Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Ukiwa na akili kubwa kupata mke au Mume Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe uchague mwenza akili ndogo

Umepatikana nini? Maana naona NDOA yako ipo mashakani. Ndoa siyo Smartness, Brightness, Foolishness, Richness... NDOA NI MAELEWANO KATI YA MUME NA MKE... Mengine ni danganya toto...
Hayo maelewano yatapatikana kwa mtu asiye na upeo, kilaza, ngumbaru, mjuaji, mjinga?

Umchukue mwanamke hajui savings anajua kutumbua pesa, aombe hela mwenyewe ya kuweka akiba kisha mwaka uishe uombe kuona hiyo akiba ukute hamna kitu hela alikuwa anatumbua alafu hapo pawe na maelewano? (Uzi upo humu wiki hii)

Ili mtu aelewe lazima kwanza awe na hiyo akili ya kuelewa. Kuelewa ni tunda la kutumia akili kufikiria, kutafakari na kuchakata taarifa uliyokutana nayo au kupewa. Mke akimshauri mume wake wachukue mkopo wajenge, wote wakafanya calculations wakagundua mkopo wa kujenga ni hasara kiuchumi na wakaelewana, akili nzuri ndio imefanya waelewane.
Badala yake mume kilaza atakurupuka kukubali ushauri bila kutafakari, au mke kilaza atang'ang'ania wazo lake litekelezwe hata kama ni hasara.
 
Sio ndoa tu, Maisha haya ukitumia akili nyingi utagundua mambo mengi ni Upuuzi.

Hivyo kuwa huru utaishi katika Upweke sababu utajitenga na Vingi, Pia utajitenga na Wengi, Nao hawatakuelewa solution Watakutenga.

Gharama ya maisha ya aina hiyo ni kubwa sana, Sababu Itayagharimu maisha yako yote yaliyobakia.

Swali, Je wangapi wapo tayari kuyaishi maisha ya aina hii?
Ubaya wakujua vitu vingi dunian hsababisha kuona ubaya kwenye kila situation tu.. na hiyo pelekea kutafta perfection.. kakuna kilichokamilika. Ndo maana wasomi wengi tu wapweke!
 
Nilitafuta kwa miaka zaidi ya 10 kupata intellect woman kwa maisha ila nilishindwa mwishowe nikaona nitafute tu mwenye chura wa darasa la saba, maisha ya ende tu.........wanawake wa Tanzania wengi hawana lingine la ku offer zaidi ya sex tu.
Hahaha, Mkuu itakuwa ulikuwa unataka mwanamke mwenye akili, sura na chura.

Ni sawa na mwanamke anayetafuta mwanaume mrefu, handsome, mcheshi, mwenye pesa. Si rahisi.
 
Now days
Ndoa ni kwa wanaume wapumbavu pekee!.

Hapo uliposema "mpaka ujishushe"

Mimi nimeelewa hivi
Kujishusha=submissiveness

A man should not be submissive to anything or anybody (INCLUDING FRAUDULENT WHITE BOY AND HIS FATHER DIPICTED IN A BLACK BOOK)

Thus why
MGTOW is the best possible way for smart people.

KATAA NDOA IS THE BEST AND SMARTEST WAY FOR A MAN.
Naam NDOA NI UTAPELI
 
Kibaya zaidi unaweza kufikiri mwenye sura mbaya nda atakua wife material, kumbe wapi ni wale wale hana la kukupa zaidi ya sex.
Hahaha. Inatokea sana tu. Matendo hayapimwi kwa sura.

La msingi we jua unataka nn kwenye hiyo ndoa kabla hujaoa otherwise usioe.

Kama hitaji lako ni uchezee chura laini laini kwanini uhangaike na akili au sura?

Kama unataka mke kwa ajili ya malezi kwanini uhangaike na chura? Malengo.

Mfano binafsi ndoa ni malezi ya watoto zaidi. Chura na sura zinapatikana nikihitaji.
 
Aina zao ni zipi na huo usawa wa wanawake uko wapi
Kwenye macho ya system
Wanawake wote ni sawa
Wanaeake wote wanakuwa treated kwa sawa kwasababu they are in the same class (high value)

Wanawake wote ni high value
Duniani kote.
Hata kihistoria mpka hivi leo tunavyoongea.
Mpaka kunawakat sheria huwa inapindishwa kwasabb tu muhusika ni mwanamke.
Do i need to justfy this?

Naturaly all women need to be:
1.Protected
2.Loved unconditionally


Kwa wanaume kuna
Classes nyingi.
1. Upper class
2.middle
3.Lower class

Pia kuna subcatezgories kwenye uper na middle class..

SOCIAL RELATIONSHIP WISE CATEGORIES
1.ALPHA
2.BETA
2.SIGMA
NK.
nyingine huwa zinaingia kwenye hizo tatu juu..

Ninaweza nikageralize kwenye categiries 2, ambazo ni
1. High value men
2. Low value men.

Nitajitahidi kuelezea nivyoelewa kulingana na unavyouliza
 
Asante kwa kunielewa.

Mwanamke ukiwa una akili. Unafikiria vizuri na Unapambanua mambo kwa kutumia akili. Mume humpati kiurahisi.
Maana wanaokutongoza unawasoma tu walivyo magarasa unawablock fasta

Na kwa mwanaume nae akiwa na akili anapambanua mambo mke hampati kwa urahisi.

Wajinga ndio wamejaa Tanzania
Ni bora kuwa single kuliko kupata gharasa liwe ke au me maana ndio mwanzo wa kuharibu maisha yako na kupata sonona. Kuna watu maisha yao yameharibika kabisa sababu ya kutopata watu sahihi na wenye akili.
 
binafsi nimekuelewa sana.
mana hata mimi nimewaza hilo
Kuna kitu hakiwekwi sawa. Inshu siyo akili kubwa. Inshu inatumikaje ndani ya familia. Ni kweli kabisaa ukiwa mtu wa kufikiri kila anachofanya au kusema mwenza wako ukakipeleka ktk mizania ya elimu yako na akili zako hakika hamtafika. Tafakari mtu ana elimu kubwa labda ni PhD + halafu ameajiriwa kwa hiyo elimu yake na ana watumishi chini yake ambao wako chini yake si kwa kigezo Cha umri bali kwa elimu yake.
Then nyumbani kaoa mtu aliyeishia elimu ya chini kabisaa mbali na mumewe. Unafikiri huyu mwanamke atakuwa na ufikiri sawa wa akili na mumewe? Hasha lazima watapishana. Sasa mume hatakiwi kutumia akili zake za madarasa kudili na huyo mkewe. Anatakiwa atumie maarifa zaidi kuliko akili yake kubwa. Ni hivyo hivyo kwa mwanamke mwenye elimu kubwa na mume mwenye elimu ndogo.

Hoja hapa ni kuwa akili kubwa inatakiwa kutumika ku deal na elimu ndogo vinginevyo mkitumia logic ndoa inavunjika mapema sana
 
Nilitafuta kwa miaka zaidi ya 10 kupata intellect woman kwa maisha ila nilishindwa mwishowe nikaona nitafute tu mwenye chura wa darasa la saba, maisha ya ende tu.........wanawake wa Tanzania wengi hawana lingine la ku offer zaidi ya sex tu.
Bosi mbona hao wamejaa wako wengi sana mpka wanakimbiwa huku mitaani. Au sijaelewa aliyeelimika kiasi gani
 
Back
Top Bottom