Ukiwa nje usiwaamini ndugu Bongo, ndoto ya kurudi nyumbani mazima imefifia kutokana na ujenzi hafifu

Ukiwa nje usiwaamini ndugu Bongo, ndoto ya kurudi nyumbani mazima imefifia kutokana na ujenzi hafifu

kuna ofisi ya Dawasco imejengwa siku 29 lila kitu hadi tyres aise hapo mbona nyumba imeshaisha sasa .pesa kama ipo hiyo inajengwa siku 15 imeisha nipe mimi niisimamie nicheki inbox
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nacheka kama mazuri.

Sasa nguvu ya kuwatumia zingine unaitoa wapi?

Au ndio mambo ya damu nzito.....
Dah we acha tu ndugu.
 
Basi nikajua kwa malalamiko haya utakuwa mjengo wa kisasa hadi nitamani kuzamia Ughaibuni.
Sio mbaya, hiyo nyumba haina uzio yaani ukuta na naona finishing bado sidhani kama kwa muda huo unatosha.
Watu mnaopata bahati kwenda nje na mkaamua kufanya uenzi wa makazi bora muwa mnajenga kwa kutumia makampuni badala ya ndugu zenu, mnakwepa makampuni ya ujenzi ila ndugu mnaowaamini wanawapiga pesa nyingi kuliko mngezolipa ktk kampuni.
Sinza hapa nilikuwa nafanya nami vimichakato vyangu, kuna jirani yangu alinunua nyumba mbli kupata moja, bei alioambiwa na ndugu zake alipigwa zaidi ya mil 28, kwenye ujenzi ni balaa tupu hadi roho inaniuma. Kuna kibustani mbele ya nyumba kidogo ndugu yake kwamwambia kinahitaji mil 3 ili kikae mkao duuu.
"Basi nikajuwa kwa malalamiko haya utakuwa mjengo wa kisasa"

"Watu mnaopta bahati kwenda nje"

Mkuu maneno yako yamejaa wivu na chuki..
Kataa roho za kimasikini zitakufanya ushindwe kufikia mfanaikio katika maisha yako , badilisha mindset yako !
 
We nawe unafeli Sana!

Ndugu ni WATU wa kula nao kwenye maulidi,harusi,kipaimara,unyago,kando na sikukuu nyingine sio maendeleo!!

WAO wenyewe mishe zao zimekwama Ndio wafanikishe zako!?

BADO hujapitia stage zote za maisha ya ushirika na wabongo wewe,kwenye maendeleo wabongo ni wachawi Sana !Tena ukirudi na kuanza kuishi kwenye hiyo nyuma Ndio utawaelewa vizuri na kujuta KWANINI uliwashirikisha!!

Mwanamke ukizaa nae angeweza kuisimamia vizuri kama ungemwambia Ndio nyumba yetu ya kuishi wewe na wanetu komaa KWA ajili ya wanao!!

Nimeandika with personal experience sio KWA kuambiwa KABISA!!

Kwende ISHU ya maendeleo Binafsi usishirikishe ndugu kwenye process unaweza ukafa KABISA usirudie TENA!

Mungu ayabariki Maisha YAKO!
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu wanajamii forum wenzangu, unapokuwa nje ya nchi mara nyingi unakumbana na changamoto nyingi kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki uliyowaacha nyumbani.

Hii ni kutokana na wao kuona, au kuamini kwamba unao uwezo wa kufanya kila kitu kwao. Na kibaya zaidi hata utapojaribu kufanya baadhi ya vile unavyoweza kufanya bado utaendelea kubebeshwa lawama tu, ili mradi wahakikishe kuwa wew hauwezi ukaishi bila lawama zao.

Mwaka 2019 before corona nilikwenda bongo nikanunua kiji eneo maeneo ya salasala. Mpaka hapo tayari nilikuwa na eneo langu lingine ambalo tayari nimeshajenga kule Kigamboni, sehemu fulan inaitwa yebo yebo. Ila mimi binafsi nilipojaribu kupalinganisha Kigamboni na Salasala maeneo niliyonunua mimi, niliona kwamba Salasala ndio panafaa kuwa makazi yang ya kudumu pindi ntaporudi kuishi bongo mpaka pale muumba ataponichukua.

Kwahiyo nilivyorudi kaburu ikabidi nianze jitihada za ujenzi kule Salasala ili nishushe mjengo nitakaoishi mimi na familia yangu afu ile nyumba ya Kigamboni nitaipangisha. Kwa sasa kule yebo yebo Kigamboni anaishi brother wangu ambae na yey ana kiwanja chake huko huko Kigamboni anajenga, kwahiyo wakati namalizia mjengo wangu wa Kigamboni aliniomba akae kwanza kwa muda ili awe karibu na shughuli yake ya ujenzi afu nyumba yake ikishaisha ndo atapohama na kuniachia nyumba yangu nipangishe, nkasema haina noma bro.

