Ni kweli..labda kuzoea hapo ina maana ya self controll..huwez tumia tu internet without plan na kuna mambo mengine ya kufanyaKuna kuzoea kweli? social media inalewesha kama pombe yaani
ni madhara ya vichocheo vya urika, yechnologia na utandawazi tu ndivyo husumbua watu,Muda huu ni saa tisa na nusu nipo kwenye internet tangu saa tano nilipoingia kitandani.
Nahama mitaa ya reddit naingia youtube, , naingia twitter, naingia netflix, sasa nimekuja kuchungulia JF
Hali hii tunaipitia wangapi ?
MUHIMU: Sijaajiriwa nina biashara yangu nayoamua niende muda gani naotaka
Kuna mambo nilikua nashughulika nayo hivi karibuni nilibanwa kwelikweli,,, ila nimerudi saizi niambie π€π€Unajificha ficha sana recently.shida nin?
Nikuambie kweli au ?πKuna mambo nilikua nashughulika nayo hivi karibuni nilibanwa kwelikweli,,, ila nimerudi saizi niambie π€π€
Niambie tu ndyo ππNikuambie kweli au ?π
MBona umenitenda ubaya mkuu namna hii kule upande wa pili?Niambie tu ndyo ππ
Sio kweliMBona umenitenda ubaya mkuu namna hii kule upande wa pili?