Ukiwa huna kazi mwanamke anakuchukuliaje?

Mkuu huyo mwanamke anayefanya hivyo inategemea mila na tamaduni zao, kila jamii ina mila na tamaduni zake kwaiyo unapotaka kuoa mwanamke jaribu kujua mila na tamaduni zao zipo je, kuna baadhi ya makabila mtoto kike akishaolewa tu yeye anakuwa sehemu ya familia ya mume wake kwao alipo zaliwa na kuishi panakuwa siyo kwao tena kwao panakuwa upande wa mume, kwa hiyo mwanamke kama huyu hawezi kufanya mambo ya ajabu ajabu kwa mume kwasababu mume hana kazi au kafuzwa kazi na kama huyu mke ana kipato lazima atakuwa anampa mumewe na kufanya maendeleo pamoja ya familia.
 
Kuna kampuni binafsi moja iliwahi muajiri binti namfahamu ni STD 7, na akili kichwani hamna! Ni slay-queen mmoja tu wakawa wanamlipa 800k 😅👍🏾
 
Jamaa aliona SMS kwenye simu ya mkewe, "nguruwe bado ipo?" Bwana kamuuliza mke, wewe unauza kiti moto? Mwanamke akacheka na kumwambia ananitania tu! Kumbe alimwambia huyo jamaa ,"bwana langu ni linguruwe tu" ninalilisha tu, halina dira.
 
The true definition of umalila
 
Tanzania yetu haijafikia kiwango cha mtu kukosa kazi mkuu , yani unakosaje kazi za kufanya mkuu ? Labda useme ukiwa unachagua kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…