Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Fools wengi tunaona wamejazana kwenye ndoa wanalia lia kila siku na kukatana shingo .

Unakingine cha kusema mkuu[emoji101]
Wakiwemo na wazazi wako waliokuzaa ama hujazaliwa kwa ndoa mkuu mtu alipiga nyeto.
Ndoa ama Ni asili huwezi ipinga ,mwanamke ana provide sex and children if they're needed,wewe unataka ukawinde naye porini ulete kitoweo nyumbani. Unataka uende naye vitani mkapigane wote na adui ama unamaanishaje labda.
Let us be fools bana. Wazazi wangu na ndugu zangu wote Wana ndoa na sie tukioa mtu anakuwa ndugu yetu kabisa hata Kama ukiachana naye bado ataishi katika Koo yako na anajulikana Ni mkeo hata ukioa mwingine.
Ke ana Koo mbili Kama hujui. Swala mwenyewe anatembea na majike 30 kazi yake kuyatafutia malisho na kugonga Basi Hana kazi nyingine.
Kuna wanaume huwa wanatamani laiti wangezaliwa ke labda na wewe Ni among of them. King Solomon alioa wake around 1000 plus naye alikuwa mjinga nadhani
 
Tanzania tuna kundi kubwa sana la wajinga.

Kuthibitisha hilo Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa kuamini ushirikina Africa. Imagine karne ya 21 modern era ila tunaamini ushirikina. Huu ni ushahidi wa wazi kwamba ni Ngumu sana kupata mke ama mume Tanzania ambaye haamini ushirikina.

Pili imani za dini na kupenda miujiza zimetuteka sana. Manabii wamejaa kila sehemu wanaombea watu. Manabii wanaponesha viwete na wagonjwa wa kansa na ukimwi.. cha kushangaza hao manabii huwezi waona wameenda hospitali muhimbili ama ocean road kuponesha wagonjwa wanaoteseka kwa hayo magonjwa waliojaa hospitali.
Ukute huo ushirikina ndo Mungu wako, unaamin kisa iliandikwa una uthibitisho upi wa kuita ni ushirikina na ile ya kizungu ni Mungu wa hii dunia ?
Screenshot_20240219-135338.jpg
 
Watanzania
Watanzania tunahitaji
Kusahau yoote tuliyojifunza tukiwa watumwa na kuanza kujifunza upya yale mambo tunayoyahitaji.

Tunahitaji kujifunza mambo tunayoyahitaji .
Mfano:
1. Historia yetu ya kweli
2.Magic
3.Numerology
4.Magic
5.Astronomy
6.Relationship skills
Etc.

Boys need to be taught how to become men.
It is not easy to be devine masculine man.

Niseme
Fikiria kila mtanzania angekuwa kwenye default God mode
Namaanisha bila ya kuwa manipulated na kuwa intoxicated with false nerative and shit.
[emoji1666][emoji123]
 
Wow


Wow!
Nimegundua me and you tupo sawa
Tatizo wote tumeshindwa kwenda beyond kuelewana .

Yes ninapaswa kuishi na mwanamke kwa akili
I'm a devine spirtual masculine man myself
But i refused to submit to a woman.
Getting martied=submitting to your wife

Niseme sihitaji ruhusa au kibali kuanzisha familia.
Am not living in equal terms with anybody
Am a fu*kn king.

Sioni haja yakukudismantle brother.

Kataa ndoa is undefeatable.


Kataa ndoa is undefeatable brother.
[emoji3][emoji3][emoji3] jamaa alikuwa sahihi kusema kataa ndoa wote ni fools, kama hii judgement yako ndo inayokufanya ukayae kuoa.

Kuna kitu umekiongea hapo juu nilijua unajua, kumbe ni maneno au either una dharau wanawake.
 
Wakiwemo na wazazi wako waliokuzaa ama hujazaliwa kwa ndoa mkuu mtu alipiga nyeto.
Ndoa ama Ni asili huwezi ipinga ,mwanamke ana provide sex and children if they're needed,wewe unataka ukawinde naye porini ulete kitoweo nyumbani. Unataka uende naye vitani mkapigane wote na adui ama unamaanishaje labda.
Let us be fools bana. Wazazi wangu na ndugu zangu wote Wana ndoa na sie tukioa mtu anakuwa ndugu yetu kabisa hata Kama ukiachana naye bado ataishi katika Koo yako na anajulikana Ni mkeo hata ukioa mwingine.
Ke ana Koo mbili Kama hujui. Swala mwenyewe anatembea na majike 30 kazi yake kuyatafutia malisho na kugonga Basi Hana kazi nyingine.
Kuna wanaume huwa wanatamani laiti wangezaliwa ke labda na wewe Ni among of them. King Solomon alioa wake around 1000 plus naye alikuwa mjinga nadhani
🙄 upo sawa mkuu , ila mimi nili maanisha ndoa ya kisheria, na sio kuishi na mwanamke ,, yani ndoa ndani ya sheria zinazoegemea upande mmoja .

