Ukiwa safarini ni jambo gani huwa hupendi litokee katika safari yako?

Ukiwa safarini ni jambo gani huwa hupendi litokee katika safari yako?

Kusafiri kwenye chombo halafu watu wawe wanaongea kwa sauti ya juu,napenda kwenye safari kuwe na utulivu na kila mtu a mind his own business,

Siku nikipanda Ndege nitaleta mrejesho,kitu gani sipendi nikisafiri kwa ndege,mods msifute hii thd mpaka nipande Ndege ili nichangie uzi.
 
be9f3e0d-58a7-4a18-bb59-b208068d14b3.jpg
 
Kusafiri na mtu anayekulakula ovyo , kutemetema mate / kutapika bila utaratibu. Mtu anajua akisafiri anatapika, Cha kushangaza anasafiri bila mifuko ya kutapikia arrrrrrrrrgh!!
 
Back
Top Bottom