safuher JF-Expert Member Joined Feb 11, 2019 Posts 11,837 Reaction score 17,412 Oct 6, 2020 #121 Iceberg9 said: Safi, nawatabiria kudumu kwenye ndoa yenu sana, maana nwanamke kutokasirika hovyo hovyo huleta furaha sana kwenye mahusiano Click to expand... Hao ni wanawake visirani,ogopa sana aisee. Ila nilichogundua ndoa haitakiwi maisha yake kuyachukulia siriaz sana kwamba ndo mume tenaaa. Ila mkiishi kama washkaji au marafiki ni jambo jema sana,
Iceberg9 said: Safi, nawatabiria kudumu kwenye ndoa yenu sana, maana nwanamke kutokasirika hovyo hovyo huleta furaha sana kwenye mahusiano Click to expand... Hao ni wanawake visirani,ogopa sana aisee. Ila nilichogundua ndoa haitakiwi maisha yake kuyachukulia siriaz sana kwamba ndo mume tenaaa. Ila mkiishi kama washkaji au marafiki ni jambo jema sana,
Tuttyfruity JF-Expert Member Joined Dec 3, 2017 Posts 2,414 Reaction score 6,371 Oct 6, 2020 #122 Heee naona unataka kuni psycho analyse sasa
Y yuzazifu JF-Expert Member Joined Oct 6, 2018 Posts 5,108 Reaction score 9,436 Oct 6, 2020 Thread starter #123 Tuttyfruity said: Heee naona unataka kuni psycho analyse sasa Click to expand... nilitaka kusema nawe kitu bt basi nikutakie usiku mwema
Tuttyfruity said: Heee naona unataka kuni psycho analyse sasa Click to expand... nilitaka kusema nawe kitu bt basi nikutakie usiku mwema
tweenty4seven JF-Expert Member Joined Sep 21, 2013 Posts 15,863 Reaction score 19,626 Oct 6, 2020 #124 yuzazifu said: unajikaza tu ajili ya mwenza maana hata chafya ukiwa mbele za watu huwezi ipga direct lazima utaangalia namna nzuri ili usiwakere wengne Click to expand... Mimi hutizama kwa raha zangu,macho nimepewa nitizame
yuzazifu said: unajikaza tu ajili ya mwenza maana hata chafya ukiwa mbele za watu huwezi ipga direct lazima utaangalia namna nzuri ili usiwakere wengne Click to expand... Mimi hutizama kwa raha zangu,macho nimepewa nitizame
Y yuzazifu JF-Expert Member Joined Oct 6, 2018 Posts 5,108 Reaction score 9,436 Nov 17, 2020 Thread starter #125