Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
- Thread starter
- #121
Ndani muhimu, hasa kupiga porish, kusafisha Carpets etcWape waoshe nje tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani muhimu, hasa kupiga porish, kusafisha Carpets etcWape waoshe nje tu
Au blender 😂Huko nyumbani utatumia presha cooker kutoa tope gumu na jingi?
Siku unazooshanndani uwepo kusimamia. Siku nyingine nje tu kwasababu ndani hapachafuki haraka haswa kama unafunga viooNdani muhimu, hasa kupiga porish, kusafisha Carpets etc
Na vumbi, mchanga Amehlo atavuta/atanyonya na mrija wa kunywea juisi 😂Au blender 😂
sipendi kusema chochote kwanza wanamajigamboo,pili hata gari hakuna na kama ipo ni third class mbovu mbovu
Eh nawajua woteNdo hasira zote hizo, kama unawajua vile!
Sasa si mpaka uolewe 😅nasemaje 😂😂nikiolewa mume wangu akinunua tu gari ntawaletea ushahidi😂😂😂 ila nikinunua langu ntapeleka car wash sitakua na muda wa kuliosha mwenyewe
nisiolewe nina tatizo gani😂Sasa si mpaka uolewe 😅
Sijasema hauolewi ila si ndio mpaka uolewe, hiyo point ya kuosha gari la mumeo ndio inakuchelewesha, hatuoi macar wosha 😂nisiolewe nina tatizo gani😂
andaa mchango😂 soon ntalwta nyuzi ya kutafuta mume 😂😂tena ntasema awe na gari ili niwe namuosheaSijasema hauolewi ila si ndio mpaka uolewe, hiyo point ya kuosha gari la mumeo ndio inakuchelewesha, hatuoi macar wosha 😂
Sasa gari ni kitu cha jf memba kukosa kweli 🤣😂andaa mchango😂 soon ntalwta nyuzi ya kutafuta mume 😂😂tena ntasema awe na gari ili niwe namuoshea
jf memba wote wana magari kasoro wewe 😂 na mimiSasa gari ni kitu cha jf memba kukosa kweli 🤣😂
Hapo nakazia sanajf memba wote wana magari kasoro wewe 😂 na mimi
ewaaaHapo nakazia sana
Aisee na uligundua baada ya muda gani?Kuna wangese walipita na cologne yangu Dunhill Pursuit. Iliniuma sana ilikuwa 100ml 3/4 full.
Kuna umuhimu sana kuosha sehemu za maana.. mie sahivi nipo makini na kuna baadhi ya vitu naviacha maksudi kuendelea kuwapima imani..Pimbi yule aliniibia shuka la kimasai wkt na tip nilikua namuachia Na nikaja kukutana nae ziwa duluti amelivaa.
Sawa Tajiri...Kwa mtu Kama Mimi na Brand yangu nikienda kwa car wash, na respect my home boy waliyonayo kwangu Sijawahi Kuwa na wasiwasi, they treat me with absolute respect!
Mjini lazima Uwe na watu ambao wanatahisisha Maisha yako na sio uishi kwa wasiwasi kila, labda kwa nyie waajiriwe, kwa sisi watafuta Pesa tunaitaji akili na ubunifu watu kwenye mambo ya msingi ya kimaisha!
Naweza enda Car wash naongea na simu, nikashuka gari inanguruma Bado, nikachukua taxi Bado naongea na simu, hata maagizo Sijaacha, baadae naambie Bocy tukuletee au unakuja!?