secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
We niambie Chalamila ni nani.Hivi unajua maana ya Jiji?
Jiji ni mkoa mkuuubwaaa aka city
Hata mbeya, Arusha na Mwanza ni majiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We niambie Chalamila ni nani.Hivi unajua maana ya Jiji?
Jiji ni mkoa mkuuubwaaa aka city
Kwamba unamsema chingaboy aka harmonize ?Nilimjibu mwenzako hapo juu mimi mzaliwa wa Dar. Nimejenga Dar na nilirithi nyumba Dar tena prime area. Hivyo Dar ni my domicile yaani nazikwa Kisutu. Hapa tunajadili uchumi na kufanikiwa kimaisha, wengi wa mnaokuja mjini mnaishia umachinga na sasa hivi bodaboda au mnaishia kukata viuno kwenye bar ili kujikimu hayo si maisha.
Tasavali sanaHuo msemo wa Dar na mikoani naomba muufute kwa maana Dar ni mkoa.
Oyaaa😁Kwamba unamsema chingaboy aka harmonize ?
Haya ni majibu ni ishara ya kwamba umenielewa..Umeongea pumba
Basi tatizo hapo ni la hao wanaotoka mikoani kuja dar, ila born here here hawana shida ndio kwanza wanakimbilia mikoani kutafuta fursa.Hata wa dsm
Kuna watu wana miaka 30 toka wametoka mikoani kwao
Hawana ramani,mjini hata makazi ya kueleweka lakini huko nyumbani kwao wazazi wao wamewaachia mali za kutosha...ardhi,mashamba,majumba ila wapo dsm kupiga mishen town tu wakiwatambia wenzao mikoani
Unajua sifa ya jiji?We niambie Chalamila ni nani.
Hata mbeya, Arusha na Mwanza ni majiji.
Unakuta kajitu kamejibanza kwenye kibanda chenye joto kali na mbu kwa Rulenge au buza ndani ndani huko ila anamdharau mtu mwenye maisha yake huko Busokelo. Tabia mbayaYaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Anawakumbusha watu mikoani kuna fursa pia.Kwanini hili linakushughulisha mpaka umelianzishia thread?
Kama mtu kaamua kuishi Dar anaona hapo ndipo kuna maisha mazuri huo si uhuru wake tu na anaishi anavyotaka, tatizo liko wapi?
Watanzania wengi ni mabingwa wa kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo wasiyoyaelewa.Anawakumbusha watu mikoani kuna fursa pia.
Hahahaha 😂Unajua sifa ya jiji?
Jiji Tanzania ni moja tu Dar hivo vingine ni vijiji vikubwa vya ccm
Mjini kuna unyama mwingi ila kutokua na kitu ilo nalo ni tatizoMKUU MJINI RAHA. HATA KAMA HUNA KITU
Dar watu wengi wanapoteza tu muda ila hawajijui wakishtuka umri umeenda mm. Nilishtuka mapema sasa hv huwa naenda dar kula bataYaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Huko mkoani watu wanatusua maisha sana sana aisee.Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.