Ukiwajua Polisi Tanzania, hutawashangaa kabisa na taarifa zao

Ukiwajua Polisi Tanzania, hutawashangaa kabisa na taarifa zao

Kuhusiana na kuunganisha haiwezekani kwasababu ni matukio tofauti na walalamikaji ni tofauti hata kama hizo kesi zingefunguliwa kituo kimoja haziwezi kuunganishwa kama kesi moja, ila kama alikutendea kosa zaidi ya moja wewe mlalamikaji ndo unaweza kufunguliwa kesi moja ila itakua na charge zaidi ya moja

Kwa hapo tatizo siyo lao.
 
Overhaul ???! Kivipi ??!
Just kubadili watu wale wale wenye mawazo yale yale au what exactly you mean by Overhaul ???!

Hapa tupo katika kuisaidia Nchi ni vyema tuwe Specific how to do it !!
Overhaul ianzie kwenye Sheria
Mfano mdogo ukienda polisi na mtu aliekuuzia simu feki ...watakwambia nenda tbs ubungo...imagine that...
Yaani kuna maeneo hawana hata mamlaka ya kisheria kuingilia...
Au Afisa wa Tra mkisumbuana...polisi ni kama hawahusiki kabisa... kuna kisheria...na kunahitajika police maalum WA "organised crime"..na polisi ambao wanaweza chunguza polisi...wakati wa Kikwete walisema itaundwa chombo kama FBI lakini limeishia kwenye mcahakato...
Kuna overhaul ya sheria...
Kuna overhaul ya technology...
Overhaul ya mindset etc.....

Waje hasa criminal case zote zinawahusu...hata magomvi ya shareholders kwenye PLC kama CRDB ni wao ndo wanatakiwa Ku solve kama kuna crime...kuna a lot needed to be done
 
Kuhusiana na kuunganisha haiwezekani kwasababu ni matukio tofauti na walalamikaji ni tofauti hata kama hizo kesi zingefunguliwa kituo kimoja haziwezi kuunganishwa kama kesi moja, ila kama alikutendea kosa zaidi ya moja wewe mlalamikaji ndo unaweza kufunguliwa kesi moja ila itakua na charge zaidi ya moja

Kwa hapo tatizo siyo lao.
Hizi ndo mentality za zamani...
Mwizi kama ni serial...anashitakiwa Kwa kuthibitisha kuwa huyu ni serial...sio kaiba mara moja... Organised crime ina namna yake...sio kuichukulia kizamani
 
Wanaotunga hizo sheria wana sifa za kujua kuandika na kusoma tu. Sijui itakuwaje?
 
Watu wanaofeli shule(4M4) na kukosa mwelekeo kimaisha unakuta ndo wanajiunga na mafunzo ya jeshi la polisi kwa connection za ndugu zao ambao ni polisi, hapo unategemea weledi upi? wachache hukumbuka kujiendeleza kielimu hadi wanapata masters hasa kwenye sheria ila wengi wao kuwauliza maswali magum ni kuzionea akili zao. PT wape kazi ya kupiga raia virungu, kuwarusha mabom na kudai hela za kubrashi viatu hapo watakufurahisha. Kinachotupoza waafrika ni kurithi muundo na mfumo wa jeshi la polisi toka kwa wakoloni ambalo malengo yake ni kulinda na kutetea maslahi ya watawala.
Huu ni ukweli mtupu
 
Watu wanaofeli shule(4M4) na kukosa mwelekeo kimaisha unakuta ndo wanajiunga na mafunzo ya jeshi la polisi kwa connection za ndugu zao ambao ni polisi, hapo unategemea weledi upi? wachache hukumbuka kujiendeleza kielimu hadi wanapata masters hasa kwenye sheria ila wengi wao kuwauliza maswali magum ni kuzionea akili zao. PT wape kazi ya kupiga raia virungu, kuwarusha mabom na kudai hela za kubrashi viatu hapo watakufurahisha. Kinachotupoza waafrika ni kurithi muundo na mfumo wa jeshi la polisi toka kwa wakoloni ambalo malengo yake ni kulinda na kutetea maslahi ya watawala.
Kuna mmoja alifeli la saba, akapelekwa ufundi akafeli wakaamua kumpeleka kujiunga Polisi, sasa hivi ni mtu mkubwa sana soo atakuwa kamanda wa upelelezi wa mkoa. Maana aliungaunga crash programs.
Aliga QT akapata Div 4, akajiunga Orientation Foundation course pale NJE kwa mwaka mmoja akatoboa.

