Sasa kama mtu kaamua kupoteza muda wake yeye mwenyewe, kwenye maisha yake yeye mwenyewe, wewe inakuhusu nini?Tarizo lipo kwenye kupoteza muda na mindset ya kuwa kuishi dsm ndio kupatia maisha
Kasumba kasumba kasumba
Mi dar huwa na kwenda kula hela na shoping kisha narudi zangu interior kusaka point 3 muhimuYaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Watanzania wengi kama wewe ni mabingwa wa kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo wasiyoyaelewa.Ni ushauri tu. Sio lazima mtu aupokee
Hahaa jamaa ana assumptions za uongoSasa kama anamiaka mjini 30 yeye atakuwa na umri gani?
Ni wengi mno, zaidi ya asilima 30 ya watu wapo kwenye hili kundi,Unakuta mtu amekaa dsm 10 yrs Hana ata kiwanja , nyumba wala biashara halafu anajikuta mjanja et ni WINGA teleza😃
kweli my loveBahati popote
🔨Ni wengi mno, zaidi ya asilima 30 ya watu wapo kwenye hili kundi,
Kwani ushauri lazima uombwe? Wataalamu wa afya wako kwenye media kila siku wanatoa ushauri kwani nani kawaomba?Watanzania wengi kama wewe ni mabingwa wa kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo wasiyoyaelewa.
Maisha popote bhana....Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Wale wanafanya biashara zao, wanatoa ushauri na kuvutia wateja. Tena kwa kujitambulisha na kualikwa.Kwani ushauri lazima uombwe? Wataalamu wa afya wako kwenye media kila siku wanatoa ushauri kwani nani kawaomba?
Mbona na wewe hapa unatoa ushauri sasa? Kama kutoa ushauri bila kuombwa ni kosa?Wale wanafanya biashara zao, wanatoa ushauri na kuvutia wateja. Tena kwa kujitambulisha na kualikwa.
Na zaidi, suala si kutoa ushauri bila kuombwa tu. Nimeongelea mambo matatu.
1. Kutoa ushauri bila kuombwa.
2. Kwa watu usiowajua.
3. Kuhusu mambo usiyoyaelewa.
Sasa mtaalamu anaitwa kwenye media, analenga watu fulani ambao anawajua, kawasomea, anawashauri kwenye mambo anayoyaelewa, kayasomea, unamuwekaje kwenye hoja zangu hapa?
Inanihusu pale ambapo muda anaoupoteza huleta ushawishi kwa wengine ili waupoteze kama yeye..Mm ni sehemu ya jamii,siwezi kujitenga nayo wakati tunaishi kwa kutegemeanaSasa kama mtu kaamua kupoteza muda wake yeye mwenyewe, kwenye maisha yake yeye mwenyewe, wewe inakuhusu nini?
Ahsante kwa muongozo.Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Sasa kwani kuna ukomo wa umri wa mtu kuishi mjini? Swali gani hilo? Wewe wajua umri wa watu wote duniani mpk uulize hivyo?Sasa kama anamiaka mjini 30 yeye atakuwa na umri gani?
JF ni public forum.Mbona na wewe hapa unatoa ushauri sasa? Kama kutoa ushauri bila kuombwa ni kosa?
Umesahau geto Kuna air force mbili za kuvimbia😂😂Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.