Ukiwa mtumishi wa umma hakikisha kila wiki unatengeneza fedha sawa na mshahara wako wa mwezi mmoja

Kwamfano mualimu grade A mwenye mshahara wa 370,000 mwenye familia ya watoto wawili na mke anae hitajika kazini kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 8 jioni afanye ujasiliamali gani
hapo bado hajakopa benki halaf mipango haikwenda sawa na salary slip isome 200,000 bado kuna madeni ya vikoba...
 
Mada inahusi watumishi wa umma Ila walimu ndowamekuwa subjected
๐๐š๐š ๐›๐จ๐ซ๐š ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ค๐ฎ๐ฃ๐š ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ฉ๐ข?
 
๐๐š๐š ๐›๐จ๐ซ๐š ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ค๐ฎ๐ฃ๐š ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ฉ๐ข?
Iam home my homie
 
Serikali Haina muda na watumishi wa umma.Mugufuri ndiye aliye waharibia maisha kwa kutowapandishia mishahara wakati wote wa utawala Wake wa kutofuata katiba ya nchi.
 
Ahahahah
 
Nimependa ushauri wako mdau, ubarikiwe sana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