Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mradi wa 200m sio, ni mmoja kati ya 100.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,Inanihusu pale ambapo muda anaoupoteza huleta ushawishi kwa wengine ili waupoteze kama yeye..Mm ni sehemu ya jamii,siwezi kujitenga nayo wakati tunaishi kwa kutegemeana
Sasa kwanini unajaribu kumzuia asitoe ushauri wake kama unajua Jf ni public forum na yeye ni mtu kutoa kwenye jamii anayoizungumzia?JF ni public forum.
Ukileta mada yako JF maana yake umeomba watu wachangie.
Nongwa tuKwa nini hili linakushughulisha mpaka umelianzishia thread?
Kama mtu kaamua kuishi Dar anaona hapo ndipo kuna maisha mazuri huo si uhuru wake tu na anaishi anavyotaka, tatizo liko wapi?
Takwimu ziko wapi za wanaosema kuwa kuishi dar ni kuyapatia maisha na kuishi mkoani n kushindwa maisha?Tarizo lipo kwenye kupoteza muda na mindset ya kuwa kuishi dsm ndio kupatia maisha
Kasumba kasumba kasumba
Stori yako umeigeuza juu chini...ukikaa mkoani ukamiliki Raum na nyumba unaonekana una maisha ila Nenda Mjini uone mbweni,masaki, mbezi beach na pengineo utajua mikoani hakuna matajiri wapo watu wenye hela ya kula.Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Ndio hapo ni ngumu mtu wa Dar kumtambia maisha mtu mkoani hasa akiwa hajafanya chochote home. Maana Kuna muda watu huwa wanajuta kwanini wapo mjini Bora wangeishi shamba.Hahaa jamaa ana assumptions za uongo
Zitafute zilipo hiyo sio kazi yangu,kama ni NBS au wewe mwenyewe sawaTakwimu ziko wapi za wanaosema kuwa kuishi dar ni kuyapatia maisha na kuishi mkoani n kushindwa maisha?
Dogo wee baki tu Dar. Utaweza kunya vichakani/ porini kila siku?Ahsante kwa muongozo.
Ngoja nikate tiketi nije mkoani moja kwa moja
Kama nakuelewa vile!Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Mtaani wapi huko? Hizi hoja zinaongelewa sana na wasio wakazi wa dar sijui ni kwanini.Zitafute zilipo hiyo sio kazi yangu,kama ni NBS au wewe mwenyewe sawa
Ila mm nazungumzia uhalisia mtaani
HawajiaminiNdio hapo ni ngumu mtu wa Dar kumtambia maisha mtu mkoani hasa akiwa hajafanya chochote home. Maana Kuna muda watu huwa wanajuta kwanini wapo mjini Bora wangeishi shamba.
Sema watu wa mikoani huwa ndo huwa wanahizo assumption kuwa watu wa Dar wamefanikiwa hivo kuanza kuwatolea maneno ya shombo
Kwasababu kama mafanikio inabidi wajiuluze wote waliopo mikoani wamefanikiwa?
Hizo ni imani potofu mkuu.Mtu ukiwa Dar es salaam au ukiishi Ulaya ndugu zetu hutuchukulia kama tumeshatoka kimaisha. Mara nyingi wengi hudanganyika na life style yetu tunapokuja mapumziko huko nyumbani, ukweli ni kwamba huwa tumejipanga kwa kipindi hicho na maisha mnayoyaona kwa wakati huo yalikuwa budgetted before. Kumbukeni mengi tunayoyaona au kuyasikia katika dunia hii siyo halisi ishini maisha yenu.Yaani Haya Maisha Bwna.
Yanaweza kuwa yamekupiga Chenga ila bado ukawa unaamini umeyapata.
Hasa hasa kama una ishi Dar kuna kaimani kanakujia kichwani kwamba huko Mbeya hakuna kitu, kuna kasumba inakupumbaza kichwani kwamba huko Mtwara kumejaa maskini tu na hakuna hela. Yaani Kichwa kinajaa na kuvimba kabisa kwamba wanaoishi Singida au Nzega Tabora ni watu wenye hali duni.
Tena kuna kitu kinakujaa kabisa unaamini watu wa Tanga wanakula bata gani bwana? Kuna nini cha ajabu Tanga? Kwanza kule Rami yenyewe ya magumashi.
Kumbe Hapo Dar ulicho nacho ni Geto la Chumba Master, Sebule na Jiko, TV ya Nchi 50, Saboofa la Aborder na Mademu kama wawili hivi wa kubadilisha badilisha na wanakugombania.
Huku Mkoani Nachingwea, Dumila, Handeni na Rufiji Vijana wana miliki Mamilioni ya Fedha na Miradi kadhaa isiyohamishika yenye thamani mpaka 200M.
We mali zako hazifiki hata 10M na hilo Duka lako la Mpesa, Tigopesa, halopesa etc.
Huku watu wanakula Bata si la Nchi hii. Wana Majumba mazuri, watoto wa kwenda.
Magari ya kufa mtu ya kifahari hata kama hayafiki 50M lakini hizi za 15M, 18M, 20-25M hadi 45M zipo za kumwaga.
Wewe unajidai mademu wawili wamejaa Enjoface na Macream huku watu wanapiga hadi 8 Kuku wa Kienyeji.
Kwenye Biashara ndio usiseme. Mshindo mmoja tu unatoboa maisha.
Shubaaaamiti kuku wanakuja wenyewe kweli dar pagumu.Kweli kwa kiasi fulani.
Anyway, nauza kuku natuma na mkoani free delivery nawaelekeza ulipo wanakuja wenyewe.
You are RightHizo ni imani potofu mkuu.Mtu ukiwa Dar es salaam au ukiishi Ulaya ndugu zetu hutuchukulia kama tumeshatoka kimaisha. Mara nyingi wengi hudanganyika na life style yetu tunapokuja mapumziko huko nyumbani, ukweli ni kwamba huwa tumejipanga kwa kipindi hicho na maisha mnayoyaona kwa wakati huo yalikuwa budgetted before. Kumbukeni mengi tunayoyaona au kuyasikia katika dunia hii siyo halisi ishini maisha yenu.
HahahahNjoo huku kijijini ulime kwa kutegemea mvua, ndiyo utajua hujui somo wala darasa.
Stori za ufugaji wa kuku zipo sana, njoo sasa ujaribu.
Zile stori za ukifiga kuku 20 kila mmoja akatotoa angalau vifaranga 10 tu unapata kuku 200😀😀Stori za ufugaji wa kuku zipo sana, njoo sasa ujaribu
Kweli mkuuMtaani wapi huko? Hizi hoja zinaongelewa sana na wasio wakazi wa dar sijui ni kwanini.
Dar pamechangamka kifursa kuanzia level ya chini ya maisha mpaka level ya juu. Kuna sehemu kuitafuta elfu 5 kwa siku ni mtihani sana.