Ukiwa na kijana wa hovyo namna hii utamfanyaje?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Huyu kijana ni Mkenya, graduate wa Education. Anasema alisoma education kwa kumridhisha mzazi wake tu. Kamaliza kapewa certificate yake kumkabidhi mzazi wake na yeye anataka aanze safari ya kutafuta cheti kingine.
Kwa mujibu wa video hii hiii cheti cha Education kitabaki kama kumbukumbu tu.
Mimi nawaza miaka aliyoipoteza.
Your browser is not able to display this video.
 
Inakusumbua nini wakati muda ni wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…