Ukiwa na hizi tabia 9, jiandae kufa maskini wa kutupwa

Namba 9 ndo priority ya watanzania hasa jukwaa la siasa
 
Namba 8 mbona Manji anavyo vyote na bado haoneshi dalili za kufa masikini
 
Life has no fomula same to mafanikio,though nimependa organization ya ulichokiandika na hizo quotaton zimesimama sana bro!
 
Naunga mkono hoja mkuu Moja kwa Moja.
Ukitaka mafanikio usiogope kujifunza vitu vipya
 
Ukienda Ngende unafanikiwa kupita maelezo bora utilmize masharti
 
 
Point tupu...ishu iko kwenye kuzitekeleza kwa vitendo.
 
Hivi kuna anaye tamani kuwa kama bashite?
 
Mkuu umedundisha mambo makubwa sana Leo kila mwenye masikio.…...........…..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…