Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

If you fail to plan you plan to fail.Unashindwaje changamoto ya kuishi na mtu kwenye ndoa?Unashindwa na nini?Commitment,uaminifu,kuwa mwanaume,uchumi au nini zaidi?Kama ndoa tu inakushinda unawezaje kufanya kazi,kupangilia maisha yako ukiwa mwenyewe?Kwa sababu huna qualities hizo za kuweza kuishi kistaarabu. Ukiona huwezi kuoa basi wacha visingizio vya kulaumu wengine ni wewe ndio huna uwezo wa kuoa.
 
Ninge shangaa wakili wa kuji tegemea, ukose kutoa hoja zako.
 
Umeandika vizuri ila pamoja na hayo pamoja na kusoma na kufikiri kuwa unakili sana ila umeshindwa kujua kuwa
"SUALA LA KUOA au KUOLEWA HAUJIPANGII WEWE"
Huo ndiyo ukweli
Mkuu hakuna mahali nimejiongelea mimi kuwa nina akili sana, mimi nimewaongelea baadhi ya wanawake wenye akili nyingi, unaposema suala la kuoa au kuolewa hujipangii unamaanisha nini mkuu
 
Hahaha we jamaa ni smart sana,
 
Kwa hiyo Tanzania tunaizidi Nigeria?
Hao manabii wafanya miujiza wanapokwenda Nigeria huwa wanaenda kufuata hela au kupata nguvu zaidi za kuendesha miujiza yao?

Naona una uelewa mdogo sana kuhusu uchawi bwashee.
Wengine hata hawaendi nigeria wanaoata uchawi humu humu tu,sio kila nabii wa uongo lazima aende nigeria,uache kukariri
 
Fools sleep with everybody they come across, marriage is not for fools, all kataa ndoa are fools, wanalala na demu yeyote yule
Mhh laiti ungejua ...usingeongea haya

Ebu siku jaribu kudivert txt za mkeo ndio utajua

Naamini ni suala la muda tu kuna siku tutaongea lugha moja

Ndoa ni kama dini tu hazina uhusiano wowote na uaminifu

By the way nikiwa naingia advance miaka hiyo
Nakumbuka kwenye kitabu cha Economic kuna mstari mwanzo tu uliandikwa hivi
"HUMAN BEING ARE NOT BEING SATISFIED"

Hii sentensi ni ndogo sana ila inamaana kubwa sana narudia saaanaa!!!
 
Ni tanzania pekee mwanamke anataka kuhudumiwa mahitaji km mke katika uchumba huku yeye akiamkia na kulala kwao 🥺🤢😁😁 women are Insane


Unataka haki za mke katika uchumba wakati hakuna duty unayoifanya🤣
 
Inakera demu mnadate hata wiki haijaisha anataka aje kwako apajue

Hapa mm ndio naonekanaga mbaya yaani unaona kabisa hii kibra kabisa niyavaa

Ili akija ajitune vipi namna ya kumanipulate behavior zake
 
Dooh bado unaongelea treatment tu mkuu, ni vitu gani hivyo wanawake wanataka na hawavistahili, make this make sense bruh
Mkuu
Sio kweli
Wanawake wenye akili kubwa nirahisi sana kupata mume
 
Hayajakukuta, bora ukae kimya
 
Hayajakukuta, bora ukae kimya
Kwa hiyo yakikukuta ndio unakimbia tatizo?Maisha sio raha tu na kuna karaha.
Ukiona huwezi kustahamili basi ishi peke yako lakini usifanye justification kwamba itatokea kwa kila mtu.
When it gets tough the tough get going.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…