Ukiwa na hizi tabia 9, jiandae kufa maskini wa kutupwa

Haya yote kwa kuyasoma ni rahisi,ngumu kuyatekeleza. Mengine hapa ni ya kurithi. Mfano, Uvivu! Unaweza kuta ukoo fulani watu wake ni wavivu kuanzia babu hadi wajukuu!
Hili ni somo zuri kwa watakaotaka kubadilika.
 
Nimefanya utafiti kidogo kwa kuchukua sample ya watu kama kumi hivi juu ya uhusiaano uliopo kati ya maisha ya ujana na uzee.

Nimegundua kuwa vijana wanaoshindwa kujidhibiti kwenye masuala ya uzinzi na ulevi huishia kwenye uzee mbaya.

Hii hasa inawahusu wale wenye kipato cha chini na kati na wale wenye kipato kikubwa hawaathiriki zaidi na hili.

Nimeona wengi sana waliochezea pesa kwa masuala ya uzinzi na ulevi wamekuwa na mwisho mbaya tena wengi nimewahoji na kufunguka bila haya.

Ukiona kila ukishika aidha million moja break ya kwanza bar unywe ndipo upate akili ufanyie nini ile laki tisa na point inayobaki basi usiwe na shaka tambua kuwa uzee wako unauroga wewe mwenyewe.

Umepata million kumi au tano break yako ya kwanza Lodge kwenye uzinzi, nakwambia kuwa wewe ni maskini au fukara ajaye.

Binafsi nimewahi kupata millioni moja mpaka kumi. Mimi nawafyeka mademu ila nikipata million moja, mbili, Tatu au zaidi huwa sipokei simu ya mchepuko mpaka pesa ikate kwenye mradi niliolenga kuiweka ndipo naanza kuwatafuta. Pombe siijui.

Mademu tawatafuta nikiwa na change kamili tu. Najua si ndugu zangu ndio maana usipowapa pesa hawana time na wewe.

Sijaandika hapa kwa lengo la kumhukumu mtu bali kutoa alert kwa atakayekubali kuonywa.
 
Mawazo ya kimaskini hayo tafuta connection ya pesa ndio utajua starehe na pesa ni mapacha.

Watu wana starehe na mipango inaenda na jamii zinawashangaa.

Kuwa mwaminifu, heshimu watu na kazi za watu uone kama mambo hayaendi.
 
Mawazo ya kimaskini hayo tafuta connection ya pesa ndio utajua starehe na pesa ni mapacha,

Watu wana starehe na mipango inaenda na jamii zinawashangaa

Kuwa mwaminifu, heshimu watu na kazi za watu uone kama mambo hayaendi
Hao wanaipiga starehe na mambo yao yanakwenda basi kipato chao ni cha juu na kama kipato chao ni cha chini ni suala la muda tu, mishe zao zikikwama watageuka ombaomba maana account zitasoma zero.
 
Mawazo ya kimaskini hayo tafuta connection ya pesa ndio utajua starehe na pesa ni mapacha,

Watu wana starehe na mipango inaenda na jamii zinawashangaa

Kuwa mwaminifu, heshimu watu na kazi za watu uone kama mambo hayaendi
Final uzeeni.
 
Hao wanaipiga starehe na mambo yao yanakwenda basi kipato chao ni cha juu na kama kipato chao ni cha chini ni suala la muda tu, mishe zao zikikwama watageuka ombaomba maana account zitasoma zero
Sasa account kusoma zero unaona ajabu pengine nikuambie wapenda starehe wanatofautiana

1. Wapo wa mjini
2. Wapo wa mashinani vijijini
3. Wapo wa kileo
4. Wapo wa kizamani

Wapenda starehe wakileo awe was mjini au kijijini akipata pesa ndevu hukimbilia kwenye assert tena assert ambayo shida au tatizo likitokea hakuna shida kupata mteja na assert ya kileo na ya kisasa isiyo na kelele kuuza ni mifugo na mazao siyo nyumba wala viwanja au gari upo hapo, nyumba, gari au kiwanja unaitaji dalali na mda ila mfugo au mazao haitaji hiyo mambo ni kutamka tu nauza ng'ombe, mbuzi, mpunga au mahindi unafutwa MFA huo huo.

Kwaiyo account ikisoma zero unskimbilia store unarudi barabarani maisha yanaendelea.
 
Sandali Ali,

Mzee maisha hayoko rahisi hivo.Ila ni kweli uzinzi na ulevi una mwisho mbaya ila ndo starehe pekee ambazo zina value for money.
 
Sandali Ali,

Mkuu upo sahihi, yalinikuta hayo...nilipata pesa kama m 15 hivi at pa, zilikuwa dollar 10000 at that time.

Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa kupata tena na tena, zile pesa nilifanya kila aina ya starehe

Mungu si athuman, kuna matatizo yalijitokeza katika project yangu ile.

Nilikula msoto wa kufa mtu three years consecutively. Nilikumbuka kila kitu na kujilaumu sana na kuapa sitorudia

Nilipokuja kunyanyuka, mimi na anasa tofauti, nimekuwa na nidhamu ya pesa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tajiri na starehe ni pacha na pacha hakuna tajiri asiyekula starehe nenda kwenye kumbi zote classic za starehe utakuta watu wanapiga zao hennesy na kupeana michongo ya biashara mtu anatoka kula bia na michongo kibao tatizo maskini mnataka mlewe tu hakuna cha maana mnachoongea mnaishia kufulia.

Tafuta pesa mkuu' kakae na kula bata na wenzako uone story wanazopiga utakuja kujua starehe pia ni moja ya njia ya kutafuta pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…