Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
baba yako si mheshimiwa yuleee kwahiyo ni mchawo etyWachwi kila kona, mm mwemyew mzee wangu nikimwambiaga jambo linapinda kwelikweli. Nimegoma siku hiz simshirikishi kabisa yan
u ukunilipia ada bhna tumia kiswahiliMy father is hold the seed of success while my Mom ,she is hold the seed of destruction.
Ategemee vita kali, yes sir ajue hatokuwa rahisi. Sababu na wao wata fight backSawa kabisa ni lugha tu za kutambulisha mambo mengi, hasa wazungu wanapenda kuita negative energy, au positive energy na Mungu wanasema ni energy to pengi ne source of energy na hawapendi kumwona Mungu kama nafsi hai yenye utashi.
Usihofu kuhusu mama yako anaweza kuwa mchawi kwa tafsiri za kiafrika au ana negative energy kwa tafsiri za kizungu. Pia anaweza akawa anajitambua au hajitambui, haya mambo yapo sana, watu wengi kwenye familia zetu ni wachawi kwa kujua au kutojua.
Tumia positive energy kutoka kwa Yesu kuondoa hiyo negative energy kutoka kwa mama yako ila tegemea vita kali.
Wewe bwana ccm wamefanya nini sasa wajameni..!Yaani yeye kila siku analalamika she is hating people
Na mbaya zaidi yupo ccm that is hell
While my daddy is very humble generous and visionary
Wale wanao watupa watoto vyooni au kuwachoma moto mikono kwa kudokolewa shillingi ya pipi?hakuna mama mbaya kamwe
Kwahiyo daddy yuko wapi......😊My father ni mzungu very quite
Na muda mwingi ameutumia kufanya Kazi mikoani .
Ila kiasili mzee wangu huwa haongei anakaaga kimya muda wote
ww nawe acha uzung
u ukunilipia ada bhna tumia kiswahili
wengine unakuta wanamatatizo yaa akiliWale wanao watupa watoto vyooni au kuwachoma moto mikono kwa kudokolewa shillingi ya pipi?
Huyo ni kama mama yangu ...Huwa nahisi labda anasumbuliwa Na laana kutoka kwenye kizazi chao...ni mtu anaeweza kuweka kinyongo Na chuki hata kwa mtu ambae hajamfanyia lolote bayaYaani yeye kila siku analalamika she is hating people
Na mbaya zaidi yupo ccm that is hell
While my daddy is very humble generous and visionary
ni tabia tu mtu Anazaliwa nayo mfano mm naweza kukuona nikakuchukia tu yaan sikupendi na sitak unisemeshe ipo ivyo sio kwamba mchawi mm no ila nimezaliwa.ivyoMfano MTU anachukia watu bila sababu
Mfano kwa maisha ya kitanzania
Una watoto wanne
Wote wapo well of (wanapesa)
Wanakujali
Mme wako ni watu wale wakimya hanywi pombe ,wala michipuko 24/7 yupo kazini na nyumbani
CCM ni sawa na Mama mwenye negative energy. Anauza mbuga na bandari kwa Mwarabu anatufukuza wazawa eti hatuli Tembo wala hatujawahi kupitisha shati Bandarini!Wewe bwana ccm wamefanya nini sasa wajameni..!
Una Akili sana kijanaUkitaka kufanikiwa funga kabisa mdomo wala usimwambie mtu yeyote jambo lako.
Tena kama hawa wanaojiita WAZAZI kuna baadhi yao ni wabaya sana na wana sumu kali.
Au uwe unaongea nao kinyume nyume..... waambie mambo yako ni magumu sana, huna kazi, hujafanikiwa kila kitu kimevurugika........ HIZI NI MBINU ZA KIVITA
Wengine wachawi au wanatembea na mashetani ambayo yanaweza kukuvuruga mbaya sana.
Au kile KINYONGO na KIJICHO alichonacho dhidi yako kinaweza kukutia NUKSI KALI.
eo hajanywa pombe tu usimsifie sanaUna Akili sana kijana
Kumbukumbu anazo mpiga pichaNimekuja kugundua kuna familia zina negative energy
Nimefatilia hili jambo nikimwambia mzee wangu jambo lolote lazima litiki.
Ila nikimwamwabia my mom kila kitu kinakwama kwa 100%
My mama anatoka familia masikini yenye kuamini uchawi na fitina
Nimekuwa nikimfundisha my mama kuwa we need to trust in GOD uchawi ,negativity its just illusion.
Wakuu ukitaka kuoa make sure unatafuta mwanamke kutoka katika familia bora. Ambazo zipo educated and civilized.
Bichwa akiachana na content za mambo y mimave mave 😂 ni mtu Moja ana Akili kubwa sanal
eo hajanywa pombe tu usimsifie sana