Ukiwa na mkeo jizuie kupepesa macho

Ukiwa na mkeo jizuie kupepesa macho

Hapo ulikosea kitu kimoja kikubwa sana, ikiwa utakamatwa hivo sema maneno yaha kwa mkazo, ninashukuru mke wangu hauvai mavazi yasiyo na staha kama yule, hana heshima na anamshushia heshima mumewe. Anaonekana kituko njia nzima. Twende zetu mke wangu mzuri ukale mbuzi katoriki. Hapo umemaliza kabisa
 
Mkuu ulitakiwa kutufunza jinsi ya kuangalia bila kua noticed na wapenzi wetu, kuna siku nilikua na mpenzi wangu pale stand ya kivukoni, magari ya tegeta kivukoni yanapopaki, kuna dada mmoja hivi nafikiri alikua hayuko sawa kichwani, niliambiwa tu mpenzi wangu mambo aliyokua anafanya na na baadhi ya maneno nilisikia aliyokua anaongea aisee nilishindwa kugeuka nyuma kabisa japokua akili ilikua inaniambia angalia uone.

Mkuu, ikiwa unataka kugeuka uangalie hakikisha yafuatayo
1. Ukimwona anakuja kwa mbele yako, hakikisha unageuka unaanza kutazama atakapoelekea kabla hajakupita. Hapo utakuwa umepoteza lengo. Ulikuwa unatazama huko tangu zamani na wala si yeye aliyekufanya ugeuke
 
Na wanawake muwe na ubinadamu,unajua kabisa kuna mambo yasiyo ya muhimu naangalia mara moja napita hivi
siyo mambo ya kukatana vibao barabarani😀😀
 
Natumai hamjambo wananzengo.

Wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.

Tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"

Ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
Mimi ikipita pisi Kali lazima niangalie kwa timing
 
Hiyo kitu ni ngumu sana kuiepuka.... Huwa ni automatically kama kupiga chafya.
 
Hiyo kitu ni ngumu sana kuiepuka.... Huwa ni automatically kama kupiga chafya.
unajikaza tu ajili ya mwenza maana hata chafya ukiwa mbele za watu huwezi ipga direct lazima utaangalia namna nzuri ili usiwakere wengne
 
Hapo ulikosea kitu kimoja kikubwa sana, ikiwa utakamatwa hivo sema maneno yaha kwa mkazo, ninashukuru mke wangu hauvai mavazi yasiyo na staha kama yule, hana heshima na anamshushia heshima mumewe. Anaonekana kituko njia nzima. Twende zetu mke wangu mzuri ukale mbuzi katoriki. Hapo umemaliza kabisa
hii mbinu nzuri hasa ukishindwa jizuia kugeuka
 
hii mbinu nzuri hasa ukishindwa jizuia kugeuka
au ukikutwa unasindikiza hiyo mambo na wife usipanick kwasababu atakuwa anakuangalia reaction yako so unachotakiwa ni utikise kichwa kwa huzuni atakuuliza nini,mwambie umechoka na hii dunia na mwambie kwa kuona yasiyo mpendeza mung
 
au ukikutwa unasindikiza hiyo mambo na wife usipanick kwasababu atakuwa anakuangalia reaction yako so unachotakiwa ni utikise kichwa kwa huzuni atakuuliza nini,mwambie umechoka na hii dunia na mwambie kwa kuona yasiyo mpendeza mung
mkuu naona we ni mtaalam wa hizi mambo
 
Natumai hamjambo wananzengo.

Wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.

Tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"

Ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
Daah nimemkumbuka x Siku moja tulikua kituoni tunasubiri daladala basi ikapita pisi kalii nikamsukuma kdogo kimbea na mkono nikashangaa akanyanyua uso kuangalia kulikoni!!! Sikutegemea nilidhani nikimpush kimbea ataniangalia usoni.
 
Back
Top Bottom