Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko tuje kiongozi?Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Wanadanganyika tuKila siku jiji linapokea wageni kutoka mikoani hasa vijana, sijui tunaiwekaje hii..?
Vijamaa vinawivu sana na watu wa Dar, kila siku vinaanzisha thread za kujifariji..🤣Mtaani wapi huko? Hizi hoja zinaongelewa sana na wasio wakazi wa dar sijui ni kwanini.
Dar pamechangamka kifursa kuanzia level ya chini ya maisha mpaka level ya juu. Kuna sehemu kuitafuta elfu 5 kwa siku ni mtihani sana.
Haya wape ushauri na wao.Wanadanganyika tu
Ujumbe wako una utapia mlo wenye hali mbayaWatu wa Daslam wameyapatia sana maisha kwenye kujua Aziz Ki jana alipikiwa nini na yule mwanamke aliemuoa juzi (jina lake nimelisahau)
Wameyapatia sana maisha kujua Diamond atamuoa zuchu au anamchezea.
Wanajua sana maisha kuwa mechi ijayo ya Simba na Yanga refa gani asichezeshe hiyo mechi maana kahongwa.
Wanajua sana wasafi Media ni ya Diamond au siyo, Crown Media ni ya kiba au siyo
Wewe wa mkoani unajua nini bana?
Nimerudia kusoma alichoandika au alichotaka kuandika sijaelewa...
Kwani alitaka kusemaje...
Ulivyoandika kama unaakili kumbe unaimba nyimbo za zuchu mwanzo mwishoUjumbe wako una utapia mlo wenye hali mbaya
Kuna mtu kasema mtu anamiaka 30 Dar hajafanya chochote na anavimba kuwa yupo Dar wakati huyo mtu kama alikuwa Dar anamiaka 20 Kwa Sasa anamiaka 50 Sasa huo ni umri wa kutamba kwamba upo Dar.Hawajiamini
Anamaanisha badilisha mtazamo wako. Yafukiri maisha kwa ubongo mpana zaidi. Badilisha namna unavyowawazia wengine.Kwahiyo unashauri watu wote waondoke mijini warudi vijijini, sindio au?!
Watu wa bush mnajiboost sioYaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Angalau kila siku jioni uweze kununua kiti moto kilo moja (nusu roast, nusu kavu), ndizi 2, na bia 3 baridi.Naomba kuuliza vigezo vya kuonekana umefanikiwa hapa bongo ni vp
Unaweza kumaliza njaa kwa kutumia jembe la mkono na mvua ambazo hazitaburiki,?Njaa vipi wakati watu wanalima?
Huyu si kiranga tumfamuye humu jf......tunayemfahamu ni zaidi ya hivi. Mantiki ya mleta mada haijaeleweka kweli?!!!!Kwanini hili linakushughulisha mpaka umelianzishia thread?
Kama mtu kaamua kuishi Dar anaona hapo ndipo kuna maisha mazuri huo si uhuru wake tu na anaishi anavyotaka, tatizo liko wapi?
Huyu si kiranga tumfamuye humu jf......tunayemfahamu ni zaidi ya hivi. Mantiki ya mleta mada haijaeleweka kweli?!!!!
Aisee kama sasa hivi Ukame nchi nzimaUnaweza kumaliza njaa kwa kutumia jembe la mkono na mvua ambazo hazitaburiki,?
Kama uko level hii kwa Bongo we ni TajjriAngalau kila siku jioni uweze kununua kiti moto kilo moja (nusu roast, nusu kavu), ndizi 2, na bia 3 baridi.