Ukiwa na kijana wa hovyo namna hii utamfanyaje?

Ukiwa na kijana wa hovyo namna hii utamfanyaje?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Huyu kijana ni Mkenya, graduate wa Education. Anasema alisoma education kwa kumridhisha mzazi wake tu. Kamaliza kapewa certificate yake kumkabidhi mzazi wake na yeye anataka aanze safari ya kutafuta cheti kingine.
Kwa mujibu wa video hii hiii cheti cha Education kitabaki kama kumbukumbu tu.
Mimi nawaza miaka aliyoipoteza.
 
Huyu kijana ni Mkenya, graduate wa Education. Anasema alisoma education kwa kumridhisha mzazi wake tu. Kamaliza kapewa certificate yake kumkabidhi mzazi wake na yeye anataka aanze safari ya kutafuta cheti kingine.
Kwa mujibu wa video hii hiii cheti cha Education kitabaki kama kumbukumbu tu.
Mimi nawaza miaka aliyoipoteza.
View attachment 3105484
Inakusumbua nini wakati muda ni wake?
 
Back
Top Bottom