Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Nisafiri halafu nimesahau kununua fegi stand, asee nitafika nimechoka mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaSafari inakuwa haichoshi ,huboreki na unatamani iendelee
Vipi na mwanamke kumuegemea mwanaume 😂Naudhika sana Mwanaune akikaa siti moja kwenye basi au ndege na mwanamke kidume kusogeza sogeza kimkono chake kugusa gusa mapaja ya mwanamke kinaacha kuegemra huko kinaforce kuegemea upande wa meanamke
Kila mtu anatakiwa awe free kwenye space ya kiti chake .Ukitaka kuegemea kama uko dirishani egemea upande wa dirisha sio upande wa mwanamke na ukikaa siti.isiyo ya Dirishani egemea upande wa corridor ya basi usiegemee upande wa mwanamke hata kama una usingizi vipi .Peleka bichwa lako huko na kimkono chako huko
Mnanisikia wanaume wakware mnaopanda mabasi na ndege na kukaa siti moja na wanawake?
Mimi pia napenda hewa iingie dirisha liwe wazi hewa fresh iingie jitu lililokaa dirishani linafungaSipendi mtu anakaa seat ya dirishani halafu hataki kufungua kioo
Wachache sana wenye hiyo tabiaVipi na mwanamke kumuegemea mwanaume 😂
Kiufup atafute namna ya kusafiri maana hata akikaa pembeni kikifunguliwa kioo mwendo ni ule ule 😅Mimi pia napenda hewa iingie dirisha liwe wazi hewa fresh iingie jitu lililokaa dirishani linafunga
Mtu.kama ana changamoto za kiafya kuwa upepo kwake unampa changamoto kiafya aache kukaa siti.ya dirishani apishe wenye afya zao.wakae hizo seat
Wachache katika wengi ila hata kwa wanaume pia ni wachache katika wengi vile vile (win to win situation)Wachache sana wenye hiyo tabia
Asilimia kubwa wenye hiyo tabia mbaya ni wanaume
Ukikaa na mimi hadi utanikumbatiaSipendi kukaa siti moja na mwanaume asie vutia. Nakwazika
Wanawake ndio wanatabia hii ya kutuegemea sisi wanaume, utaona mdada ananiegemea mpaka kifuani. Wanawake acheni tabia hiiNaudhika sana Mwanaune akikaa siti moja kwenye basi au ndege na mwanamke kidume kusogeza sogeza kimkono chake kugusa gusa mapaja ya mwanamke kinaacha kuegemra huko kinaforce kuegemea upande wa meanamke
Kila mtu anatakiwa awe free kwenye space ya kiti chake .Ukitaka kuegemea kama uko dirishani egemea upande wa dirisha sio upande wa mwanamke na ukikaa siti.isiyo ya Dirishani egemea upande wa corridor ya basi usiegemee upande wa mwanamke hata kama una usingizi vipi .Peleka bichwa lako huko na kimkono chako huko
Mnanisikia wanaume wakware mnaopanda mabasi na ndege na kukaa siti moja na wanawake?
Kuna mwingine anavutia lkn ananata yaani hata hakuangalii yupo busy na mambo yake...Ukikaa na mimi hadi utanikumbatia
[emoji23][emoji23][emoji23] umenena vemaYeah labda yupo malawi, Zambia,Rwanda nchi kunakofikiwa na taqwa au falcon!!!
😀 😀 😀 😀 😀mlimuasha wa niniiHao wa kusinzia ndio mmoja alijamba tupo kwenye IT na madirisha tumefunga,mbaya zaidi alikuwa nav
demu wake mule, demu akamuamsha😂
safi sana , tukishasalimiana inatosha , funga mkanda sinzia tusubiri wakati wa kuchimba dawa nikuombe unipishe nipite [emoji1][emoji1]Mimi sipendi tu kuongeleshwa.
Huwa naomba nisiumwe tumbo aisee ipo siku nilishukia katikati ya safari!Mimi huwa sipendi kukaa na abiria anayesinzia na kunilalia begani.
Wewe huwa hupendi jambo gani?