Ukiwajua Polisi Tanzania, hutawashangaa kabisa na taarifa zao

Ndio maana kwa miaka 20+ tumekuwa tukipigia kelele muundo mpya wa TanPol.
Tumelipigia kelele hili swala mpaka basi, hivyo ndugu ujue tuu hili ukiloandika linajulikana na ndio maana wenye utimamu wa akili wote wanataka Tanpol iundwe upya.

Kongole kwa kuliona hilo leo na kulianzishia uzi hapa JamiiForums.
 
Huko Buzebazeba ndiyo home mkuu?

Jokes aside....umeongea vitu vya msingi sana nami nakubaliana nawe kwa 100%

Swali....kwa nini hawafanyi hiyo digitization na synchronizations ya mifumo?

Sababu ni nyingi lakini mbili naona zina uzito zaidi:

1. Sehemu kubwa ya askari ni watu wasio na uwerevu wala weledi kwenye utendaji. Kutambua kuwa technology inaweza kusaidia kuboresha utendaji na kuongeza ufanisi inahitaji weledi na werevu....watu waliofeli shule kama ambavyo polisi wengi walivyo hawawezi kupenda sana mifumo iliyokaa kisomisomi...

2. Ufisadi.....mifumo mibovu inafanya kukosekane ufanisi. Kukosekana kwa ufanisi ni kichocheo cha wao kufanya ufisadi.....mtu kaiba kigamboni, ukimuona morogoro huwezi kutoa report morogoro na ikafanyiwa kazi. sana watakachofanya wale polisi wa morogoro ni kumtisha na kudai rushwa. Huu uholela wa kufanya mambo wanautumia kujinuifaisha.
 
Daaah...jamaa amekuwa mkali huyo, ila nadhani hatuwezi beza kabisa umuhimu wa vyeti
 
Angalia maisha Yao baada ya Kustaafu! Fanya utafiti kidogo tu utajua karma is real! Mwingine anajitengenezea kaburi huko,huku akiwa hama maelewano na familia yake kabisa anaitwa 7sita
Naunga mkono hoja
 
Even when they tell you, they can’t justify their position without evidence, but can only agree by implying based on general accusations of the police force.
But you" agreed", don't you remember?

Here is the exact quote, just to remind you if you have such a short memory"
Why do you want to run away from your own "perspective" as you state?
 
Mkuu uliyoandika ni kweli ila ni kama unaji-contradict mwenyewe baadhi ya maeneo. Umeandika ''So sometimes tunawauliza polisi maswali na lawama nyingi wakati kiukweli hili jeshi la polisi Lina operate kama Tanzania bado uko miaka ya sabini tunawapa lawama nyingi sana bila kukaa chini na kuangalia namna ya kuwa na chombo vya mahitaji ya sasa na Sheria za sasa dunia inabadilika sana''. Haya maneno yanaonyesha polisi ndiyo wa kulaumiwa. Kwa nini wanaiweka serikali madarakani kwa kutumia mitutu wakati wanajua haiwajali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…