Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

Ukiwa Dar es Salaam unaweza kudhani maisha umeyapatia, kumbe umechelewa sana bila kujua

Kuna Biashara na fursa Ambazo hauwezi kuzifanya ukiwa nje ya DSM ni vizuri ukaongeza maarifa na akili za utambuzi wa mambo kukariri maisha sip jambo zuri.
 
Tarizo lipo kwenye kupoteza muda na mindset ya kuwa kuishi dsm ndio kupatia maisha
Kasumba kasumba kasumba
Hii mind set ni tatizo na janga zaidi ya Kansa, nina madogo mawili wanaishi Dar hata mchongo wa maana hawana kazi za kueleweka zaidi ya saidia fundi, lakini wanadharau sana watu wa huku Tabora walikotoka, ila wanatupiga mizinga sisi wa mikoani
 
Yaani Haya Maisha Bwna.

Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.

Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.

Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.

Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.

Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.

We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.

Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.

Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.

Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.

Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Mistari ya mtu mwenye stimu ya pombe kichwani
 
Hii mind set ni tatizo na janga zaidi ya Kansa, nina madogo mawili wanaishi Dar hata mchongo wa maana hawana kazi za kueleweka zaidi ya saidia fundi, lakini wanadharau sana watu wa huku Tabora walikotoka, ila wanatupiga mizinga sisi wa mikoani
Ni zaidi ya kansa kwa kweli
 
Kuna mtu kasema mtu anamiaka 30 Dar hajafanya chochote na anavimba kuwa yupo Dar wakati huyo mtu kama alikuwa Dar anamiaka 20 Kwa Sasa anamiaka 50 Sasa huo ni umri wa kutamba kwamba upo Dar.

Hawa jamaa hawajiamini kabisa sijawahi ona mtu anamlaumu mtu wa mkoani kwanini hawaji Dar lakini wao kila siku ni vi manung'uniko dhidi ya watu wa Dar
Hawajiamini na wana mtazamo hasi dhidi ya dar.
 
Back
Top Bottom