Ukiwa na Mkweo usisome majina ya Kijapani kwa sauti!!

[emoji1] [emoji1] [emoji1] acheni masikhara aisee
 
NI ushauri tu kwa vijana ambao huwa wanataka sifa mbele ya wakwe zao kuonesha wanajua mambo mengi. Tafadhali sana usijaribu kusoma kwa sauti majina ya Kijapani ukiwa ukweni ama na mkweo!!
....moto
 
Siyo majina ya Kijapani tu, hata baadhi ya majina ya Watanzania.

Kama hiyo haitoshi, kuna mistari ya biblia ndiyo kabisa haisomeki kwa sauti, mbele ya yeyote.
Sio kila muislamu ni mdini kama wewe, muda mwingine ficha upumbavu wako ili uiheshimishe dini yako.
 
Hiyo yote ni majina ya watu waanzilishi wa hayo makampuni. Mfano halisi ni Honda. Honda ni MTU kabisa ndiye muanzilishi wa kampuni ya Honda.
Ni sawa unavyoona huku kwetu kuna Dangote Cement.
We mnaijeria kiswahili unakiweza sana. Hongera.
 
NI ushauri tu kwa vijana ambao huwa wanataka sifa mbele ya wakwe zao kuonesha wanajua mambo mengi. Tafadhali sana usijaribu kusoma kwa sauti majina ya Kijapani ukiwa ukweni ama na mkweo!!
Kuna timu inaitwa kumamoto fc
 
Mnashangaa mjina ya kijapani wakati hapa hapa Tz hasa kule kwetu kanda ya akina meku kuna watu wanaitwa MBORO/MBOLO.
 
Siyo majina ya Kijapani tu, hata baadhi ya majina ya Watanzania.

Kama hiyo haitoshi, kuna mistari ya biblia ndiyo kabisa haisomeki kwa sauti, mbele ya yeyote.
"kuna mistari ya biblia ndiyo kabisa haisomeki kwa sauti, mbele ya yeyote." Kwa ujinga huo uliouwandika nidhihiri umejaza kinyesi kichwani wewe kikongwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…