Ukiwa single kazi sana kupata mpenzi mpya

Ukiwa single kazi sana kupata mpenzi mpya

[emoji3][emoji3][emoji3] hatari sana, juzi kuna kidemu kimeninyima namba na ndinga anaiona.. nimeshangaa sana
Hajataka kuonekana mtumba (cheap).
Alikuwa anaplay "Hard to get" kwa hiyo ungemkazia ungeondoka na namba. Lakini amini usiamini, pesa na mali ndiyo nusu ya ufalme wa mwanaume kwenye mahusiano.
 
Wapenzi mwenyewe ndio hao hao Malaya tu, unamtongoza mchana , usiku anakua haeleweki kabisaaa, fulu kudanga
Mwanamke akiridhika na shoo kali anatulia. Mwanamke ambaye hajatulia hajapata tu wa kumtuliza.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] hatari sana, juzi kuna kidemu kimeninyima namba na ndinga anaiona.. nimeshangaa sana
wew itakuwa una matatizo yako,

rudi kijijin kwenu ulikokimbia bila kuaga vzur, huenda wazee wako hawakukumwagia mibaraka ndiomaana unazingua zingua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

rudi kwenu na vijizawadi kawaangukie goti wazee wako, then nenda sas mjini, iyo nyomi ya pisikali itakayo fulika hapo mageton kwako na huko inbox hakika utakuja kunishukuru,

pia usisahau kuniletea shukrani Mpesa/tigopesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wew itakuwa una matatizo yako,

rudi kijijin kwenu ulikokimbia bila kuaga vzur, huenda wazee wako hawakukumwagia mibaraka ndiomaana unazingua zingua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

rudi kwenu na vijizawadi kawaangukie goti wazee wako, then nenda sas mjini, iyo nyomi ya pisikali itakayo fulika hapo mageton kwako na huko inbox hakika utakuja kunishukuru,

pia usisahau kuniletea shukrani Mpesa/tigopesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha sawa mkuu.. hii desemba acha nirudi kijijini kwanza [emoji3][emoji3][emoji3]
 
wew itakuwa una matatizo yako,

rudi kijijin kwenu ulikokimbia bila kuaga vzur, huenda wazee wako hawakukumwagia mibaraka ndiomaana unazingua zingua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

rudi kwenu na vijizawadi kawaangukie goti wazee wako, then nenda sas mjini, iyo nyomi ya pisikali itakayo fulika hapo mageton kwako na huko inbox hakika utakuja kunishukuru,

pia usisahau kuniletea shukrani Mpesa/tigopesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zambi ya uzinzi haijawahi kuwa na faida yoyote ni jambo jema akatumia muda wake kumpata mwanamke mmoja wa kutulia naye
 
Nilidhani nipo peke yangu. Nimebembeleza sn but ngoma nzito.

Sijui kwanini ipo hivi.

Juzi hapa nikajitoa mhanga nikamsimamisha binti njiani,nikaomba namba.Tukaanza kuelewana na chatting sana.Lakini kila nikimwambia njo tuongee tuelewane hapa home hataki, anazingua njoo uchukue ya vocha kanakuja mpaka nje.Twende out kanakubali,but kukamilisha mipango hadi ya kupeana tamu aisee kanasumbua na kushangaa kabisaaa.

Sasa nimaemua kufuta namba zake za simu na wadada wengine.Nimeamua kuishi na kujichinjia kuku na kula basi.
hahahah
 
Ugumu unatokana na akili kufikiria kuanza kuukataa uhuru unaokua nao ili kujipeleka kifungoni
 
Back
Top Bottom