Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wazee nendeni coco mkaogelee weekend hii😅Na Mimi nipo kwenye situation Kama yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee nendeni coco mkaogelee weekend hii😅Na Mimi nipo kwenye situation Kama yako
Kwahio we sikuzote upo single husemi😅Kumbe...Ngoja na mimi nijiunge
Jamaa anazingua sana, yani kupata mtu wa kula hela zake Daslam inampa shida!? Huyu atakuwa na nyota ya bundi😅Labda kupata mke ndiyo shida ila siyo kupata mpenzi
Habarini wadau
Tokea nimekuwa single imekuwa kazi kweli kupata mpenzi mpya, kila napojaribu naona bila bila bila bila
Tumia nguvu ya pesa wapi ila nilivyo kuwa na mpenzi wengi walinishobokea nikatulia.
Ila hawa alaaniwe alimpotosha sana Adam na delila alaniwe alimtesa sana Samson
[emoji23][emoji23][emoji23] Mbona nilishasemaga jamani.Ila nataka MTU wa MAANA.Kwahio we sikuzote upo single husemi[emoji28]
Basi kajaribu mi nakutakia kila la kheir.Pia usisahau kuwa makini kidogoNiko serious mkuu..Naweza pata mtu wa maaanaaa.
Woooow Man City kashanipa hela ya supu (apa ndo nayasahau mapenzi kwa muda)Wazee nendeni coco mkaogelee weekend hii😅
Huyo kwenye profile ni wewe?Daah tunapishana wapi sasa
Mbona wadada single tupo wengi tu
Hahahahahahah kuku watamu kuliko papuchi ama?Nilidhani nipo peke yangu. Nimebembeleza sn but ngoma nzito.
Sijui kwanini ipo hivi.
Juzi hapa nikajitoa mhanga nikamsimamisha binti njiani,nikaomba namba.Tukaanza kuelewana na chatting sana.Lakini kila nikimwambia njo tuongee tuelewane hapa home hataki, anazingua njoo uchukue ya vocha kanakuja mpaka nje.Twende out kanakubali,but kukamilisha mipango hadi ya kupeana tamu aisee kanasumbua na kushangaa kabisaaa.
Sasa nimaemua kufuta namba zake za simu na wadada wengine.Nimeamua kuishi na kujichinjia kuku na kula basi.
Mtu wa maana ana miguu mingapi? 😅 Hebu acha kudharau uumbaj wa Mungu wewe[emoji23][emoji23][emoji23] Mbona nilishasemaga jamani.Ila nataka MTU wa MAANA.
Kuna kipindi kwa mwanaume upepo mbaya huwa unapita tu hata kama ukiwapa helaa..Ina maana hata hela zako hawazitaki?
Jichanganye na watu na marafiki, nenda kanisani na ibada ikiisha usiondoke haraka haraka zuga zuga kidogo upige stori na watuNilidhani nipo peke yangu. Nimebembeleza sn but ngoma nzito.
Sijui kwanini ipo hivi.
Juzi hapa nikajitoa mhanga nikamsimamisha binti njiani,nikaomba namba.Tukaanza kuelewana na chatting sana.Lakini kila nikimwambia njo tuongee tuelewane hapa home hataki, anazingua njoo uchukue ya vocha kanakuja mpaka nje.Twende out kanakubali,but kukamilisha mipango hadi ya kupeana tamu aisee kanasumbua na kushangaa kabisaaa.
Sasa nimaemua kufuta namba zake za simu na wadada wengine.Nimeamua kuishi na kujichinjia kuku na kula basi.
WA maana ndiyo yupoje?[emoji23][emoji23][emoji23] Mbona nilishasemaga jamani.Ila nataka MTU wa MAANA.
Hakuna mdada single bhanaDaah tunapishana wapi sasa
Mbona wadada single tupo wengi tu
Kwani nikisema wa maanaa wewe unaelewaje?WA maana ndiyo yupoje?
Kama una kazi yako au biashara yako tayari basi punguza masharti siyo lazima awe mtu wa maana sana leo huwezijua ya Mungu ni mengi huyo unayemuona wa kawaida leo miaka mitatu au mitano ijayo anaweza kuwa wa maana sana