Sasa basi ujenzi wa Salasala niliuanza mwaka 2020 nikitarajia kuwa katikati ya mwaka huu wa 2022 niwe nimeshamaliza afu ikiwezekana mwezi wa 12 nikienda bongo likizo iwe ndo kimoja nisirudi tena Kaburu. Cha kushangaza pamoja na jitihada zote nlizofanya lkn wanaosimamia mjengo wangu ndio wananikwamisha. Nyumba inaenda kimdondo sana mpaka inanikatisha tamaa kama ninaweza kuihamia mwishoni mwa mwaka huu.

Kabla ya kuanza ujenzi huu kuna watu walinishauri kwamba ni bora nimtume mama watoto aende kukaa bongo ili awe anasimamia shughuli za ujenzi kuliko kuwaamini ndugu tu pekee, mimi nikakaidi kwa kuona kuwa kamwe siwezi kumuweka mke wangu mbele ya ndugu zangu.

Sasa matokeo yake majuto ni mjukuu. Na mimi kuhamia Kigamboni staki naona kumenikalia kushoto sana aisee. Wana JF wenzangu mnaonaje, hivi mjengo huu unaweza kuisha kwa mwezi mmoja uliobaki kweli?

Maanake kuishi mbali na nyumbani kwa muda mrefu nako kunachosha.

View attachment 2400496View attachment 2400497
Mimi nilishapigwa Sana tena Mimi sikuwa mbali nilikuwa kenya Ila sio chini ya dollar elf 10 Bora wewe angalau ujapigwa Ila umecheleweshwa!!
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu wanajamii forum wenzangu, unapokuwa nje ya nchi mara nyingi unakumbana na changamoto nyingi kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki uliyowaacha nyumbani.

Hii ni kutokana na wao kuona, au kuamini kwamba unao uwezo wa kufanya kila kitu kwao. Na kibaya zaidi hata utapojaribu kufanya baadhi ya vile unavyoweza kufanya bado utaendelea kubebeshwa lawama tu, ili mradi wahakikishe kuwa wew hauwezi ukaishi bila lawama zao.

Mwaka 2019 before corona nilikwenda bongo nikanunua kiji eneo maeneo ya salasala. Mpaka hapo tayari nilikuwa na eneo langu lingine ambalo tayari nimeshajenga kule Kigamboni, sehemu fulan inaitwa yebo yebo. Ila mimi binafsi nilipojaribu kupalinganisha Kigamboni na Salasala maeneo niliyonunua mimi, niliona kwamba Salasala ndio panafaa kuwa makazi yang ya kudumu pindi ntaporudi kuishi bongo mpaka pale muumba ataponichukua.

Kwahiyo nilivyorudi kaburu ikabidi nianze jitihada za ujenzi kule Salasala ili nishushe mjengo nitakaoishi mimi na familia yangu afu ile nyumba ya Kigamboni nitaipangisha. Kwa sasa kule yebo yebo Kigamboni anaishi brother wangu ambae na yey ana kiwanja chake huko huko Kigamboni anajenga, kwahiyo wakati namalizia mjengo wangu wa Kigamboni aliniomba akae kwanza kwa muda ili awe karibu na shughuli yake ya ujenzi afu nyumba yake ikishaisha ndo atapohama na kuniachia nyumba yangu nipangishe, nkasema haina noma bro.

Sasa basi ujenzi wa Salasala niliuanza mwaka 2020 nikitarajia kuwa katikati ya mwaka huu wa 2022 niwe nimeshamaliza afu ikiwezekana mwezi wa 12 nikienda bongo likizo iwe ndo kimoja nisirudi tena Kaburu. Cha kushangaza pamoja na jitihada zote nlizofanya lkn wanaosimamia mjengo wangu ndio wananikwamisha. Nyumba inaenda kimdondo sana mpaka inanikatisha tamaa kama ninaweza kuihamia mwishoni mwa mwaka huu.

Kabla ya kuanza ujenzi huu kuna watu walinishauri kwamba ni bora nimtume mama watoto aende kukaa bongo ili awe anasimamia shughuli za ujenzi kuliko kuwaamini ndugu tu pekee, mimi nikakaidi kwa kuona kuwa kamwe siwezi kumuweka mke wangu mbele ya ndugu zangu.

Sasa matokeo yake majuto ni mjukuu. Na mimi kuhamia Kigamboni staki naona kumenikalia kushoto sana aisee. Wana JF wenzangu mnaonaje, hivi mjengo huu unaweza kuisha kwa mwezi mmoja uliobaki kweli?

