Ukiwaambia kitu baadhi ya wazazi hakifanikiwi

Ukiwaambia kitu baadhi ya wazazi hakifanikiwi

Kwanini wanakaa separate?


Mzee wangu hapendi kelele

So tuliona ili tusimuue mapema tumfanyie hivyo na yeye anasema tulifanya sahihi Sana .


Yule mama ni MTU wa fujo Sana anapenda vita na watu amefanya haya mambo almost 30 yrs


Mzee wangu kipindi Ana pesa nyingi hela zake alikuwa anatumia kumtoa police.

Kamfungilia duka kaua
Kampa gari ya biashara kaua
Kampa mtaji Mara kibao anaua

As well my mom alikuwa anaendekeza starehe
Pombe
Viwanja


Ila mzee wangu
Hatumii pombe
Sio MTU wa club
Mpole and quite

Starehe yake kubwa ni meditation na Yanga. SC .


Lakini kila Leo mom anamsumbua anamtakia maeneno mabaya n.k
 
Mzee wangu hapendi kelele

So tuliona ili tusimuue mapema tumfanyie hivyo na yeye anasema tulifanya sahihi Sana .


Yule mama ni MTU wa fujo Sana anapenda vita na watu amefanya haya mambo almost 30 yrs


Mzee wangu kipindi Ana pesa nyingi hela zake alikuwa anatumia kumtoa police.

Kamfungilia duka kaua
Kampa gari ya biashara kaua
Kampa mtaji Mara kibao anaua

As well my mom alikuwa anaendekeza starehe
Pombe
Viwanja


Ila mzee wangu
Hatumii pombe
Sio MTU wa club
Mpole and quite

Starehe yake kubwa ni meditation na Yanga. SC .


Lakini kila Leo mom anamsumbua anamtakia maeneno mabaya n.k
Ndoa zina mambo, ukiona watu wamezeeka pamoja....wapigiwe mizinga 21
 
Uchungu mkubwa, tunapokuwa wadogo huwa hatuoni mapungufu ya wazazi wetu. Tunakuja kugundua madhaifu yao hasa kwa waliyofanya kwa wengine tunapopata akili. Kwa akili za utoto tuliona wazazi wetu ni wakamilifu kwa 100%.

Hatuwezi kuwakataa au kuwakana kwa kuwa tayari ni wazazi waliotuleta Duniani. Na kupitia udhaifu/ mabaya yao kwa wengine ndio wameweza kutulea mpaka tulipopata akili ya kuona mapungufu yao. 😭😭😭😭😭
 
Mzee wangu hapendi kelele

So tuliona ili tusimuue mapema tumfanyie hivyo na yeye anasema tulifanya sahihi Sana .


Yule mama ni MTU wa fujo Sana anapenda vita na watu amefanya haya mambo almost 30 yrs


Mzee wangu kipindi Ana pesa nyingi hela zake alikuwa anatumia kumtoa police.

Kamfungilia duka kaua
Kampa gari ya biashara kaua
Kampa mtaji Mara kibao anaua

As well my mom alikuwa anaendekeza starehe
Pombe
Viwanja


Ila mzee wangu
Hatumii pombe
Sio MTU wa club
Mpole and quite

Starehe yake kubwa ni meditation na Yanga. SC .


Lakini kila Leo mom anamsumbua anamtakia maeneno mabaya.
Hebu muulize mzee wako alimpendea nini kwenye ujana wake?

Au uzeeni ndiko akaona abadilike.

Na je age gap yao ni kubwa?
 
Back
Top Bottom