Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

Yaani Haya Maisha Bwna.

Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.

Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.

Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.

Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.

Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.

We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.

Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.

Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.

Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.

Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Wapi huko tuje kiongozi?
 
Watu wa Daslam wameyapatia sana maisha kwenye kujua Aziz Ki jana alipikiwa nini na yule mwanamke aliemuoa juzi (jina lake nimelisahau)

Wameyapatia sana maisha kujua Diamond atamuoa zuchu au anamchezea.

Wanajua sana maisha kuwa mechi ijayo ya Simba na Yanga refa gani asichezeshe hiyo mechi maana kahongwa.

Wanajua sana wasafi Media ni ya Diamond au siyo, Crown Media ni ya kiba au siyo

Wewe wa mkoani unajua nini bana?
Ujumbe wako una utapia mlo wenye hali mbaya
 
Hawajiamini
Kuna mtu kasema mtu anamiaka 30 Dar hajafanya chochote na anavimba kuwa yupo Dar wakati huyo mtu kama alikuwa Dar anamiaka 20 Kwa Sasa anamiaka 50 Sasa huo ni umri wa kutamba kwamba upo Dar.

Hawa jamaa hawajiamini kabisa sijawahi ona mtu anamlaumu mtu wa mkoani kwanini hawaji Dar lakini wao kila siku ni vi manung'uniko dhidi ya watu wa Dar
 
Sio lazima uwe na Mishe,wengne ni wazawa washazoea maisha ya Daslam,mioyo yao hujaa Amani wakiwa DSM,Nna rafiki zangu wawili walipata kazi (gvt) mikoani hawakwenda,kupanga ni kuchagua,linda amani ya nafsi yako,maisha ni yako,ishi vile roho yako inataka...
 
Kwahiyo unashauri watu wote waondoke mijini warudi vijijini, sindio au?!
Anamaanisha badilisha mtazamo wako. Yafukiri maisha kwa ubongo mpana zaidi. Badilisha namna unavyowawazia wengine.

Kuna watu wanadhani kuishi kijijini au mkoani basi wwni mtu uliyefeli maisha au huna vha kufanya na huna ujualo.
 
Yaani Haya Maisha Bwna.

Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.

Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.

Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.

Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.

Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.

We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.

Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.

Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.

Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.

Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Watu wa bush mnajiboost sio
 
Huyu si kiranga tumfamuye humu jf......tunayemfahamu ni zaidi ya hivi. Mantiki ya mleta mada haijaeleweka kweli?!!!!

Kiranga haeleweki kirahisi wacha kujifanya unamuelewa Kiranga kirahisi hivyo.

Siku utakayojifanya unamuelewa Kiranga kirahisi ndiyo siku utakayogundua hujamjua Kiranga bado.

Kasome post # 69.

Nimeweka mpaka vifungu vya katiba vinavyoelezea uhuru wa kila mtu kujiamulia maisha yake mwenyewe na kuwa huru kuishi popote Tanzania.

Mnataka kuwaingilia watu katika uhuru wao wa kikatiba na haki zao za kibinadamu za kuamua kuishi wanavyotaka, pahali wanapotaka?
 
Back
Top Bottom