Ukiwa na wananchi kwa upande wa nchi na Kikwete kwa upande wa chama, basi umemaliza. Nape na Makamba kwisha habari yao

Ukiwa na wananchi kwa upande wa nchi na Kikwete kwa upande wa chama, basi umemaliza. Nape na Makamba kwisha habari yao

Naludia tena CCM ni kikwete ni kinana na Mzee makamba kwa sasa. Up coming CCM ni January Nape na Mwigulu. Wote hao lao ni Moja wakisema kushoto nikushoto na kulia ni kulia. Kaeni kwa kutulia mwaka wa uchaguzi utakuwa wa burudani sana huu.
 
Naludia tena CCM ni kikwete ni kinana na Mzee makamba kwa sasa. Up coming CCM ni January Nape na Mwigulu. Wote hao lao ni Moja wakisema kushoto nikushoto na kulia ni kulia. Kaeni kwa kutulia mwaka wa uchaguzi utakuwa wa burudani sana huu.
Si nyinyi mliokuwa mnadai kuwa mama aliwekwa pale na Msoga, na kwamba sasa hivi kuna remote ambayo inatoka msoga ku control jumba jeupe.

Sasa kama mlilokuwa mnafikiri ni kweli, unafikiri mzee wa msoga atakubali aliemuweka anyang'anywe mitumbua na vijana aliewafunza siasa yeye mwenyewe.

Kwanza picha linaanza mtoto wa msoga sasa hivi kaongezwa cheo, kutoka unaibu waziri hadi uwaziri kamili. So hapo mtu wa namna hiyo mzee wa chama atakosaje kumpigania.

I mean just soma comment namb 11. Utaelewa nilichomaanisha hapa.
 
Vipi katika hili CHADEMA hawahusiki?

Anyway, mstaafu kustaafu Si zaidi ya siku kuu!!
Labda wanahusika ili kupata mgombea wa mwaka 2025. Lakini hakuna ambacho kitabadili mwelekeo wa mwenyekiti wa chama cha CCM.
 
Si nyinyi mliokuwa mnadai kuwa mama aliwekwa pale na Msoga, na kwamba sasa hivi kuna remote ambayo inatoka msoga ku control jumba jeupe.

Sasa kama mlilokuwa mnafikiri ni kweli, unafikiri mzee wa msoga atakubali aliemuweka anyang'anywe mitumbua na vijana aliewafunza siasa yeye mwenyewe.

Kwanza picha linaanza mtoto wa msoga sasa hivi kaongezwa cheo, kutoka unaibu waziri hadi uwaziri kamili. So hapo mtu wa namna hiyo mzee wa chama atakosaje kumpigania.

I mean just soma comment namb 11. Utaelewa nilichomaanisha hapa.
Wewe tulia baada ya pilikapilika za uchaguzi kuisha uludi tukumbushane
 
Hayo majizi yaje kufanya nn!!
Mkuu kwa Tanzania mtu huonekana mwizi au fisadi pale tu anapokuwa nje ya upinzani. Lakini mtu huyo huyo mwizi au fisadi anapoamua kuja upinzani, basi huonekana ni mzalendo, mkombozi na mwenye maono.

Hivyo kwa sasa wanaweza kuonekana wezi lkn wakija upinzani wataonekana hawakuwahi kuiba, na yote waliyohusishwa nayo utasemekana yalipangwa kisiasa tu ili kuwachafua.

Unakumbuka 2015?
 

Attachments

  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    38.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240722-120509.jpg
    Screenshot_20240722-120509.jpg
    390.6 KB · Views: 2
Habari zenu wana JF wenzang

Baada ya tumbua tumbua iliyofanyika jana, na kupelekea vijana wawili (maadui wa taifa) kutumbuliwa na mwenye nchi yake, inasemekana na kuonekana kabisa kuwa watumbuliwaji wameunda genge lao na kutuma vijana huku mitandaoni kwa lengo la kumpiga mkwara boss wao aliewatupa nje ya kazi zao.

Tumeshaona waliotumwa wamekuja na mikwara ya kwamba inawezekana vijana hao wakamkwamisha mwenye nchi huyo na namba 1 wa chama ktk kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama chao, pamoja na kile cha uraisi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukweli ni kwamba hizo ni ndoto za alinacha kwa nchi ambayo mkuu wa nchi ndio mwenyekiti wa chama. Nikiwa na maana kwamba yeye ndio alifa na umega kuanzia kwenye chama na nchi, hivyo kumuangusha au kumuengua mtu wa aina hii ili asigombee uraisi kwa kujifanya eti wao ndio waliokulia kwenye chama ni kujidanganya wenyewe.

Nafikiri wote tunakumbuka Jinsi raisi na mwenyekiti wa chama aliepita hayati Dr John P. Magufuli alivyowapeleka puta vijana hao hadi kupelekea wengine kutambaa kutoka kwao hadi ikulu kuomba msamaha. Sasa itakuwa kwa huyu ambae ana baraka kubwa kutoka kwa baba wa chama (Kikwete) na support kubwa kutoka uraiani baada ya wananchi wengi kufurahia kutumbuliwa kwao!!

Narudia tena, Makamba na Nape hawana ujanja wala nguvu ya kupindua meza iliyopo ikulu iwe kiushawishi au kifedha. Wao watulie tu na kuwa waangaliaji wa mechi kama wengine walivyokuwa waangaliaji pindi wao walipokuwa bado wachezaji wa team ya mama.

Thanks kwa kunisoma.
Kikwete anaumwa!

Sijui kama ile theory ya Mzee Makamba itafanya kazi
 
Back
Top Bottom