Ukiwa safarini ni jambo gani huwa hupendi litokee katika safari yako?

Ukiwa safarini ni jambo gani huwa hupendi litokee katika safari yako?

Naudhika sana Mwanaune akikaa siti moja kwenye basi au ndege na mwanamke kidume kusogeza sogeza kimkono chake kugusa gusa mapaja ya mwanamke kinaacha kuegemra huko kinaforce kuegemea upande wa meanamke

Kila mtu anatakiwa awe free kwenye space ya kiti chake .Ukitaka kuegemea kama uko dirishani egemea upande wa dirisha sio upande wa mwanamke na ukikaa siti.isiyo ya Dirishani egemea upande wa corridor ya basi usiegemee upande wa mwanamke hata kama una usingizi vipi .Peleka bichwa lako huko na kimkono chako huko

Mnanisikia wanaume wakware mnaopanda mabasi na ndege na kukaa siti moja na wanawake?
Vipi na mwanamke kumuegemea mwanaume 😂
 
Sipendi mtu anakaa seat ya dirishani halafu hataki kufungua kioo
Mimi pia napenda hewa iingie dirisha liwe wazi hewa fresh iingie jitu lililokaa dirishani linafunga

Mtu.kama ana changamoto za kiafya kuwa upepo kwake unampa changamoto kiafya aache kukaa siti.ya dirishani apishe wenye afya zao.wakae hizo seat
 
Mimi pia napenda hewa iingie dirisha liwe wazi hewa fresh iingie jitu lililokaa dirishani linafunga

Mtu.kama ana changamoto za kiafya kuwa upepo kwake unampa changamoto kiafya aache kukaa siti.ya dirishani apishe wenye afya zao.wakae hizo seat
Kiufup atafute namna ya kusafiri maana hata akikaa pembeni kikifunguliwa kioo mwendo ni ule ule 😅
 
Sipendi kabisa kukaa na mtu hasa wa jinsia moja na mimi na ikiwa wa jinsia tofauti basi awe analika sio mbibi au mshangazi.

Mara nyingi nikisafiri safari ambazo nauli zake sio ghali huwa nakata siti mbili ili tu nikae peke yangu. Japo kuna mijitu unaweza hata kugombana nayo ukiilewesha kuwa umelipia siti zote 2.
 
Wachache sana wenye hiyo tabia

Asilimia kubwa wenye hiyo tabia mbaya ni wanaume
Wachache katika wengi ila hata kwa wanaume pia ni wachache katika wengi vile vile (win to win situation)
 
Naudhika sana Mwanaune akikaa siti moja kwenye basi au ndege na mwanamke kidume kusogeza sogeza kimkono chake kugusa gusa mapaja ya mwanamke kinaacha kuegemra huko kinaforce kuegemea upande wa meanamke

Kila mtu anatakiwa awe free kwenye space ya kiti chake .Ukitaka kuegemea kama uko dirishani egemea upande wa dirisha sio upande wa mwanamke na ukikaa siti.isiyo ya Dirishani egemea upande wa corridor ya basi usiegemee upande wa mwanamke hata kama una usingizi vipi .Peleka bichwa lako huko na kimkono chako huko

Mnanisikia wanaume wakware mnaopanda mabasi na ndege na kukaa siti moja na wanawake?
Wanawake ndio wanatabia hii ya kutuegemea sisi wanaume, utaona mdada ananiegemea mpaka kifuani. Wanawake acheni tabia hii
 
Hao wa kusinzia ndio mmoja alijamba tupo kwenye IT na madirisha tumefunga,mbaya zaidi alikuwa nav
demu wake mule, demu akamuamsha😂
😀 😀 😀 😀 😀mlimuasha wa ninii
 
Sipendi kuona dereva anaendesha polepole kama utafikiri trekta, Uzuri wa safari gari itembee haswaaa! Sipendi kukaguliwa tiketi kila wakati. NIKIPANDA DENGE NITAKUJA KUTOA DUKUDUKU
 
Back
Top Bottom