Akaenda Degree, akaunga unga kwa miaka 6 palepale NJE akapewa degree yake (pale nje wana shule nzuri sana, ila kwa watu wa serikalni nadhani kutakuwa na kitengo cha kwaanddalia vyeti si sababu ya kufaulu, bali sababu ya kuweza ku enroll tu).

Hata ukimuuliza alisoma course gani huwa anajiumauma na haawah kpatia hata siku moja, ana kumbukumbu nzuri ya Darasa lake enzi za QT, lakini zaidi ya degree yake hakumbuki chochote kuhusu NJE. Sasa hivi jamaa ni Kamanda wa Polisi wa Mkoa
 
Hizi ndo mentality za zamani...
Mwizi kama ni serial...anashitakiwa Kwa kuthibitisha kuwa huyu ni serial...sio kaiba mara moja... Organised crime ina namna yake...sio kuichukulia kizamani
Kwani wapi ilizuiwa mtuhumiwa habitual series ya matukio aliyoyafanya yasitumike kama ushahidi? Hakuna sehemu iliyokatazwa na inaweza kutumika kama ushahidi ila kuunganishwa katika kesi moja wakati kawatendea watu tofauti hilo halipo
 
Sina inside info lakini the moment Jerry alipoanza kusema anasimamisha vibali vya petrol station mpya sijui hadi nini nini nikajua Tu ataondolewa haraka sana...hii kauli ya kusimamisha vibali vya petrol station aliwahi kuitoa Mabula pia hapo Ardhi na haku last miezi mitatu....kwenye vita za siasa lazima uchague maadui zako na lazima upigane na adui mmoja Kwa wakati... angebaki na walanguzi WA viwanja na rushwa za ardhi...huko kwenye petrol station aligusa nyaya ambazo hazijui vizuri mizizi yake
Mfumo wa nchi yetu umeoza kabisa ni wa hovyo
 
Hoja dhaifu sana, kuna shahada plus G.P.A kali huko mitaani na zimekosa mwelekeo wa maisha (uelewa wako finyu kuhusu maisha) zimeamua kuendesha bodaboda na bajaji, wa kike wameamua yao!

Unahisi shahada,uzamili n.k ukiwa kwenye taasisi za kiusalama zina tija?? Hivi unapoambiwa tii amri ya mkubwa wako hapo shahada au div 1 inahusika vipi??

Unafahamu muundo wa mafunzo yao?? Pale div 1 au shahada inakusaidiaje?? Siku zote watawala (maboss)(vitengo) ni wachache na wanaofanyishwa kazi ni wengi.

Halafu nani aliyekudanganya ukipata div 1 au shahada kwa elimu yetu hii tunaoifahamu eti unajisifu una akili!

Nahisi hujatembea duniani na hujakutana na mikasa kuhusu elimu yetu! Unajua serikalini kuna first class ngapi?? Zimeleta tija??
Point
 
