Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Huu ni ushauri tu kwa watumishi.
Kutokana na kupigwa na vitu vizito kichwani kama vile Sheria mpya za kikokotoo, na danadana za ongezeko la mshahara pamoja na serikali kushindwa kukopesha watumishi wake bila riba au kwa riba isiyozidi 5% napenda kuwashauri watumishi wa umma wahakikishe chini juu kila wiki wafunge na hesabu ya mshahara wa mwezi mmoja.
Kama unalipwa laki 8 basi kwa mwezi makusanyo yako nje ya mshahara yagote 3.2 ml.
Kama mshahara wako laki 6 basi ikimbize milioni 2.4.
Kama mshahara wako ni milioni 1 basi ikimbize milioni 4 ndani ya mwezi.
Hii itakusaidia kujipanga na maisha baada ya kustaafu.
Hii itakusaidia pia kuishi kwa furaha wewe na familia yako kama wanavyoishi wanasiasa.
Utaipata wapi hiyo Mimi hainihusu.
Hakikisha tu unaingiza 400% ya mshahara wako kila mwezi.
Kuna Mzee mmoja kastaafu mwaka mwezi Machi.
Anazimia hovyo hovyo, sukari imepanda , pressure imepanda. Kikokotoo kimemkokotoa. Kama angekuwa makini kwenye biashara za ujasiriamali asingefikia huko.
Fanyeni ujasiriamali watumishi 😭😭😭😭.
Kutokana na kupigwa na vitu vizito kichwani kama vile Sheria mpya za kikokotoo, na danadana za ongezeko la mshahara pamoja na serikali kushindwa kukopesha watumishi wake bila riba au kwa riba isiyozidi 5% napenda kuwashauri watumishi wa umma wahakikishe chini juu kila wiki wafunge na hesabu ya mshahara wa mwezi mmoja.
Kama unalipwa laki 8 basi kwa mwezi makusanyo yako nje ya mshahara yagote 3.2 ml.
Kama mshahara wako laki 6 basi ikimbize milioni 2.4.
Kama mshahara wako ni milioni 1 basi ikimbize milioni 4 ndani ya mwezi.
Hii itakusaidia kujipanga na maisha baada ya kustaafu.
Hii itakusaidia pia kuishi kwa furaha wewe na familia yako kama wanavyoishi wanasiasa.
Utaipata wapi hiyo Mimi hainihusu.
Hakikisha tu unaingiza 400% ya mshahara wako kila mwezi.
Kuna Mzee mmoja kastaafu mwaka mwezi Machi.
Anazimia hovyo hovyo, sukari imepanda , pressure imepanda. Kikokotoo kimemkokotoa. Kama angekuwa makini kwenye biashara za ujasiriamali asingefikia huko.
Fanyeni ujasiriamali watumishi 😭😭😭😭.