Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #141
Maisha ni MapambanoKwanini unaishi kwa kushindana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ni MapambanoKwanini unaishi kwa kushindana?
Lakini sio mashindano ishi maisha yakoMaisha ni Mapambano
Hayo ndio yalikuwa maisha yangu kabla sijaenda Dar.Dogo wee baki tu Dar. Utaweza kunya vichakani/ porini kila siku?
Hayo ndio yalikuwa maisha yangu kabla sijaenda Dar.
Kulikuwaga hadi kampeni ya kuhamsisha kila kaya kuchimba choo sababu wengine walikuwa hawachimbi kisa kutegemea vichaka kumaliza kukihudumia
Kwa sasa mambo yashabadilika, kwa asilimia kubwa wameelimika, huduma muhimu kama hii ya Choo inapatikana vizuriHii ndo sababu ambayo huwa inanifanya nisipende kwenda kijijini
Hii mind set ni tatizo na janga zaidi ya Kansa, nina madogo mawili wanaishi Dar hata mchongo wa maana hawana kazi za kueleweka zaidi ya saidia fundi, lakini wanadharau sana watu wa huku Tabora walikotoka, ila wanatupiga mizinga sisi wa mikoaniTarizo lipo kwenye kupoteza muda na mindset ya kuwa kuishi dsm ndio kupatia maisha
Kasumba kasumba kasumba
Mistari ya mtu mwenye stimu ya pombe kichwaniYaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
😅😅😅Hayo ndio yalikuwa maisha yangu kabla sijaenda Dar.
Kulikuwaga na hadi kampeni ya kuhamasisha kila kaya kuchimba choo sababu wengine walikuwa hawachimbi kisa kutegemea vichaka kumaliza kujihudumia
Ni zaidi ya kansa kwa kweliHii mind set ni tatizo na janga zaidi ya Kansa, nina madogo mawili wanaishi Dar hata mchongo wa maana hawana kazi za kueleweka zaidi ya saidia fundi, lakini wanadharau sana watu wa huku Tabora walikotoka, ila wanatupiga mizinga sisi wa mikoani
Hawajiamini na wana mtazamo hasi dhidi ya dar.Kuna mtu kasema mtu anamiaka 30 Dar hajafanya chochote na anavimba kuwa yupo Dar wakati huyo mtu kama alikuwa Dar anamiaka 20 Kwa Sasa anamiaka 50 Sasa huo ni umri wa kutamba kwamba upo Dar.
Hawa jamaa hawajiamini kabisa sijawahi ona mtu anamlaumu mtu wa mkoani kwanini hawaji Dar lakini wao kila siku ni vi manung'uniko dhidi ya watu wa Dar
😂 wanateseka na maisha ya wakazi wa darVijamaa vinawivu sana na watu wa Dar, kila siku vinaanzisha thread za kujifariji..🤣
Jidanganye hivyo hivyoHii haimhusu Half american a.k.a nusu albino, ana mjengo mkali sana
Ndio maana nikasema hawajiamini, na wengi itakuwa waliyashindwa maisha ya dar.Watu wa mikoani wanapenda sana kujifariji. Ukitafuta takwimu zote NBS za nchi hii Dar ndio inaongoza kwa maisha bora kwa mbali sana na huko mikoani.
Na ukisoma point zao unaona kabisa wanawazungumzia vijana ambao bado hawajajipata, utafkiri wakazi wote wa Dar wanaishi life style ya aina hiyo.😂 wanateseka na maisha ya wakazi wa dar
Sio yaliwashinda pengine hata hawajawahi kufika so wanadanganyana tu huko huko mikoani.Ndio maana nikasema hawajiamini, na wengi itakuwa waliyashindwa maisha ya dar.