Ukiwa na mkeo jizuie kupepesa macho

Ukiwa na mkeo jizuie kupepesa macho

Kwa nini nijizuie it's natural na nisipoangalia nahisi nadaiwa kwa hiyo mwili unaproduce cortisol ambayo si nzuri kwangu.Acha niangalie.
natumai hamjambo wananzengo.

wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.

tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"

ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
 
nilichojifunza katika hili mke anahitaji atesheni yako sana hasa mnapokua mmetoka, kinyume chake utamfanya ajisikie vibaya
Wakwangu ananiambiaga "geuka, au kwa vile nipo ndo unapata shida huwez kugeuka" anaongeza "vipi nikuombee namba?"

Yani mi na yeye ni masela maana anaelewa binadamu anajichunga mwenyewe!
 
Kwa nini nijizuie it's natural na nisipoangalia nahisi nadaiwa kwa hiyo mwili unaproduce cortisol ambayo si nzuri kwangu.Acha niangalie.
ukiwa na mwenza bora ukafanya kiutani utani maana anaeza kukufikiria vibaya
 
Wakwangu ananiambiaga "geuka, au kwa vile nipo ndo unapata shida huwez kugeuka" anaongeza "vipi nikuombee namba?"

Yani mi na yeye ni masela maana anaelewa binadamu anajichunga mwenyewe!
mkeo yupo vizuri
 
Hasa kikipita kitu kama hicho yna2 hapo lazima tu ugeuke,hata kama hutaki
 
Nilikuwa na huyu babe nilimzoea sana, nakuwa huru sana nikiwa nae.., tukiwa misele nikaona mdada ana mshepu wake uwa namshtua namwambia aangalie uumbaji wa sir God.....basi anacheeeka mwenyewe, sometimes ananitania nikamuombee namba na mimi namtania kausha kuna UTI sugu pale 😆😆

Macho hayana pazia, lakini muwe mnajitahidi kutuliza shingo zenu hizo muwapo na wenzi wenu...
Asee wewe una tabia kama ya Ex wangu wa Kihindi
 
Sio unageukaa mshingoo woteee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani unaangalia chap imeishaa hiyoo hakuna Mwanamke anaependa kuona unamtamani mwanamke mwingine mbele yakee..!!

Hao wanaosema sijui akuombee na namba deep down maumivu yake anayosikia acha tuu...
 
Nikinuna we ninunue kwa hela, niwekee hela kwenye matiti na kitovu, ntakupa tabasamu na vingine. Ila ukirudia tena kunifanya ninune, bei ya kuninunua inaongezeka... kazi kwako.
😂😂😂Kumbe mnuno una gharama zake😂😂😂
 
Huyo wife mbona ana uafadhari mkubwa tu.

Mimi nimekuta contact zote za wadada wakali zimefutwa kwenye simu yangu.

Haijalishi ni colleagues, ndugu wala jamaa yangu wote wameishia kupigwa block na kuzi delete namba zao.
 
Natumai hamjambo wananzengo.

Wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.

Tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"

Ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
Huyo mke anashida zake,wengine tunakula kwa macho njia nzima hatuulizwi,sasa wewe hilo nalo ni kosa,sasa ukikutwa na ms utapigwa wewe
 
Natumai hamjambo wananzengo.

Wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.

Tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"

Ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
Ulifanya vyema kuomba radhi,ila siku nyingine,akikuuliza mwambie namfananisha huyo demu na mdada mmoja alinikopa fedha siku nyingi sana akaingia mitini
 
Natumai hamjambo wananzengo.

Wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.

Tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"

Ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
We ni mwanaume dhaifu..endelea kujishusha mpaka uzame
 
.............Umefanya kosa ila umefanya kosa kubwa zaidi kuomba msamaha kwa mkeo, umeshindwa kusema hata “nilikuwa naangalia plate number ya chombo chochote ambacho kilikuwa nyuma yenu kwamba kama unakifananisha na cha fulani”,au kama hamna ungesema nilikuwa nasoma tangazo lile pale kwenye mti.

Hapo hata angekataa story ingebaki wewe kutetea hoja zako ila kuonyesha udhaifu kama huo kwa mkeo anaweza akakushushia heshima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mtihani huwa naushinda ninapokuwa na mwanamke yeyote.
Ila huwa unahitaji moyo mgumu.
 
siiku zote mwanamke huipamba dunia...flowers of the world....mie huwa naomba ruhusa kabisa.....hawezi ninyima coz anajua farahi ya macho haifilisi duka.........kuna viumbe kike vimefinyangwa jamani..........hahahahaaaa....kuna jamaa mkewe kamwagia waji ya moto usoni......kisa anapepesa sana...na haishii hapo....
 
.............Umefanya kosa ila umefanya kosa kubwa zaidi kuomba msamaha kwa mkeo, umeshindwa kusema hata “nilikuwa naangalia plate number ya chombo chochote ambacho kilikuwa nyuma yenu kwamba kama unakifananisha na cha fulani”,au kama hamna ungesema nilikuwa nasoma tangazo lile pale kwenye mti.

Hapo hata angekataa story ingebaki wewe kutetea hoja zako ila kuonyesha udhaifu kama huo kwa mkeo anaweza akakushushia heshima.

Sent using Jamii Forums mobile app
kibishi bishi...yes.....huu ndio uanaume.......hahhaahaa
 
Back
Top Bottom