Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Acha nikuacheHa haa, pesa haiwezi kuondoa hasira. Ila ukiwa na Yesu anakusaidia kudhibiti hasira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha nikuacheHa haa, pesa haiwezi kuondoa hasira. Ila ukiwa na Yesu anakusaidia kudhibiti hasira
lakini pia unaweza kununua saa lakini huwezi muda,na pia unaweza kununua kitanda lakini huwezi kununua usingizi!!Ukiwa na Mapesa HUWEZI...
1️⃣ Kununua Wokovu – Wokovu wa Mungu haupatikani kwa fedha bali kwa imani katika Kristo Yesu. (Waefeso 2:8-9)
2️⃣ Kununua Amani ya Moyoni – Amani ya kweli inatoka kwa Mungu. (Yohana 14:27)
3️⃣ Kununua Upendo wa Kweli – Upendo wa dhati haupatikani kwa pesa. (1 Wakorintho 13:4-7)
4️⃣ Kununua Furaha ya Kudumu – Furaha ya kweli inatoka kwa Bwana. (Zaburi 16:11)
5️⃣ Kuongeza Muda wa Maisha Yako – Kama Mungu amekusudia uishi muda wa sekunde 1,576,800,000, hata ukiwa billionaire kama Musk, huwezi kununua hata sekunde moja zaidi ya muda huo. (Luka 12:25). As of Feb 2025, Elon Musk's net worth is estimated at approximately $397.4 billion
6️⃣ Kununua Heshima ya Kweli – Heshima ya kweli hupatikana kwa kuwa na tabia njema, si kwa kuwa na mapesa. (Methali 22:1)
7️⃣ Kurudisha Uhai wa Mpendwa Wako – Pesa haziwezi kurudisha maisha ya wapendwa waliotangulia mbele za haki. (Mhubiri 3:1-2)
8️⃣ Kununua Baraka za Mungu – Baraka za kweli haziwezi kununuliwa kwa mapesa, bali hutolewa na Mungu kwa neema. (Mithali 10:22)
💡 Tafuta Pesa kwa Bidii: Pesa ni muhimu, lakini tusidanganyike, mambo yenye thamani ya milele hayawezi kununuliwa kwa mapesa. Nope!
Ubarikiwe! 🙏
Uzo ufungwe.Money is everything... asante mkuu
Well said, Mkuu. Kuna mmoja amesema akisikia mtu anaisema vibaya pesa, anatetemeka kwa hasira. Bahati mbaya pesa haiwezi kuondoa hasira ya mtu. Tunaishinda hasira kwa neema ya Yesu tu.Kwa ambao wamewahi shika pesa za kutosha ama ambao wanapesa tayr, wanakuelewa point Yako, ila Hawa masikini wa jf hawawezi kukuelewa mkuu
Hiyo #8 wapumbaf wengi wanadhani baraka za Mungu zinanunuliwa kwa mlungula.Ukiwa na Mapesa HUWEZI...
1️⃣ Kununua Wokovu – Wokovu wa Mungu haupatikani kwa fedha bali kwa imani katika Kristo Yesu. (Waefeso 2:8-9)
2️⃣ Kununua Amani ya Moyoni – Amani ya kweli inatoka kwa Mungu. (Yohana 14:27)
3️⃣ Kununua Upendo wa Kweli – Upendo wa dhati haupatikani kwa pesa. (1 Wakorintho 13:4-7)
4️⃣ Kununua Furaha ya Kudumu – Furaha ya kweli inatoka kwa Bwana. (Zaburi 16:11)
5️⃣ Kuongeza Muda wa Maisha Yako – Kama Mungu amekusudia uishi muda wa sekunde 1,576,800,000, hata ukiwa billionaire kama Musk, huwezi kununua hata sekunde moja zaidi ya muda huo. (Luka 12:25). As of Feb 2025, Elon Musk's net worth is estimated at approximately $397.4 billion
6️⃣ Kununua Heshima ya Kweli – Heshima ya kweli hupatikana kwa kuwa na tabia njema, si kwa kuwa na mapesa. (Methali 22:1)
7️⃣ Kurudisha Uhai wa Mpendwa Wako – Pesa haziwezi kurudisha maisha ya wapendwa waliotangulia mbele za haki. (Mhubiri 3:1-2)
8️⃣ Kununua Baraka za Mungu – Baraka za kweli haziwezi kununuliwa kwa mapesa, bali hutolewa na Mungu kwa neema. (Mithali 10:22)
💡 Tafuta Pesa kwa Bidii: Pesa ni muhimu, lakini tusidanganyike, mambo yenye thamani ya milele hayawezi kununuliwa kwa mapesa. Nope!
Ubarikiwe! 🙏
Na Hata Pesa Haipatikani Kwa Hayo Mambo.Ni muhimu kuwa nazo, ila tukiwa nazo tusisahau kuwa mambo hayo yaliyotajwa hayapatikani kwa pesa
Indeed ❤️
Redmi 13c gb 128 RAM 6 zinasimamia shingapi mkuuutopolo mtupu
Ukimcha Mungu anaweza kukusaidia kupata pesa. katika Mathayo 17:27 tunasoma habari za Petro. Alikuwa hana pesa ya kulipa kodi. Yesu akamwambia aende kuvua samaki. Ndani ya samaki atakayezuka kwanza atakuta pesa!Na Hata Pesa Haipatikani Kwa Hayo Mambo.
Ndio Vivyo Hivyo Ukiwa Na Pesa Inasaidia Pia Kumcha MunguUkimcha Mungu anaweza kukusaidia kupata pesa. katika Mathayo 17:27 tunasoma habari za Petro. Alikuwa hana pesa ya kulipa kodi. Yesu akamwambia aende kuvua samaki. Ndani ya samaki atakayezuka kwanza atakuta pesa!
Mpaka kwenye Kifo inajawabu?Pesa ni jawabu la mambo yote.
Indeed❤️, money is a powerful tool that can solve many earthly problems. However, it cannot buy everything. It can buy a house but not a home, medicine but not health, companionship but not true friendship, luxury but not peace, entertainment but not joy, and power but not salvation.Indeed ❤️