Ndio,siku zote lazima ukiachana na gari uchukue lililo bora zaidi ya lazamani
[emoji23][emoji23][emoji23]Na Mimi nipo kwenye situation Kama yako
Hujamuelewa mtoa mada haitaji Malaya anahitaj mpenziKama upo DSM na una kwako ukai kwenu na vichenji vya kuzugia zugia vipo my friend uwezi kosa mpenzi. Labda una gundu na nuksi plus mikosi.. Au muonekano wako unawatisha dada zetu.
Kumbe...Ngoja na mimi nijiungeJiunge kwenye kundi la jogging lolote utakuja kunishukuru
Hahahahaaa madamee banaKumbe...Ngoja na mimi nijiunge
HahahahahahahaHujamuelewa mtoa mada haitaji Malaya anahitaj mpenzi
Niko serious mkuu..Naweza pata mtu wa maaanaaa.Hahahahaaa madamee bana
Mbon unafurah dronehahahahahahaha
Lazima nifurahi, kasema anakuja leo usiku,Mbon unafurah drone
Ay bhan jipigie ucsahau kumpakia mkongolazima nifurahi, kasema anakuja leo usiku,