Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
wa hivyo ni mzuri ila kumtoka huwezHhahha wife ananiambiaga mwenyewe...hujaona au unajikausha kwakua uko na mimi?? Angalia tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wa hivyo ni mzuri ila kumtoka huwezHhahha wife ananiambiaga mwenyewe...hujaona au unajikausha kwakua uko na mimi?? Angalia tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😃😃😃 Kwahiyo anakujua viti unavyopendaHhahha wife ananiambiaga mwenyewe...hujaona au unajikausha kwakua uko na mimi?? Angalia tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
chochote kinachomfanya mwenza ajisikie vibaya hakipendeziWe ni mwanaume dhaifu..endelea kujishusha mpaka uzame
Saanaaa..hasa anaeangaliwa akiwa pisi Kali [emoji23][emoji23]
kuna scene hata ukilazimisha udanganye uongo hukataa kabisa, hebu assume mtu mnatembea mmeshikana mikono alafu mbele yenu anapita mtu unageuka mwenzako anakuchora tu alafu ukatae kusudi dah!.............Umefanya kosa ila umefanya kosa kubwa zaidi kuomba msamaha kwa mkeo, umeshindwa kusema hata “nilikuwa naangalia plate number ya chombo chochote ambacho kilikuwa nyuma yenu kwamba kama unakifananisha na cha fulani”,au kama hamna ungesema nilikuwa nasoma tangazo lile pale kwenye mti.
Hapo hata angekataa story ingebaki wewe kutetea hoja zako ila kuonyesha udhaifu kama huo kwa mkeo anaweza akakushushia heshima.
Sent using Jamii Forums mobile app
right bt tuwapo na wenza tujitaidi maana wengine huhisi unaemtizama ndo umemthaminisha kuliko yeyeAah kuna mitihani mingine sisi kama wanaume hatuiwezi kabisa yani iwe tu kwa kudra za Mungu ila sio kwa uwezo wetu mtihani mmoja wapo ni huo wa kutokutazama Mizigo road
Mwingine ni Kumwaga nje
right kunaugum sana maana kuna figure zinashawishi kutizama hadi unajisahau kabisaHuu mtihani huwa naushinda ninapokuwa na mwanamke yeyote.
Ila huwa unahitaji moyo mgumu.
after kumwagia imekuwaje mkuu? malizia storisiiku zote mwanamke huipamba dunia...flowers of the world....mie huwa naomba ruhusa kabisa.....hawezi ninyima coz anajua farahi ya macho haifilisi duka.........kuna viumbe kike vimefinyangwa jamani..........hahahahaaaa....kuna jamaa mkewe kamwagia waji ya moto usoni......kisa anapepesa sana...na haishii hapo....
right, hata anapokuambia hivo anajitoa tu bt uhalisia wa mambo anaujua kabisa hapendiSio unageukaa mshingoo woteee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani unaangalia chap imeishaa hiyoo hakuna Mwanamke anaependa kuona unamtamani mwanamke mwingine mbele yakee..!!
Hao wanaosema sijui akuombee na namba deep down maumivu yake anayosikia acha tuu...
hakika mkuuHakuna chama tawala kinachopenda kupoteza dola.
sawa mkuuUlifanya vyema kuomba radhi,ila siku nyingine,akikuuliza mwambie namfananisha huyo demu na mdada mmoja alinikopa fedha siku nyingi sana akaingia mitini
mkuu binadam wapo tofautiHuyo mke anashida zake,wengine tunakula kwa macho njia nzima hatuulizwi,sasa wewe hilo nalo ni kosa,sasa ukikutwa na ms utapigwa wewe
Hapo sawa, ama laah jiandae kunihonga hela ili nisinune zaidi.sintorudia kipenzi
saivi sirudii kufanya vile maana unaeza ninyima appleHapo sawa, ama laah jiandae kunihonga hela ili nisinune zaidi.
YeahPesa..??
ka nimuelewa sio shida sanaMacho hayana pazia mizigo nacheki kama kawaida japo wife nae ana bonge la mchura sema ndio mambo ya mungu tena kucheki vingine sio dhambi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app