Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni hatari zaidi👍🏻👍🏻🤣🤣ma shangazi!!😇😇
Hawa ndiyo Uluguruni wanapewa hadhi ya mama kabisaOngeza na wajomba
Hawa ndiyo wamebeba kufuli za Siri za familiaMashangazi wengi Huwa ni wachawi
🤣🤣🤣Dah mashangazi kazi tunayo!kwa hiyo watoto wa kaka zetu wanatuona sie wachawi aloooooohMashangazi wengi Huwa ni wachawi
Mashangazi wanalogaje, kumbe nao huwa hatari!?Ila mkiambiwa kuna wazazi wanawaloga mnakataa.
Hivi mnawajua mashangazi?
Nakwambia mmoja kaambiwa hivyo badala afuatilie mwenyewe, eti anampigia mama yake na dada zake, eti huyu mwanamke ananichonganisha na familia 😀 ukimuona yupo kama nyumbu wa Serengeti kabisa.Mkiambiwa mama zenyu ni wachawi mnafura vichwa! Ati ooh, mama ni mama... nani kama mama.....
Ona sasa mnavyonyukwa makombora ya kienyeji!
Cc: Extrovert
Uko sahihi....mama akubebe 9month,hatari zote za mimba mpaka labour,(imagine chumba kunaitwa labour!ni kazi kwelikweli)halafu asitake ufanikiwe kweli?Ipo nguvu katika Usiri na ukimya wa mambo yako. Lakini Hawa waganga na ramli zao wanatuchonganisha na wazazi tu😂😂 ukweli ni kwamba wazazi wetu wa Miaka ile Kusimulia ndugu zake kuhusu mambo yetu sisi ni kawaida sana hapo ndo mambo yanapoharibikia kwa hao wanaowasimulia, lakini kusema wazazi hapana.😥😥
Hawa ni ndugu zetu ila ishi nao kwa wasiwasiMashangazi wanalogaje, kumbe nao huwa hatari!?
Uko sahihi....mama akubebe 9month,hatari zote za mimba mpaka labour,(imagine chumba kunaitwa labour!ni kazi kwelikweli)halafu asitake ufanikiwe kweli?
Kuamini nini?Huamini?
Kwamba mama anaweza kuwa kizingiti kwa mtotoKuamini nini?
I can't buy that!Kwamba mama anaweza kuwa kizingiti kwa mtoto
Nyamaza kama hayapo kwenuUko sahihi....mama akubebe 9month,hatari zote za mimba mpaka labour,(imagine chumba kunaitwa labour!ni kazi kwelikweli)halafu asitake ufanikiwe kweli?
😁 Hapana sio wote mara nyingi hutokea ikiwa watoto wa kaka zake wanamafanikio kuliko wa kwake.. sio wote lakini ila wengi wao🤣🤣🤣Dah mashangazi kazi tunayo!kwa hiyo watoto wa kaka zetu wanatuona sie wachawi alooooooh
Na bibi je?I can't buy that!
😥Ajabu sana. Sijui wanatoaga wapi haya mawazo bila hayaUko sahihi....mama akubebe 9month,hatari zote za mimba mpaka labour,(imagine chumba kunaitwa labour!ni kazi kwelikweli)halafu asitake ufanikiwe kweli?
Nini maana yake mkuu? naomba unifafanulie kwa mapana, huenda ukanifungua mambo kadhaa. 🙏🏿Hawa ndiyo wamebeba kufuli za Siri za familia