Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili?

Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili?

Nikituma ujumbe ukawa end to end encrypted unakuwa hauji waziwazi. Nakuandikia "nitumie laki moja" ila ujumbe unakuwa coded kwenye keys unakuja unasoma labda "£@5ghdlh ...gjtl".

Ukipokea ujumbe huo unakuwa na encryption keys zinafungua ujumbe na kwako unasomeka "nitumie laki moja" ila kama kuna mtu katikati labda mtandao au spy kwa bahati mbaya amenasa mawasiliano atasoma zile codes haelewi.

Kuvunja security hiyo ni kazi ngumu, kampuni moja ya Israel inaitwa NSO Group ilitengeneza spyware ilitwa Pegasus ya kupenya mifumo ya ulinzi ya WhatsApp na kujua taarifa za mtumiaji.

Hata hivyo hakuna muuza mitumba angefuatiliwa na spyware hiyo. Gharama za kununua mfumo ilikuwa ni zaidi ya bilioni 1.5 TZS, gharama za kufunga kwa simu 10 tu ilikuwa ni zaidi ya bilioni 1.1 na kuna gharama za uendeshaji kwa mwaka ni kwenye milioni 100+.

Na si kila nchi ingeuziwa, mfano bongo tusingeuziwa sisi hatuna siri.
Rwanda wanayo hiyo pegasus,...
 
Mbona halotel inaenda
Sijajua ila jaribu mitandao mengine utagundua hayo maneno sio kwamba hayaendi hayamfikii mlengwa. Yaani simu inaweza ikaonesha text imetoka lakini inakoenda haifiki.
 
Nikituma ujumbe ukawa end to end encrypted unakuwa hauji waziwazi. Nakuandikia "nitumie laki moja" ila ujumbe unakuwa coded kwenye keys unakuja unasoma labda "£@5ghdlh ...gjtl".

Ukipokea ujumbe huo unakuwa na encryption keys zinafungua ujumbe na kwako unasomeka "nitumie laki moja" ila kama kuna mtu katikati labda mtandao au spy kwa bahati mbaya amenasa mawasiliano atasoma zile codes haelewi.

Kuvunja security hiyo ni kazi ngumu, kampuni moja ya Israel inaitwa NSO Group ilitengeneza spyware ilitwa Pegasus ya kupenya mifumo ya ulinzi ya WhatsApp na kujua taarifa za mtumiaji.

Hata hivyo hakuna muuza mitumba angefuatiliwa na spyware hiyo. Gharama za kununua mfumo ilikuwa ni zaidi ya bilioni 1.5 TZS, gharama za kufunga kwa simu 10 tu ilikuwa ni zaidi ya bilioni 1.1 na kuna gharama za uendeshaji kwa mwaka ni kwenye milioni 100+.

Na si kila nchi ingeuziwa, mfano bongo tusingeuziwa sisi hatuna siri.
Pegasus sio billion moja mkuu. Ni billion 150.
 
Hakununua kabisa, niamini 100%. Kwa Afrika aliyenunua wa uhakika ni Rwanda. Si kila nchi ilikuwa na sifa ya kuuziwa, wenye midomo na wakurupukaji ambao hawana hata ujasusi wa maana hawakuwa wanauziwa.

Kwa sheria za Israel bidhaa zote za kijeshi/usalama zinazouzwa deal linapitishwa kwanza na serikali. Ndio maana kwenye wanunuzi hakuna nchi ya Ulaya, ni kina Saudia, UAE, Rwanda, India, etc. Sio nchi Rais anabadilisha mkuu wa Usalama wiki ijayo, tiyari mfyatua tofali leo anajua.
Kwa hiyo Rwanda ina ujasusi wa maana?
 
Na majirani zake ..
Aah mkuu sasa wewe unaweza list accomplishments za majirani zake kwenye medani miaka ya hivi karibuni?
Rwanda mwaka huu wamefukuza wanajeshi 200 na maafisa, mwaka juzi walifukuza majenerali, wakabadili Waziri wa Ulinzi na changes nyingine kwenye state apparati na taarifa haikuvuja hata moja.
Jirani yeye akiwa kwenye mchakato wa kubadili Katibu Mkuu Usalama au Waziri, tiyari muuza gongo mfuatiliaji anajua. Sasa hao ndio wauziwe Pegasus, unadhani kwanini ilidumu miaka bila kujulikana, sababu hawakuuziwa waropokaji.
 
We jamaaa muongo😂isingekubwa ban ningekutukana😂😂
 
Aah mkuu sasa wewe unaweza list accomplishments za majirani zake kwenye medani miaka ya hivi karibuni?
Rwanda mwaka huu wamefukuza wanajeshi 200 na maafisa, mwaka juzi walifukuza majenerali, wakabadili Waziri wa Ulinzi na changes nyingine kwenye state apparati na taarifa haikuvuja hata moja.
Jirani yeye akiwa kwenye mchakato wa kubadili Katibu Mkuu Usalama au Waziri, tiyari muuza gongo mfuatiliaji anajua. Sasa hao ndio wauziwe Pegasus, unadhani kwanini ilidumu miaka bila kujulikana, sababu hawakuuziwa waropokaji.
Hao wanajeshi kawafukuza au kawapeleka M23 kuongezea nguvu.

Pegasus imekuja kujulikana kwa public baada ya mauaji ya Kashoggi. Ndio tukaisikia kwa mara ya kwanza.
 
Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili?

View attachment 3087150


Lakini ukiandika kwa kuacha nafasi sms inaenda au ukiweka alama katikati ya neno SEX mfano SE.X sms ndio inaenda nani kuruhusu mambo haya?

 
Hao wanajeshi kawafukuza au kawapeleka M23 kuongezea nguvu.

Pegasus imekuja kujulikana kwa public baada ya mauaji ya Kashoggi. Ndio tukaisikia kwa mara ya kwanza.
Nani alijua kabla ya wao kuondolewa jeshini? Na si mara ya kwanza na sidhani kama itakuwa ya mwisho akiendelea kuwepo. Kagame kabadili tena kwa kufukuza kazi wakuu wa jeshi, usalama na mawaziri wa ulinzi tena wengine wamekimbia uhamishoni ila kote uko husikii tetesi kiholela. Unasikia taarifa rasmi ya serikali.

Pegasus ilijulikana kabla hata ya Kashoggi sema sio large scale. Kuna mwandishi wa habari UAE aliishaitumia Lab moja ya Canada link waichunguze, olitumiwa kwa iOS 6 ilikuwa kama 2012 au 2013. Ndio ileile Pegasus. So ina maana muda wote huo walikuwa wanatoa versions kwa siri na kwa watu wachache sana. Sasa ndio uwape hawa ambao mkuu wa taasisi tu kubadilishwa kila mtu anajua kabla na lini itatokea si mwaka uleule imeanza kutumika ingejulikana siri zote.
 
Huu ushuhuda sisi tusiokuwa na umalaya ndo tunajua Leo... Mbona hamkusema mapema...
 
Back
Top Bottom