Ukiwa mtumishi wa umma hakikisha kila wiki unatengeneza fedha sawa na mshahara wako wa mwezi mmoja

Ukiwa mtumishi wa umma hakikisha kila wiki unatengeneza fedha sawa na mshahara wako wa mwezi mmoja

Kila mualimu akianza kuuza ubuyu na maandanzi wako waalimu 20 kwenye shule nani atanunua? Tena ukweli ni kwamba watoto wengi hawaji na pesa za kula katika shule za ummah wengi hutoka kaya masikini kupewa 500 ya barafu ni kipengera nyumbani
Hiyo hiyo mia Tano , hakikisha mia 2 inakuwa yako.
Dar es salaam darasa Moja lina wanafunzi 100 kwa wastani .
Ukipata mia 2 kutoka kwa wanafunzi 50 una elfu 10.
 
Huu ni ushauri tu kwa watumishi.
Kutokana na kupigwa na vitu vizito kichwani kama vile Sheria mpya za kikokotoo, na danadana za ongezeko la mshahara pamoja na serikali kushindwa kukopesha watumishi wake bila riba au kwa riba isiyozidi 5% napenda kuwashauri watumishi wa umma wahakikishe chini juu kila wiki wafunge na hesabu ya mshahara wa mwezi mmoja.

Kama unalipwa laki 8 basi kwa mwezi makusanyo yako nje ya mshahara yagote 3.2 ml.

Kama mshahara wako laki 6 basi ikimbize milioni 2.4.

Kama mshahara wako ni milioni 1 basi ikimbize milioni 4 ndani ya mwezi.

Hii itakusaidia kujipanga na maisha baada ya kustaafu.

Hii itakusaidia pia kuishi kwa furaha wewe na familia yako kama wanavyoishi wanasiasa.

Utaipata wapi hiyo Mimi hainihusu.

Hakikisha tu unaingiza 400% ya mshahara wako kila mwezi.

Kuna Mzee mmoja kastaafu mwaka mwezi Machi.

Anazimia hovyo hovyo, sukari imepanda , pressure imepanda. Kikokotoo kimemkokotoa. Kama angekuwa makini kwenye biashara za ujasiriamali asingefikia huko.

Fanyeni ujasiriamali watumishi 😭😭😭😭.
Hiyo inawezekanaje🤔
 
Na sio saa nane, ni saa tisa ndo tunatoka kazini, mpaka kufika nyumban around saa tisa hivi.!
Fanyeni kunichangia mawazo na fedha Mwalimu wa watoto wenu niishi jamani.!
Huo ni umasikini hamna mawazo zaidi ya kuacha huo utumwa uje Dar es salaam tuanze maisha ya kujitegemea, unajua kwamba mpiga debe pale Mbezi magufuri kwa siku hakosi 30k kwa 50k kwa mwezi ni 900k kwa 1 5m kwasbb kila abilia anae pata kwenye basi za mikoani gaji ni 5k kwasiku hawezi kukosa abilia 10 kwa 20.
 
Huu ni ushauri tu kwa watumishi.
Kutokana na kupigwa na vitu vizito kichwani kama vile Sheria mpya za kikokotoo, na danadana za ongezeko la mshahara pamoja na serikali kushindwa kukopesha watumishi wake bila riba au kwa riba isiyozidi 5% napenda kuwashauri watumishi wa umma wahakikishe chini juu kila wiki wafunge na hesabu ya mshahara wa mwezi mmoja.

Kama unalipwa laki 8 basi kwa mwezi makusanyo yako nje ya mshahara yagote 3.2 ml.

Kama mshahara wako laki 6 basi ikimbize milioni 2.4.

Kama mshahara wako ni milioni 1 basi ikimbize milioni 4 ndani ya mwezi.

Hii itakusaidia kujipanga na maisha baada ya kustaafu.

Hii itakusaidia pia kuishi kwa furaha wewe na familia yako kama wanavyoishi wanasiasa.

Utaipata wapi hiyo Mimi hainihusu.

Hakikisha tu unaingiza 400% ya mshahara wako kila mwezi.

Kuna Mzee mmoja kastaafu mwaka mwezi Machi.

Anazimia hovyo hovyo, sukari imepanda , pressure imepanda. Kikokotoo kimemkokotoa. Kama angekuwa makini kwenye biashara za ujasiriamali asingefikia huko.

Fanyeni ujasiriamali watumishi 😭😭😭😭.
Humo wengi slow learners, wameingizwa kwa kubebwabebwa huo muda wa kufikiria ujasiriamali wanatoa wapi labda waibe.
 
Mapito haswa.
Hapo inabidi upate mke mvumilivu, vinginevyo ataliwa mpaka na muuza nyama sokoni
Utapata tu mke mwenye shida zaidi na za kwako hamna mwana mke mzuri mwenye wazazi wanao juelewa anaruhusu mwanae aolewe na mualimu mwenye mshahara wa 370,000 kwa mwezi manaake hamwezi kuvaa nguo mpya viatu vipya au kuenda holiday nyumbani ni ugali mboga za majani au maharage, nani avumilie hizo shida.......labda uwe singo maza wa wstoto zaidi ya moja ila sio pisi kali.
 
Huo ni umasikini hamna mawazo zaidi ya kuacha huo utumwa uje Dar es salaam tuanze maisha ya kujitegemea, unajua kwamba mpiga debe pale Mbezi magufuri kwa siku hakosi 30k kwa 50k kwa mwezi ni 900k kwa 1 5m kwasbb kila abilia anae pata kwenye basi za mikoani gaji ni 5k kwasiku hawezi kukosa abilia 10 kwa 20.
Pale Magufuli kuna masalange na agents

Salange ni wale wanaotafuta abiria nje wengi wanalipwa buku tu kwa kichwa anapompelekea abiria agent

Naye agent ikitegemea na route na makubaliano na meneja au mkurugenzi wa mabasi anakuwa analipwa kwa seat. Mfano akilipwa 5000 kwa kichwa anatoa buku la salange anabakia na 4000
 
Hii ndo shida ya Africa watu badala wafocus kwenye kazinzao, wao wanawaza biashara..kutakuwa na ufanisi kazini kweli? Mgongano wa maslahi pia hauepukiki, mtu anayesimamia sheria unakuta naye ana vimeo vyake mtaani.
 
Pale Magufuli kuna masalange na agents

Salange ni wale wanaotafuta abiria nje wengi wanalipwa buku tu kwa kichwa anapompelekea abiria agent

Naye agent ikitegemea na route na makubaliano na meneja au mkurugenzi wa mabasi anakuwa analipwa kwa seat. Mfano akilipwa 5000 kwa kichwa anatoa buku la salange anabakia na 4000
Sasa si unaona mualimu akitumia ujuzi wake aje awe agent pale atapata pesa nzuri sana yeye hawezi kua nasalange kwasbb ana ekimu ugent atapewa tu kuliko kuangaika huko na pesa isio eleweka......
 
Back
Top Bottom