Ukiwa huna kazi mwanamke anakuchukuliaje?

Ukiwa huna kazi mwanamke anakuchukuliaje?

Ukiwa na biashara hata ya mtaji wa 100k,as long as hukai kai kwenye vijiwe na wavuta sigara,demu atakuheshimu tu.Wanangu tusikae bure watoto wataanza kukuona boya boya tu
 
Back
Top Bottom