Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili?

Pegasus mbona mwendazake aliinunua inavyoaminika!!??
 
Hizo gharama kwa serikali ingemudu sema kwenye matumizi yake ingekuwa utata
 
Neno tigo👈
Kwampalange👈
Haifai👈kuona kama nineno la maana katika
mazungumzo😂
 
Hizo gharama kwa serikali ingemudu sema kwenye matumizi yake ingekuwa utata
Nani angeiuzia serikali ya Tanzania hii ambayo kila inachofanya kinajulikana kabla. Na hakuna serikali duniani ingeshindwa kumudu, sasa ndio kusema ingemfuatilia hata muuza maembe, kachori, mlima mapapai kisa tu inamudu. Waliokuwa wanafuatiliwa kwa nchi unakuta hawafiki 10 walewale kwenye package ya kwanza.
 
Pegasus mbona mwendazake aliinunua inavyoaminika!!??
Hatununua kabisa, niamini 100%. Kwa Afrika aliyenunua wa uhakika ni Rwanda. Si kila nchi ilikuwa na sifa ya kuuziwa, wenye midomo na wakurupukaji ambao hawana hata ujasusi wa maana hawakuwa wanauziwa.

Kwa sheria za Israel bidhaa zote za kijeshi/usalama zinazouzwa deal linapitishwa kwanza na serikali. Ndio maana kwenye wanunuzi hakuna nchi ya Ulaya, ni kina Saudia, UAE, Rwanda, India, etc. Sio nchi Rais anabadilisha mkuu wa Usalama wiki ijayo, tiyari mfyatua tofali leo anajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…