Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Wapi nimemzuia asitoe ushauri wake?Sasa kwanini unajaribu kumzuia asitoe ushauri wake kama unajua Jf ni public forum na yeye ni mtu kutoa kwenye jamii anayoizungumzia?
Mimi si mod, ni mchangiaji tu, nitamzuiaje asitoe ushauri wake?
Unajua tofauti ya kukosoa mawazo ya mtu na kumzuia mtu asitoe mawazo yake?