Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

nikikupa conditions ili ombi lako lifanyike utaweza ?
 
nikikupa conditions ili ombi lako lifanyike utaweza ?
Ukishaanza kunipa conditions maana yake uchawi wako umeshindwa kufanya kazi.

Chukua maandishi yangu uniloge, ukianza kunipa condition ndiyo mwanzo wa kuniuliza jina langu na kunitumia majambazi waniue, huo si uchawi.
 
tunarudi kule kule nmekuuliza unaelewa nini kuhusu binadamu namna anavyojifunza na jinsi anavyo correct old belief hujajibu unaleta story za mirrage jangwani nkikuuliza tena utakuja na habari za illusion, hallucination au mazigazi
 
tunarudi kule kule nmekuuliza unaelewa nini kuhusu binadamu namna anavyojifunza na jinsi anavyo correct old belief hujajibu unaleta story za mirrage jangwani nkikuuliza tena utakuja na habari za illusion, hallucination au mazigazi
Hujathibitisha uchawi upo.

Unaleta habari za kuona mara kumi, huko kuona kwenyewe, kicha ya kwamba kuona si uthibitisho, hata kuona kwenyewe hujatuthibitishia umeona.
 
Ukishaanza kunipa conditions maana yake uchawi wako umeshindwa kufanya kazi.

Chukua maandishi yangu uniloge, ukianza kunipa condition ndiyo mwanzo wa kuniuliza jina langu na kunitumia majambazi waniue, huo si uchawi.
basi endelea kudebate na wengine ungekua unajiamini ungekubali
 
Kama wewe ni passionate learner tutaanza safari na utajifunza mwenyewe hadi utapata kuelewa uchawi upo na tena kuna parallel unseen world. Ila uwe open minded na unyenyekevu wa kutaka kujifunza.
I’m open minded and that’s why I’m asking for proof.

Just show me that sorcery and black magic are real.

Why is it so hard to prove it?
 
Visingizio vipi nimeweka hapo?
Vyote ulivyoandika kwenye bandiko nililokunukuu ni visingizio tu.

Mimi nimeshajitolea mniroge ili mthibitishe kuwa uchawi upo.

Mnaleta visingizio. Mara sijui inategemea na mazingira. Mara sijui inategemea na ukoo. Mara sijui huwezi kurogwa bila sababu!

Hivyo visingizio ni ushahidi kwamba uchawi haupo.

Ingekuwa kweli uchawi upo na mna uwezo wa kuthibitisha, mngekuwa mshathibitisha siku nyingi sana na huu ubishi leo hii wala usingejuwepo.
 

Daah hatari sana ,watu wanadanganywa sana na waganga feki ,bado kuna hawa manabii feki nao wanawapiga pesa sana wakina mama!! Inabidi serikali iingilie kati kuwasanua misukule iliyonaswa.

Kuna Tapeli Mwingine ana kanisa Buza Kwa Lulenge aisee jamaa anawadanganya watu sana ,yaani mtu yeyote atakayepiga simu lazima apone hata akiwa na ugonjwa ambao hauna tiba ,cha kushangaza hiyo namba muda wote inatumika hata kama hakuna mtu aliyepiga simu ,jamaa anachofanya anaingia studio anatengeza conversation za mtu anayepiga simu kumbe tayari kashapewa script then wanahadaa wasikilizaji,wanarusha vipindi recorded.
 
Jidanganye tu.. ni akili yako,uko free kuitumia
 
Mkuu soma biblia toka mwanzo hadi ufunuo kwa makin
then ukimaliza urudie kama mara mbili then uje usome huu uzi uloandika

Uchawi umetajwa sana huko na mambo ambayo walifanya.
Mapepo ya utambuzi n.K
Kwani biblia ni ukweli!?
 
INategemea unavyoichukulia wewe
Kitu kama ni cha ukweli hata kama nikikichukulia kuwa uongo, haikibadilishi wala kukifanya kuwa cha uongo.

Kitu kama ni cha uongo hata kama nikikichukulia kuwa ni ukweli,
Haibadilishi wala kukifanya kitu hiko kuwa cha kweli kwasababu ya mtazamo wangu binafsi

Unaelewa hilo!?

Mwenye mdahalo hapo ni wewe

Mwenye hoja za biblia kama kigezo na ushahidi katika kweli ni wewe,

Wewe unaichukuliaje biblia ni ukweli ama uongo hadi Umeleta utetezi wa habari za uchawi kuandikwa humo ?
 
Na H
Na
Hakuna Mungu wala shetani
 
I’m open minded and that’s why I’m asking for proof.

Just show me that sorcery and black magic are real.

Why is it so hard to prove it?
Haya mambo approach yake sio kama ile ya mathematics, prove the Pythagoras Theorem on a piece of paper. Ni mambo ya kiroho na yapo subtle sana ndio maana wengi wanashindwa kuyaelewa au hata kuyafuatilia. Ni safari inataka utayari wa kujifunza kama upo tayari nitakutumia clips za watu wenye first hand experience kwenye hayo mambo halafu you can move on from there but you have to be true to yourself and let truth find its way in you. Ukiwa hivyo utajifunza a whole new world which is unknown to common person.
 
Kama kuna parallel unseen world wewe umejuaje ipo?
Kuna mambo mengi ambayo ni unseen lakini wanadamu wanajua kuwa yapo na wanayatumia. Haya mambo yana exist intellectually tu. Hujawahi kuona mawimbi ya simu lakini unayatumia kila siku. In fact mambo mengi ni yale yasiyoonekana.
 
kuhusu kupata pesa ama utajiri waganga wanacheza pia na human psychology ya kukupa masharti ambayo yatakufanya uwe mbahili na unatunza sana pesa na kuwekeza.
Hapa umepuyanga, waganga hawanaga elimu ya uwekezaji, wao ni makafara tu, na sina uhakika kama kunamtu amefankiwa kupata pesa au utajiri kwa ushauri wa mganga.
 
Mm nimesoma anthropology mkuu UDSM- pale. Uchawi upo! Na tumepata dodoso. Uchawi upo wa aina mbili ambao unahusisha object zilizokosa nasaba zako. Na Kuna ule unaohitaji object zenye vinasaba vyako kama nywele, nyuzi kutoka kwenye nguo uliyovaa, kucha nk.

Kuna lekcha wa UDSM-ana PhD ya anthropology ashapaa na ungo na mpaka Leo ukienda pale coss utapnywesha. Anachechemea, mana huyo ndie alitibu tatizo la wazee wenye macho mekundu shinyanga kuuliwa. Anthropology unatumia ethnographic study... Lazima na wewe ushiriki/upishi na jamii unayoifanyia tafiti ili upate uhalisia wa ndani (Emic). Mana uhalisia upo wa aina mbili
 



Kijana acha mbwembwe.. mtu anayejua kitu huwa anakieleza kwa urahisi kila mtu anamuelewa.

Maelezo yako tu yanaonesha ni wale wanaokariri ili wafaulu mitihani. Ila hawaelewi wanachokariri.

Nakuwekea link usome

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…