Ukiwa safarini ni jambo gani huwa hupendi litokee katika safari yako?

Ukiwa safarini ni jambo gani huwa hupendi litokee katika safari yako?

Sipendelei watu wanaopenda kula kula hovyo, kusinzia na kunilalia Begani, mizigo mengi n.k.
 
Sipendi kuona dereva anaendesha polepole sipekama utafikiri trekta, Uzuri wa safari gari itembee haswaaa! Sipendi kukaguliwa tiketi kila wakati. NIKIPANDA DENGE NITAKUJA KUTOA DUKUDUKU
Mimi pia sipendi basi lisilokimbia sana napenda yanayokimbia hasa
 
Sipendi kuona nimekaa siti moja na pisi Kali halafu inasoma biblia.
 
Kusafiri kwenye chombo halafu watu wawe wanaongea kwa sauti ya juu,napenda kwenye safari kuwe na utulivu na kila mtu a mind his own business,

Siku nikipanda Ndege nitaleta mrejesho,kitu gani sipendi nikisafiri kwa ndege,mods msifute hii thd mpaka nipande Ndege ili nichangie uzi.
Siku ukipanda eti?? Kutoka Itigi utaenda wapi na mwewe ndugu? 🤣
 
Back
Top Bottom