ingeuziwa, mfano bongo tusingeuziwa sisi hatuna siri.
Hizo gharama kwa serikali ingemudu sema kwenye matumizi yake ingekuwa utataHata hivyo hakuna muuza mitumba angefuatiliwa na spyware hiyo. Gharama za kununua mfumo ilikuwa ni zaidi ya bilioni 1.5 TZS, gharama za kufunga kwa simu 10 tu ilikuwa ni zaidi ya bilioni 1.1 na kuna gharama za uendeshaji kwa mwaka ni kwenye milioni 100+.
Na si kila nchi ingeuziwa, mfano bongo tusingeuziwa sisi hatuna siri.
Daaah aisee hapo nimeelewa mkuuMana yake hiyo meseji kam ukituma ni wewe na mpokeaji ndo mnaweza kuona huo UJUMBE
Yaan hata whatsap makaomakuu hawazioni hizo jumbe
Nani angeiuzia serikali ya Tanzania hii ambayo kila inachofanya kinajulikana kabla. Na hakuna serikali duniani ingeshindwa kumudu, sasa ndio kusema ingemfuatilia hata muuza maembe, kachori, mlima mapapai kisa tu inamudu. Waliokuwa wanafuatiliwa kwa nchi unakuta hawafiki 10 walewale kwenye package ya kwanza.Hizo gharama kwa serikali ingemudu sema kwenye matumizi yake ingekuwa utata
Hatununua kabisa, niamini 100%. Kwa Afrika aliyenunua wa uhakika ni Rwanda. Si kila nchi ilikuwa na sifa ya kuuziwa, wenye midomo na wakurupukaji ambao hawana hata ujasusi wa maana hawakuwa wanauziwa.Pegasus mbona mwendazake aliinunua inavyoaminika!!??