Naunga mkono hoja, Issue ya Mzee Kibao wa Chadema ni typical example。
  1. scene 1。Ijumaa September 6,saa 1 usiku Mzee Kibao apanda basi la Tashrifu la usiku kwenda Tanga。
  2. Scene 2。Kufika maeneo ya Regeta, basi lasimamishwa,na watu waliojitambukisha kama polisi wasio na sare, lakini na silaha za moto,wamtia pingu Mzee Kibao na kushuka nae toka kwenye basi,la Tashrifu baada ya kusimamishwa na landcruser mbili hard top, kisha wakamuingiza na kutokomea nae。
  3. Scene 3。September 6 Saa 4:10 usiku wa tarehe 6 JJ Mnyika atoa taarifa mtandaoni John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana
  4. Scene 4, September 7,saa 2:asubuhi polisi yaokota mwili wa mtu maeneo ya Kunduchi Ununio,na kuupeleka。Mwananyama hospital kimya kimya
  5. Scene 5:Jumakosi。Septemba 7 saa 5 Asubuhi JJ Mnyika afanya press conference kutangaza kutekwa kwa kada wao CHADEMA: Mzee Ali Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
  6. Scene 6, Jumamosi September 7 saa 10 jioni。PT yatoa taarifa kwa umma kuwa wameipokea taarifa ya JJ Mnyika wanaifanyia kazi Kuelekea 2025 - Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ali Kibao
  7. Scene 7:Jumamosi September 7 saa 1:usiku kada wa Chadema Boni Yai aandamana na ndugu kutambua ule mwili uliookotwa。asubuhi Ununio ndipo ukagundulika ni wa Mzee Kibao TANZIA - Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
  8. Scene 8:Jumapili September 8, Jeshi la polisi latoa taarifa ya tukio Polisi yasikitishwa na kifo cha kada wa CHADEMA, Ali Kibao. Latoa wito kwa mwenye taarifa za kweli na uhakika awasilishe kwa mujibu wa taratibu hapa naomba niwakumbushe polisi walioukota mwili Jumamosi asubuhi, wakati JJ Mnyika anaongea kwenye press conference yake,mwili tayari uko M/Nyamala,wakati PT wanatoa taarifa kupokea taarifa ya Chadema kuwa watafanya uchunguzi wa tukio hilo,mwili tayari walikuwa nao!
  9. Scene 9 Jumapili September 8, CinC ,Rais Samia aamuru uchunguzi wa kina na wa haraka Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
  10. My Take,kitendo cha polisi kupokea mwili asubuhi na ku mute, hadi kesho yake, news ya kupokea a mutileted dead body of an unidentified man ni bigger news kuliko kupokea taarifa ya Chadema!。 Kauli ya CinC ni amri, uchunguzi wa haraka ulifanyika,ila hakuna mrejesho。 hili na mimi nimeliandikia
  11. Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!
  12. Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
P
Inatia hasira basi tu.
 
Naunga mkono hoja, Issue ya Mzee Kibao wa Chadema ni typical example。
  1. scene 1。Ijumaa September 6,saa 1 usiku Mzee Kibao apanda basi la Tashrifu la usiku kwenda Tanga。
  2. Scene 2。Kufika maeneo ya Regeta, basi lasimamishwa,na watu waliojitambukisha kama polisi wasio na sare, lakini na silaha za moto,wamtia pingu Mzee Kibao na kushuka nae toka kwenye basi,la Tashrifu baada ya kusimamishwa na landcruser mbili hard top, kisha wakamuingiza na kutokomea nae。
  3. Scene 3。September 6 Saa 4:10 usiku wa tarehe 6 JJ Mnyika atoa taarifa mtandaoni John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana
  4. Scene 4, September 7,saa 2:asubuhi polisi yaokota mwili wa mtu maeneo ya Kunduchi Ununio,na kuupeleka。Mwananyama hospital kimya kimya
  5. Scene 5:Jumakosi。Septemba 7 saa 5 Asubuhi JJ Mnyika afanya press conference kutangaza kutekwa kwa kada wao CHADEMA: Mzee Ali Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
  6. Scene 6, Jumamosi September 7 saa 10 jioni。PT yatoa taarifa kwa umma kuwa wameipokea taarifa ya JJ Mnyika wanaifanyia kazi Kuelekea 2025 - Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ali Kibao
  7. Scene 7:Jumamosi September 7 saa 1:usiku kada wa Chadema Boni Yai aandamana na ndugu kutambua ule mwili uliookotwa。asubuhi Ununio ndipo ukagundulika ni wa Mzee Kibao TANZIA - Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
  8. Scene 8:Jumapili September 8, Jeshi la polisi latoa taarifa ya tukio Polisi yasikitishwa na kifo cha kada wa CHADEMA, Ali Kibao. Latoa wito kwa mwenye taarifa za kweli na uhakika awasilishe kwa mujibu wa taratibu hapa naomba niwakumbushe polisi walioukota mwili Jumamosi asubuhi, wakati JJ Mnyika anaongea kwenye press conference yake,mwili tayari uko M/Nyamala,wakati PT wanatoa taarifa kupokea taarifa ya Chadema kuwa watafanya uchunguzi wa tukio hilo,mwili tayari walikuwa nao!
  9. Scene 9 Jumapili September 8, CinC ,Rais Samia aamuru uchunguzi wa kina na wa haraka Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
  10. My Take,kitendo cha polisi kupokea mwili asubuhi na ku mute, hadi kesho yake, news ya kupokea a mutileted dead body of an unidentified man ni bigger news kuliko kupokea taarifa ya Chadema!。 Kauli ya CinC ni amri, uchunguzi wa haraka ulifanyika,ila hakuna mrejesho。 hili na mimi nimeliandikia
  11. Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!
  12. Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
P
all in all ina maana yale maeneo yote lilipotokea tukio hamna hata sisitivii camera za majengo ...walau zingeaidia kuyajua magari yaliyohusika
 
Nimeona watu wanashangaa polisi kuja na taarifa za mtu aliedhaniwa katekwa kuwa kafa kwenye ajali ....siko hapa kuwatetea polisi ..wala kushutumu lakini ningependa kuongea Kwa uzoefu wangu ...kuhusu polisi Tanzania...