Hiyo ya kutamani kuzaliwa wa kike ni wewe umesema sio mimi mkuu.
 
Kwamba kuishi na mwanamke ndo kipimo cha kuwa na akili???? Who are they by the way??????

Rubbish thinking !!!!
As long as utaishi miaka mingi humu Duniani, utaelewa tu, wala haihitaji vita wala kutumia inflammatory words.
 
Kama huwezi kuishi, na, mwanamke,we huna akili, maneno ya bible!
Una pesa, mali, Afya IPO poa, hutaki kuoa!kuwa, na, uhusiano na, jinsia ya, ke!
Ikifika usiku,ukaenda kulala,unaanza kujichua!
Yote ya nini hayo na Dunia imeweka wanawake, wakusaidie kutoa kutu!? It makes, no sense! Niliona kijanq, mmoja, Kenya, amweza kutengeneza ukwasi, mkubwa,manyumba, magari, kampuni nk, Ila hataki, uhusiano na, jinsia, ya, kike!kwake Kafuga ma MBA kadhaa! Ukimcheki kwa jicho LA CUBA, unaona hii ni mwanzo wa kutatuliwa malinda!
Misambwanda yote iliyojaa mjini, siku hz kila mtoto wa kike anayezaliwa, ana mzigo, vikifika miaka 12 ni, balaa! Harafu kuna MTU hataki kuoa!yaani, hata kuongeza ukoo hamtaki!
It's better to let someone think you are an Idiot than to open your mouth and prove it.🙃

Kwahiyo kuishi na mwanamke ndiyo kipimo cha kuwa na akili???

Therefore nisiandike mengi kukujibu maana umeandika ujinga mtupu.!!!!!
 
As long as utaishi miaka mingi humu Duniani, utaelewa tu, wala haihitaji vita wala kutumia inflammatory words.
Kukosa hoja ndo kunakufanya kuongea haya.!!!! ety sijui after blah blah blah nitaelewa.????

Nimekuuliza kitu kidogo tu, kwamba kuishi na mwanamke ndiyo kipimo cha kuwa na akili,, jibu lilitakiwa kuwa NDIYO au HAPANA, na tungeendelea na mjadala.
 
Kukosa hoja ndo kunakufanya kuongea haya.!!!! ety sijui after blah blah blah nitaelewa.????

Nimekuuliza kitu kidogo tu, kwamba kuishi na mwanamke ndiyo kipimo cha kuwa na akili,, jibu lilitakiwa kuwa NDIYO au HAPANA, na tungeendelea na mjadala.


Pambana huko ignore list. Itakufaa!
 

Attachments

  • Screenshot_2024-02-19-14-15-52-75.jpg
    Screenshot_2024-02-19-14-15-52-75.jpg
    84.7 KB · Views: 3
Nakubaliana na wewe. Nampata yule najua labda ni muda wangu. Mwezi mmoja tu nagundua ni garasa. Mwaka jana nimewapa muda wa3 lakini nilichokikuta ni ujinga-ujinga tu. Bahati mbaya nimeshachoka kukaa peke yangu, hata sijui nafanyaje
I'm in the same situation comrade, mpaka kuna muda nasema labda i will die single. kuliko kuishi na mtu bogas, ni bora uishi mwenyewe tu, sisi wengine ni bora kumvumilia mchawi kuliko kuishi na mtu dumb, bogas.
 
Watanzania
Watanzania tunahitaji
Kusahau yoote tuliyojifunza tukiwa watumwa na kuanza kujifunza upya yale mambo tunayoyahitaji.

Tunahitaji kujifunza mambo tunayoyahitaji .
Mfano:
1. Historia yetu ya kweli
2.Magic
3.Numerology
4.Magic
5.Astronomy
6.Relationship skills
Etc.

Boys need to be taught how to become men.
It is not easy to be devine masculine man.

Niseme
Fikiria kila mtanzania angekuwa kwenye default God mode
Namaanisha bila ya kuwa manipulated na kuwa intoxicated with false nerative and shit.
Such a Great Thinker, i salute you Comrade, hat off.
 
Hili hata mimi nimeliona kwa wanawake wenye akili kubwa kupata mume siyo Tanzania tu bali Africa ni mtihani kwa sababu wanaume wengi wa kiafrika hawana logic, yani karne hii bado kuna mwanaume anawaza mke amsaidie majukumu yake ya kutafuta pesa na bado anataka huyo huyo mke ampikie, amfulie, amtii na bado amlee kama mtoto mdogo, ni mwanamke aliye desperate na ndoa na mwenye low self esteem tu ndiye anayeweza kufanya huo upumbavu
Ndiyo mana huwezi kuolewa wewe
 
Back
Top Bottom