Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Nyaupala umewahi kutokewa?Hii kitu inaumiza askwambie mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyaupala umewahi kutokewa?Hii kitu inaumiza askwambie mtu
Ili upigwe vizuri kipapai hahaha kitovu chako unajua kilipo?Wewe na mimi tupo hivi .....
Mi mpaka nagombana na bi mkubwa kisa anataka kujua nafanya nini na anataka ndgu zake wote wajue imagine tuu mkuu
When nilipogundua haya, it was hard pill to swallow. Nilikuwa siamini, but then nilikaza moyo nikakubaliana.Uchungu mkubwa, tunapokuwa wadogo huwa hatuoni mapungufu ya wazazi wetu. Tunakuja kugundua madhaifu yao hasa kwa waliyofanya kwa wengine tunapopata akili. Kwa akili za utoto tuliona wazazi wetu ni wakamilifu kwa 100%.
Hatuwezi kuwakataa au kuwakana kwa kuwa tayari ni wazazi waliotuleta Duniani. Na kupitia udhaifu/ mabaya yao kwa wengine ndio wameweza kutulea mpaka tulipopata akili ya kuona mapungufu yao. 😭😭😭😭😭
Sasa mimi sa hvi nimeamua kama mbwai iwe mbwai tuu yaani watu wanataka tupitie hard life...Ili upigwe vizuri kipapai hahaha kitovu chako unajua kilipo?
Acha tu, Inauma sana.When nilipogundua haya, it was hard pill to swallow. Nilikuwa siamini, but then nilikaza moyo nikakubaliana.
Huwa inauma sana haswa pale wewe ndie uleikuwa ukiwaamini
👍🏻👍🏻🤣🤣ma shangazi!!😇😇Ila mkiambiwa kuna wazazi wanawaloga mnakataa.
Hivi mnawajua mashangazi?
kwaiyo mama yako hana tofauti na panya, wote wanazaa.Hata wachawi na wahuni wanazaa.
Kuzaa ni kitendo tu, hata panya anazaa.
Sio ishu.
Usijidanganye hivyo na ndoa nyingi za vijana wao wavunjaji wakubwa ni wao, kisa mke wa mwanaye hamtakihapana mm nakataa mama ni mama 😍
Na mpaka sasa napitia hii lakini sikuwahi kugundua mapemaNyaupala umewahi kutokewa?
Kweli wanazaa hata fisi pia wanazaaHata wachawi na wahuni wanazaa.
Kuzaa ni kitendo tu, hata panya anazaa.
Sio ishu.
Na ukifuatilia shida nyingi za watu huanzia nyumbani, ni vile tu watu huficha yasitoke nje, pole sana.Na mpaka sasa napitia hii lakini sikuwahi kugundua mapema
Mama yake kajidharirisha mwenyewekwahy umeamua kumdhalirisha mama yako?
Chukua soda...nalipa mimi, ila mwakaniSina uhakika kwa wengine, ila kuna faida kubwa sana kuoa Mke mwana maombi, unaweza kuwa upo misele yako mwenzio yupo magotini kuombea riziki na amani nyumbani
Familia isiyoomba ni rahisi sana kuingia katika mitazamo ya kishenzi shenzi na kuamini katika masuala ya kilozi
Pole sana na wahanga wakubwa, huwa watoto wakiume na akioa mke ambaye atamfumbua macho lazima huyo mke wampopoe na lazima wamkataeWhen nilipogundua haya, it was hard pill to swallow. Nilikuwa siamini, but then nilikaza moyo nikakubaliana.
Huwa inauma sana haswa pale wewe ndie uleikuwa ukiwaamini
Yaani nimekupenda bure, kuna wanaume wengine mke muombaji yeye kazi yake kupeleka maneno Kwa mama yake na dada zake huyu mwanamke muda wowote nikuomba hata sioni Cha maana, ukiona hivyo huyo alishatekwa kama nyumbu wa Serengeti.Sina uhakika kwa wengine, ila kuna faida kubwa sana kuoa Mke mwana maombi, unaweza kuwa upo misele yako mwenzio yupo magotini kuombea riziki na amani nyumbani
Familia isiyoomba ni rahisi sana kuingia katika mitazamo ya kishenzi shenzi na kuamini katika masuala ya kilozi