Niliwahi kuwa na kesi ya mtu alienitapeli ...polisi Chango"mbe nikapewa Askari wa upepelezi tukawa tunamtafuta Kwa karibu miezi miwili...now wakati tunamtafuta huyo mtu tulishirikisha hadi kitengo cha cyber. Askari hao niliopewa kupitia"connection ya mtu powerful "kwahiyo sikuwa na wasiwasi na kuwa labda hawana nia au wamehongwa...walikuwa serious kazin....sasa cha kuchekesha ni kuwa Kwa kipindi ambacho "mtuhumiwa wetu" tunamtafuta...huyo mtuhumiwa akaenda Fanya matukio mengine ya kitapeli akakamatwa polisi Magomeni...akaachiwa...huku Sisi bado "tunamtafuta"..na mtuhumiwa baadae akaenda kumshitaki mtu mwingine polisi Kilwa road waliotapeliana...huku Sisi tunamtafuta...baadae kabisa akafanya tukio lingine akakamatwa polisi Oysterbay ndo tukaja kupata taarifa.

Kichekesho kingine ni jinsi polisi walivyokuwa wanachukulia hayo matukio kama tofauti na yanajitegemea na sio Ku combine matukio na kufungua kesi moja with strong evidence...na jinsi kila kituo kinamgombea mtuhumiwa....baadae nikaja gundua structure ya polisi ya ni ya kizamani Sana ...na Sheria zinaunda jeshi la polisi za kizamani sana....Kwa ufupi mahitaji ya kuwa na chombo cha Ku deal na organised crime ya mwaka 2024 yako tofauti kabisa na muundo wa jeshi la polisi....lilivyo sasa...

So sometimes tunawauliza polisi maswali na lawama nyingi wakati kiukweli hili jeshi la polisi Lina operate kama Tanzania bado uko miaka ya sabini tunawapa lawama nyingi sana bila kukaa chini na kuangalia namna ya kuwa na chombo vya mahitaji ya sasa na Sheria za sasa dunia inabadilika sana.

Leo ukiibiwa simu ndani ya mwendokasi..taratibu inasema uende polisi pale ulipopandia mwendokasi...yaani kama umepanda mwendokasi kimara ukaibiwa simu labda Magomeni itabidi urudi kimara kuandika jalada wakati pengine mwizi kateremkia posta...huu ni mfano Tu wa dunia inavyo kwenda na polisi walivyo baki kizamani.​

Jeshi la polisi linahitaji overhaul kabisa
Mvua kubwa iliyonyesha leo na kusababisha mafuriko katika maeneo ya bondeni imeleta madhara makubwa ya miundombinu. Watu 5 wanashikiliwa na polisi kutokana na tukio hilo
 
Overhaul ianzie kwenye Sheria
Mfano mdogo ukienda polisi na mtu aliekuuzia simu feki ...watakwambia nenda tbs ubungo...imagine that...
Yaani kuna maeneo hawana hata mamlaka ya kisheria kuingilia...
Au Afisa wa Tra mkisumbuana...polisi ni kama hawahusiki kabisa... kuna kisheria...na kunahitajika police maalum WA "organised crime"..na polisi ambao wanaweza chunguza polisi...wakati wa Kikwete walisema itaundwa chombo kama FBI lakini limeishia kwenye mcahakato...
Kuna overhaul ya sheria...
Kuna overhaul ya technology...
Overhaul ya mindset etc.....

