Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Sipendelei watu wanaopenda kula kula hovyo, kusinzia na kunilalia Begani, mizigo mengi n.k.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wa kusinzia ndio mmoja alijamba tupo kwenye IT na madirisha tumefunga,mbaya zaidi alikuwa nav
demu wake mule, demu akamuamsha[emoji23]
Mimi pia sipendi basi lisilokimbia sana napenda yanayokimbia hasaSipendi kuona dereva anaendesha polepole sipekama utafikiri trekta, Uzuri wa safari gari itembee haswaaa! Sipendi kukaguliwa tiketi kila wakati. NIKIPANDA DENGE NITAKUJA KUTOA DUKUDUKU
Siku ukipanda eti?? Kutoka Itigi utaenda wapi na mwewe ndugu? 🤣Kusafiri kwenye chombo halafu watu wawe wanaongea kwa sauti ya juu,napenda kwenye safari kuwe na utulivu na kila mtu a mind his own business,
Siku nikipanda Ndege nitaleta mrejesho,kitu gani sipendi nikisafiri kwa ndege,mods msifute hii thd mpaka nipande Ndege ili nichangie uzi.
Itigi to Manyoni.Siku ukipanda eti?? Kutoka Itigi utaenda wapi na mwewe ndugu? 🤣
Atakam ndio utaongopeeeMkuu huii ni JF usichukulie serious kila comment,halafu kwenda nje kwani ni lazima uende na Ndege?
Tunakomaa na box mkuu,na JF ndio sehemu pekee yakusoshalizi.
😛 😛