Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Wala huna tatizo lolote cute, inaonekana huna njaa ya pesa unatoka Kwenye familia inayojiweza au una kazi nzuri inayokupa kipato kizuriKweli kabisa!! Nahisi nitakuwa na tatizo!! Au ww unaonaje?? π
Njaa ninazo ila sipendi tyuu.!! Napenda kutoa kuliko kupokeaWala huna tatizo lolote cute, inaonekana huna njaa ya pesa unatoka Kwenye familia inayojiweza au una kazi nzuri inayokupa kipato kizuri
Hamna mwenye muda na mimi maana Sina farangaππππ Mbona hawakuulizi ww avatar ya mkweche?? Basi naweka ya mama
Then you're one in a million, Yaani hupendi kumuomba mwanaume wako pesa jamani πNjaa ninazo ila sipendi tyuu.!! Napenda kutoa kuliko kupokea
Yaani.ukizidisha dakika tano tu basi ushapigwa kizinga.Nakusanua mwanaume mwenzangu
Kama huna hela usipende sana kuchati mara kwa mara na mtoto wa kike
Sina maana usiwasiliane na mpenzi wako lahasha ila hii itakusaidia kukwepa vizinga vya hapa na pale
Siku ukiwa vizuri financially hapo sasa unaweza kuchati as you wish ila kama huna kitu jitahidi kumkwepa flani
Najua wadada huu uzi wataunanga kwa misemo yao ya "tafuta hela" but i don't give a damn mana mimi sina tatizo na mpenzi wangu na tupo fresh kabisa.
Ni wote Kaka labda wewe huna uzoefu tuMkuu usidate na mshangazi ambaye Ni " Liability" Yaani yupo yupo tu anataka umhudie mpaka hela ya bundle.
Tafuta mshangazi ambaye anajishughulisha na chochote aidha saloon au genge.
Don't date a Liability bro.
Siipendi kabisaaa.!! Wasichana wenzangu wananicheka sana. Kuna siku nilipanga niombe, ahiii nilijikanyaga mpk sio pouwa πThen you're one in a million, Yaani hupendi kumuomba mwanaume wako pesa jamani π
Uzi ufungwee, [emoji625][emoji625]Kama huna pesa usiwe na mpenzi kabisa, huo muda wa kuwa na mahusiano na mtu ni bora uutumie kutafuta pesa.
πππ kile kichwa chenga sana, hayupo seriousNlikuwa nae juzi kanambia Ile kiki tu
E Setifaedi lijendi. πNi uoga wako tu, mi hata bila pesa napiga sound pisi za kila aina, ikija kwenye vizinga najua jinsi ya kudeal navyo.
Nakusanua mwanaume mwenzangu
Kama huna hela usipende sana kuchati mara kwa mara na mtoto wa kike
Sina maana usiwasiliane na mpenzi wako lahasha ila hii itakusaidia kukwepa vizinga vya hapa na pale
Siku ukiwa vizuri financially hapo sasa unaweza kuchati as you wish ila kama huna kitu jitahidi kumkwepa flani
Najua wadada huu uzi wataunanga kwa misemo yao ya "tafuta hela" but i don't give a damn mana mimi sina tatizo na mpenzi wangu na tupo fresh kabisa.
Sema yule jamaa nlipenda scene flan anaigiza kama pastor akawa anakemea mapepo....hata nkiwa mwenyw road nkikumbuka nachekaπππ kile kichwa chenga sana, hayupo serious
Mbona ule mwaka nimetaka kukuoa tukapanga vizuri mambo yetu,badae ukapotea ukaja na I'D nyingine, wala sikuogopa kama utapiga vizinga.πππE Setifaedi lijendi. π
Hahaha kubabeki hii ni skendo! πππMbona ule mwaka nimetaka kukuoa tukapanga vizuri mambo yetu,badae ukapotea ukaja na I'D nyingine, wala sikuogopa kama utapiga vizinga.πππ
Husninyo π₯°, za miaka tele.....umemisika sanaaa na preta πJitahidi upate hata hela ya bando
Dah! Sasa hivi si utakuwa mshangaziJitahidi upate hata hela ya bando
Kwanini?Dah! Sasa hivi si utakuwa mshangazi