Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Pongezi kwa kukimbia mtego wa panya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke akiwa malaya hata umsugue vp atakusaliti tu kwanza kukataa huwa hawajui malaya anaweza hata kumpenda mwanaume kisa tu anandevu nzuriUlikuwa humsugui /Hugegedi vizuri huyo! Hivyo akaamua kutafuta atakae msugua Vizuri! Over
Sent using Jamii Forums mobile app
Bikra feki hyo nyoko weweUnayosema nayapinga ni tabia ya mtu kuna dada nimetoa bikra at 35 ni nesi hajawahi kuliwa uwezi amini..! Uhuni tabia ya mtu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichokuuma ni "papuchi" kuliwa au "kucheat?" Kungekuwa na lakiri (seal) ungeumia saana.Wakuu katika harakati zangu niliwahi kuwa na mahusiano na dada mmoja ambae ni Nesi huyu nili-plan had kumuoa ili tusaidiane kwenye maisha.
Hatua za mwisho za mahusiano yetu alianza kunidanganya yupo shift za usiku kila siku, lakini hali ilizidi hadi nikahisi hatari nikiwa kama binadamu mwenye moyo nilianza kumchunguza, siku 1 nilienda sehemu anayofanya kazi night lakini wale wafanyakazi wenzake wakaniambia hayupo na siku hiyo alisomeka off duty, ilibidi niondoke tu nikakaa kimya.
Asubuhi nikamuuliza jana ulikuwa kazini? Akaanza kunijibu "kwani sikukwambia kuwa nipo shift ya usiku? Au unaniona malaya? "
Ilibidi nitumie busara za kiume tu nikamwambia samahani nilisahau, siku zilienda mapenzi yakapungua kumbe alikuwa anatembea na mkuu wake wa kazi. Nilijaribu tena kwenda night kwa baadhi ya siku zingine zilizofata na baadae nilichoka.
Siku moja nikamwita nikamueleza ukweli wote na vithibitisho vya kutosha baadae nikamwambia "kama tulivyopendana kwa wema naomba mapenzi yetu nayo yaishe kwa wema, nilikupenda sana lakini kwa sasa mapenzi yamegonga ukuta. Naomba uendelee na maisha yako nami niendelee na maisha yangu"
Aliniomba msamaha lakini nilishindwa kabisa kumsamehe na nilishukuru kwa kuyatambua yale mapema pengne ningekuja kuyatambua wakati tumeoana ingekuwa ni msalaba mzito zaidi kwangu
GunFire
"madoctar" ndio watu gani vile?Wauguzi wa kiume mnaojiita madoctar njooni uku mjibu tuhuma zenu za kula papuchi kimasihara wodini.
Na mengine pia hayana beiKama kichwa cha habari kilivyo, ila sio kweli labda huyo wa kwako!
View attachment 1421697
Na sijutii hadi sanitizer napewa buree[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]"Yule ni boss wangu namuheshimu sana.Istoshe mbaba mtu mzima ana mke wake.Koh!Mtu mzima nimpeleke wapi" Alisikika Nesi.
Na hilo ndo swali wanaloulizaga, hawatakagi uwafuate kazini, utajua mengi. Wengi wao hutaka wanaume mazoba.Kwa nini umfuate mpenzi wako eneo lake la kazi?
Walimu wana unafuu sana, ndiyomaana hata wanasiasa wengi wanakimbilia huko, japo baadhi yao siyo waaminifu sana, ila wana unafuu, wanalinda maadili.Sawasawa na kuoa mtu wa sales. Atakwambia nipo kwa mteja sasa sijui kila siku utauliza wa kike au wa kiume?
Bado nawaza tu nipate mwalimu mambo yasiwe mengi
wewe una sample ya mtu mmoja ,mimi nina sample ya watu wengi.Nafikiri umenielewaUnayosema nayapinga ni tabia ya mtu kuna dada nimetoa bikra at 35 ni nesi hajawahi kuliwa uwezi amini..! Uhuni tabia ya mtu..
Sent using Jamii Forums mobile app