Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Alifanya vibaya katika sera za uchumi,lakini kujenga taifa lenye umoja na mshikamano licha ya kuwa na makabila mengi ni mafanikio ya utawala wake.hv nyerere na yeye alikuwa na mafanikio gani kwa muda wote aliokaa madarakani? afadhali hata tyrant lee aliyeitoa singapore jalalani