Waje hasa criminal case zote zinawahusu...hata magomvi ya shareholders kwenye PLC kama CRDB ni wao ndo wanatakiwa Ku solve kama kuna crime...kuna a lot needed to be done
Ufafanuzi mzuri kabisa !👍🙏
 
Kuhusiana na kuunganisha haiwezekani kwasababu ni matukio tofauti na walalamikaji ni tofauti hata kama hizo kesi zingefunguliwa kituo kimoja haziwezi kuunganishwa kama kesi moja, ila kama alikutendea kosa zaidi ya moja wewe mlalamikaji ndo unaweza kufunguliwa kesi moja ila itakua na charge zaidi ya moja

Kwa hapo tatizo siyo lao.
Wewe akili hauna kesi zinaunganishwa hili kuunda strong evidence...kuna faida kubwa kwenye kuunganisha kesi
 
Kwani wapi ilizuiwa mtuhumiwa habitual series ya matukio aliyoyafanya yasitumike kama ushahidi? Hakuna sehemu iliyokatazwa na inaweza kutumika kama ushahidi ila kuunganishwa katika kesi moja wakati kawatendea watu tofauti hilo halipo
Tatizo lako wewe ni kushindwa kujua maana ya kuunganisha kesi au matukio ....labda unadhani kuunganisha kesi au matukio ni sawa na kuunganisha hukumu
 
Nimeona watu wanashangaa polisi kuja na taarifa za mtu aliedhaniwa katekwa kuwa kafa kwenye ajali ....siko hapa kuwatetea polisi ..wala kushutumu lakini ningependa kuongea Kwa uzoefu wangu ...kuhusu polisi Tanzania...

Niliwahi kuwa na kesi ya mtu alienitapeli ...polisi Chango"mbe nikapewa Askari wa upepelezi tukawa tunamtafuta Kwa karibu miezi miwili...now wakati tunamtafuta huyo mtu tulishirikisha hadi kitengo cha cyber. Askari hao niliopewa kupitia"connection ya mtu powerful "kwahiyo sikuwa na wasiwasi na kuwa labda hawana nia au wamehongwa...walikuwa serious kazin....sasa cha kuchekesha ni kuwa Kwa kipindi ambacho "mtuhumiwa wetu" tunamtafuta...huyo mtuhumiwa akaenda Fanya matukio mengine ya kitapeli akakamatwa polisi Magomeni...akaachiwa...huku Sisi bado "tunamtafuta"..na mtuhumiwa baadae akaenda kumshitaki mtu mwingine polisi Kilwa road waliotapeliana...huku Sisi tunamtafuta...baadae kabisa akafanya tukio lingine akakamatwa polisi Oysterbay ndo tukaja kupata taarifa.

Kichekesho kingine ni jinsi polisi walivyokuwa wanachukulia hayo matukio kama tofauti na yanajitegemea na sio Ku combine matukio na kufungua kesi moja with strong evidence...na jinsi kila kituo kinamgombea mtuhumiwa....baadae nikaja gundua structure ya polisi ya ni ya kizamani Sana ...na Sheria zinaunda jeshi la polisi za kizamani sana....Kwa ufupi mahitaji ya kuwa na chombo cha Ku deal na organised crime ya mwaka 2024 yako tofauti kabisa na muundo wa jeshi la polisi....lilivyo sasa...

So sometimes tunawauliza polisi maswali na lawama nyingi wakati kiukweli hili jeshi la polisi Lina operate kama Tanzania bado uko miaka ya sabini tunawapa lawama nyingi sana bila kukaa chini na kuangalia namna ya kuwa na chombo vya mahitaji ya sasa na Sheria za sasa dunia inabadilika sana.

Leo ukiibiwa simu ndani ya mwendokasi..taratibu inasema uende polisi pale ulipopandia mwendokasi...yaani kama umepanda mwendokasi kimara ukaibiwa simu labda Magomeni itabidi urudi kimara kuandika jalada wakati pengine mwizi kateremkia posta...huu ni mfano Tu wa dunia inavyo kwenda na polisi walivyo baki kizamani.​

Jeshi la polisi linahitaji overhaul kabisa
Kuna ndugu mmoja majuzi katapeliwa milioni kumi na tatu ni mkongo kutoka kalemii kama unavyosema mtuhumiwa sim yake inasoma yuko mwanza kama usemavyo akaambiwa arudi kijijini nguruka wilaya ya uvinza ndio aende kufunguwa kesi huko akaenda akafunguwa kesi akapewa rb kwa mbinde sana ile sim ya mtuhumiwa waliitrack lakini kufika mwanza tena anaambiwa sijui kuna kitu gani mpaka yule askali wa nguruka alietrack sm akitume mwanza ndio upelelezi uwendelee
 
Swali moja linafikirisha sana Je haya yote yanayojadiliwa humu hao wahusika huwa hawayajui ???!

Au ndio kama anavyoandikaga Mwamba mmoja humu :-
Siasa ndivyo zilivyo 😅😀 !
 
Back
Top Bottom