Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
- Thread starter
-
- #61
Kweli kabisa mkuu wala si uwongo maana kuna wakat unaonjeshwa radha ya matendo yako kupitia kizazi chakoNiliwahi kusikia Mkuu kitu kama hicho nilifanya kautafiti kadogo ka twaweza,ni kweli. Mara huwa hivyo na hiyo ni kwa ajili ya kukufanya muhusika uupate uchungu wa uzinifu wa dada,mama,watoto wa kike wa watu hivyo unapewa wa kike ili kabla hujafa uupate uchungu huo.
Mkuu kwani mimi nimejitangaza humu ni kiwembe?Kuna wanaume wengi ninaowafahamu walioviwembe pengine zaidi yako wewe watoto wao wa kwanza ni wa kiume
Mkuu ngoja wataalamu wa Iugha waje naogopa kuleta maana ndivyo sivyooMie naomba definition ya mwanaume malaya.
ila ndotafiti nyingi zinapochukuliwa huko [emoji12] [emoji12] [emoji12]ndio hivyo mkuu...story za gahawa hizo
Haya lete wakoDah....uwongo mtupu....ninalihakikisha hilo[emoji87] [emoji41]
japo watu hawataki kukubaliiiItakuwa ivo
kweli lakiniila ndotafiti nyingi zinapochukuliwa huko [emoji12] [emoji12] [emoji12]
umeona eekweli lakini
nimehesabu watu naowajua hadi ndugu zangu kweli nimekuta wale malaya wote firstborn wao wa kike.
ndio mkuuumeona ee
Dah.....Bado hatujapata maelezo Malaya ni mtu wa aina gani......Au awe amewagonga wangapi lakini...[emoji87]nimehesabu watu naowajua hadi ndugu zangu kweli nimekuta wale malaya wote firstborn wao wa kike.
Mimi mbona nilikuwa nimetulia lkn chalii yangu WA kwanza ni binti.Ebu tusaidiane juu ya hili maana sijui lina ukweli eidha ni imani potofu tu ya watu walojijengea..
Imekuwa ikivuma sana na wakat mwingine pia kujitokeza katika jamii yetu...ukiwa Mwanaume malaya sana basi lazima mwanao wa kwanza awe wakike..
Wapo wanaosema kuwa unalipa deni...[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Naombeni wajuzi wa haya mambo waje wanipe msaada ni kweli hili jambo au ni maneno tu
hahaha hongera mkuuNimeshakula nyuchi za kutosha lakini juzi nimepata fast born fast born dume.Honestly nilikuwa sipendi kupata mtoto wa kike
hahahahaha umeona eeee ukajikuta unaendelea kulipa tu deniKama kuna ukweli vile nilikuwa najitathmini maana mtoto wangu wa kwaza wa kike wapili wakike nisipoacha kuwa vua chupi naweza nisipate wa kiume kwa style hii.
hahaha mie sijui mkuuMimi mbona nilikuwa nimetulia lkn chalii yangu WA kwanza ni binti.
???