Maanake kuishi mbali na nyumbani kwa muda mrefu nako kunachosha.

View attachment 2400496View attachment 2400497
Tena shukuru mjengo kuchelewa. Ungekuta ramani uliyochagua na uhalisia ni mbingu na ardhi
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Ndugu wanajamii forum wenzangu, unapokuwa nje ya nchi mara nyingi unakumbana na changamoto nyingi kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki uliyowaacha nyumbani.

Hii ni kutokana na wao kuona, au kuamini kwamba unao uwezo wa kufanya kila kitu kwao. Na kibaya zaidi hata utapojaribu kufanya baadhi ya vile unavyoweza kufanya bado utaendelea kubebeshwa lawama tu, ili mradi wahakikishe kuwa wew hauwezi ukaishi bila lawama zao.

Mwaka 2019 before corona nilikwenda bongo nikanunua kiji eneo maeneo ya salasala. Mpaka hapo tayari nilikuwa na eneo langu lingine ambalo tayari nimeshajenga kule Kigamboni, sehemu fulan inaitwa yebo yebo. Ila mimi binafsi nilipojaribu kupalinganisha Kigamboni na Salasala maeneo niliyonunua mimi, niliona kwamba Salasala ndio panafaa kuwa makazi yang ya kudumu pindi ntaporudi kuishi bongo mpaka pale muumba ataponichukua.

Kwahiyo nilivyorudi kaburu ikabidi nianze jitihada za ujenzi kule Salasala ili nishushe mjengo nitakaoishi mimi na familia yangu afu ile nyumba ya Kigamboni nitaipangisha. Kwa sasa kule yebo yebo Kigamboni anaishi brother wangu ambae na yey ana kiwanja chake huko huko Kigamboni anajenga, kwahiyo wakati namalizia mjengo wangu wa Kigamboni aliniomba akae kwanza kwa muda ili awe karibu na shughuli yake ya ujenzi afu nyumba yake ikishaisha ndo atapohama na kuniachia nyumba yangu nipangishe, nkasema haina noma bro.

Sasa basi ujenzi wa Salasala niliuanza mwaka 2020 nikitarajia kuwa katikati ya mwaka huu wa 2022 niwe nimeshamaliza afu ikiwezekana mwezi wa 12 nikienda bongo likizo iwe ndo kimoja nisirudi tena Kaburu. Cha kushangaza pamoja na jitihada zote nlizofanya lkn wanaosimamia mjengo wangu ndio wananikwamisha. Nyumba inaenda kimdondo sana mpaka inanikatisha tamaa kama ninaweza kuihamia mwishoni mwa mwaka huu.

Kabla ya kuanza ujenzi huu kuna watu walinishauri kwamba ni bora nimtume mama watoto aende kukaa bongo ili awe anasimamia shughuli za ujenzi kuliko kuwaamini ndugu tu pekee, mimi nikakaidi kwa kuona kuwa kamwe siwezi kumuweka mke wangu mbele ya ndugu zangu.

Sasa matokeo yake majuto ni mjukuu. Na mimi kuhamia Kigamboni staki naona kumenikalia kushoto sana aisee. Wana JF wenzangu mnaonaje, hivi mjengo huu unaweza kuisha kwa mwezi mmoja uliobaki kweli?

Maanake kuishi mbali na nyumbani kwa muda mrefu nako kunachosha.

View attachment 2400496View attachment 2400497
Nyumba kubwa hongera sana mkuu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
We nawe unafeli Sana!

Ndugu ni WATU wa kula nao kwenye maulidi,harusi,kipaimara,unyago,kando na sikukuu nyingine sio maendeleo!!

WAO wenyewe mishe zao zimekwama Ndio wafanikishe zako!?

BADO hujapitia stage zote za maisha ya ushirika na wabongo wewe,kwenye maendeleo wabongo ni wachawi Sana !Tena ukirudi na kuanza kuishi kwenye hiyo nyuma Ndio utawaelewa vizuri na kujuta KWANINI uliwashirikisha!!

Mwanamke ukizaa nae angeweza kuisimamia vizuri kama ungemwambia Ndio nyumba yetu ya kuishi wewe na wanetu komaa KWA ajili ya wanao!!

Nimeandika with personal experience sio KWA kuambiwa KABISA!!

Kwende ISHU ya maendeleo Binafsi usishirikishe ndugu kwenye process unaweza ukafa KABISA usirudie TENA!

Mungu ayabariki Maisha YAKO!
Shukran mkuu kwa ushauri uliokwenda shule 🙏
 
Back
Top Bottom