Mokobe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2020
- 1,249
- 1,546
siyo mtaalam mkuu lakini haitakiwi kuangalia mambo kama hayo ukiwa na wife maana huleta hasira sana anaweza kuweka kofimkuu naona we ni mtaalam wa hizi mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siyo mtaalam mkuu lakini haitakiwi kuangalia mambo kama hayo ukiwa na wife maana huleta hasira sana anaweza kuweka kofimkuu naona we ni mtaalam wa hizi mambo
sina uhakika mkuu😛Je wanawake nao wanapepesa macho wakiwa na waume zao?
Hahahahahaaaaa mzee baba umenichekesha sana aisee heheheHhahha wife ananiambiaga mwenyewe...hujaona au unajikausha kwakua uko na mimi?? Angalia tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ungemkata vibao! Anakukoromeaje hivyo mwamba?Natumai hamjambo wananzengo.
Wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.
Tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo unamkosea heshima na kugeuka kutizama wanawake wengine, je ningefanya hivo kwa wanaume wapitao ungependezwa? sio siri umenikwaza sana"
Ilinibidi nijishushe na kuomba samahani yaishe, nawaasa nanyi wakuu muwapo na wake zenu jizuieni kupepesa macho msije wakwaza bure.
Upo sahihi kabisa mkuu. Zile huwaga ni fantasies na infatuations tu.Shida ni kwamba hata huyo mwenye figa bomba ukimpata utamuona wa kawida sana..... ......
haukununa mkuu?Daah nimemkumbuka x Siku moja tulikua kituoni tunasubiri daladala basi ikapita pisi kalii nikamsukuma kdogo kimbea na mkono nikashangaa akanyanyua uso kuangalia kulikoni!!! Sikutegemea nilidhani nikimpush kimbea ataniangalia usoni.
huyo kweli alikua boyaKuna boya alkuwa hamheshimu mke wake,alkuwa akiona demu mzur hata kama yupo kwenye gari anatoa kichwa nje ili zone vzur,badala ya kuchungulia kwenye side mirror
Nilikuwa na huyu babe nilimzoea sana, nakuwa huru sana nikiwa nae.., tukiwa misele nikaona mdada ana mshepu wake uwa namshtua namwambia aangalie uumbaji wa sir God.....basi anacheeeka mwenyewe, sometimes ananitania nikamuombee namba na mimi namtania kausha kuna UTI sugu pale [emoji38][emoji38]
Macho hayana pazia, lakini muwe mnajitahidi kutuliza shingo zenu hizo muwapo na wenzi wenu...
hakunikoremea alikua akinilalamikiaUngemkata vibao! Anakukoromeaje hivyo mwamba?
😂😂😂😂 nitakuweka magogo shingoni,sitaki ujinga mimiLabda niwekewe kishika shingo maana kwa maombi tu siwezi... Ngoja nije nioe tuone itakuwaje..😂
Umejoin Saturday. Unayajua mpaka mambo ya miezi miwili nyuma 🙄Kumbe ww niwakiume maana kuna siku mlichambana sijui na nani yule eti akadai ulimwita Boko
Walaahaukununa mkuu?
hongera, inaonekana we muelewaWalaa
ukizoea hivyo ukiwa na wife utaangalia vp mkuuYani mimi nikiona mdada ana tako yani lazma nimshtue jamaa yangu na nnamwambia kabisa huyu dada anatako zuri 😂. Nimezoea hivo
HUA UNAFANYA HIVO TOKA MOYONI AU NIKUJISHTUKIA?Yani mimi nikiona mdada ana tako yani lazma nimshtue jamaa yangu na nnamwambia kabisa huyu dada anatako zuri
HUA UNAFANYA HIVO TOKA MOYONI AU NIKUJISHTUKIA?
Toka moyoni kuna mda nawaza labda naweza kua Bisexual[/QUOTE ]
duh! pole mkuu, hali hiyo umekua nayo kwa muda gani